tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 26,021
- 25,427
- Thread starter
- #21
Kama alivyosema mmoja wetu hapa jamaa wamatumia firsa iliyopo. Mimi nilimzuia mzazi wangu kwenda kufanya vipimo kwa hawa jamaa wa tiba mbadala tena walikuja kanisani eti wanatumia computer then magonjwa yako yote yanaonekana nikamwambia mzee hivi kama hicho kipimo kweli kingekuwa kinafanya kazi hiyo pale muhimbili si wangekuwa wamenunua hizo mashine nyingi tu kupunguza msongamano? Hivyo hawa jamaa wnajua matatizo watu waliyonayo wengi ni vidonda vya tumbo ambavyo hata muhimbili watakupa dawa za kutuliza na ukifuta masharti unapona lakini wao wanasema havitibiki hospitali za kawaida. Pia maswala ya uzazi wasichana wengi wnapokosa kwatoto wanakilbilia kwenye tiba mbadala lakini hakuna jipya huko.
Umesema ukweli kabisa mkuu, ubarikiwe sana. Kuna ndugu yangu mmoja, tena msomi, alishindwa kutibiwa infertility hospitalini, akazunguka kwa hao makanjanja sana tu. Walimlia fedha nyingi sana lakini mpaka leo hajapata solution ya tatizo lake. Chezea makanjanja wewe!