Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mungu aliumba kifo na kila mwenye pumzi ataonja mauti ni makosa kudhani kuna dawa ya babu itatuepusha na mauti, kama ni hivyo Mungu asingeumba kuugua na hadi kufa..mimi naona suala hapa sio kupona au kufa kwa wagonjwa waliokwenda kwa babu bali ni uhakika wa tiba hiyo na uhusika wa Mungu kwenye tiba hiyo. Walikujaa duniani mitume wa Mungu wakafa ndio itakuwa sisi binadamu tuamini moja kwa moja kuwa Mungu katelemsha dawa hiyo ili tusife au tusiugue............. A BIG NOOOOOOOOOOOOOOOOO