Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,451
- 50,186
Yaani tena. .sikia tu hiyo situation isikukute ''Iache tu imkute mwenzio
Kikifika kipindi hicho mtu anaishi kama digidigi
Yaani tena. .sikia tu hiyo situation isikukute ''Iache tu imkute mwenzio
mkuu huo mtaa wahuni wengi...hakuna kuamuliwaHahaha Yeye kalewa halafu anapigana na wasiolewa ---
Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!...Dah! !ama kweli maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee
mkuu huo mtaa wahuni wengi...hakuna kuamuliwa
Habarini wadau?
Ndugu TID naona mambo si mambo, na anaonekana yuko tungi balaa.
Je ni frustrations ama?
View attachment 1132497