King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,637
Powerjams now ,Kunauwezekano wimbo wa kiuno wa tid ukawa copy n paste kutoka zambia.
Source:Sam Misago..EA Radio
Source:Sam Misago..EA Radio
Nilijua na wewe unaskizaga Radio ya WAFU kumbe una tune in radio za kijanjaaa!! Hongera zko King Kong III
halafu utasikia anapoewa tuzo za kili awardsKama ni hivyo huu ni wimbo wa pili sasa kunyonya. Hana kipaji huyoooooooooooooooooooooooooooooooooooo
huyo kimuziki kafa sikunyingi:hatari:
Kama ni hivyo huu ni wimbo wa pili sasa kunyonya. Hana kipaji huyoooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Kula tano mnyamwezi kwa kuliona hilo!umetisha bab!TID mnyamwezi kitambo watafail tu hawa haters!Hizi ni chuki binafsi ndo maana mnamzulia alitaka kumuua Ali kiba!!!!! Yani huwa najiuliza kibaya kipi alichowafanyia huyu bwana!!!! nashindwa mpaka leo kupata jibu!!! kwanza mlimfunga... hamkuchoka.... mara anata kumuua ali kiba!!!! sasa mmeona ngoma yake kiuno inamrudisha juu mmeanza aahh kakopy! acheni hizo bana daah!!
Haufanani kabisa bwana!! halafu hii si kucopy ni sampling bana! katika dunia hii ya muziki huwezi leo ukatengeneza tune ya mziki wa kwako tu pasipo kusample! sababu vyombo vinavyotengeneza mziki duniani ni vile vile!!!!! tone zake ni zile zile.......Ili basi usionekane umecopy au umesample basi tumia malimba, zeze, dogoli, tutulo, litungu n.k!
Nyimbo ya mzambia huyo ni ya siku nyingi na ilibamba mbaya.... iweje kama tid kafanya copy ije kujulikana leo isijulikane toka tu ilipotoka?? inamaana ilikuwa ngumu mara tu ilipotoka kiasi kwamba mpaka fbi wa earadio wachukue miezi 6 kujua ni copy!!
Jamani hii si sawa bana.
Halafu hawa mapresenta wa hizi redio biashara si wabunifu bana katika kazi zao! sasa anapokuwa na likipindi la masaa matatu na yeye hajui atafanya nini kukinogesha kipindi chake ndo wanaibuka na short kats za fulani kacopy basi tu ili mradi masaa yake 3 yaishe baaaaaaaaaaaaaaasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hahahaahahaha!!tuwe wakweli tu jamani TID kakopi na kupaste iyo nyimbo ata kama tunampenda kiasi gani...yani sampling hadi mashairi!!??
ngoma imefanana mdundo,melody hadi mashairi...hawezi kuchomoka hapo.labda tumpotezee kwa kumuonea huruma kwa hali yake ya life kwa sasa.
Nakujua wewe ndo ulimtuma yule dada wa mwanza eti ajifanye katumwa na tid ili amset Kiba auwawe! so sishangai kusiliba!
Kumbe wewe ukila ugali umecopy kwa kuwa jirani yako naye anakula ugali!! akili tope hii. Haya basi kacopy! we na tid nani zaidi???
Yani huna hata kumbukumbu wewe! Tid ni msanii aliyesimama mwenye toka mwanzo! sasa asikopi wakati wa girl friend (Movie lenyewe alivyoicheza na sound track yake) aje kukopi leo kwa kuwa tu ninyi wachawi wake mpo!!!! kama hujui tid katokea wapi funga domo na chuki zako.
halafu utasikia anapoewa tuzo za kili awards
Mbona POVU linakutoka mkuu.Tuzo lazima! kwani nini????kama inakuuma kaimbe basi na wewe tuone.... kazi yako fundi viatu unamkosoa mshona suti! mboni kubwa..macho madogo!!