Mkuu binafsi sijazibeza, isipokuwa Kuna uongo mwingi katika tiba mbadala, wewe unaamini ushike kifaa fulani halafu computer ianze kuprinti matatizo yako, wewe unaamini katika hilo? uguse tu uambiwe unauvimbe tumboni, damu chafu, njia ya mkojo inashida, moyo una matatizo kwa mguso mmoja tu, unaamini?Tuwe wa kweli. Dawa yoyoye inaweza kuwa tiba na pia inaweza kuwa sumu. Kuna watu wameshakuwa vipofu,wamebabuka miili, wamepooza na mengineyo kwa kupewa tiba ya kisasa hoapitalini. Tusibeze tiba za asili, kuna watu zimewasaidia na wakawa mashuhuda kwa wengine. Tiba ni hiari ya mtu na kupona ni Majaliwa. Si kila anayetibiwa lazima apone, ndo mana hata hospitali kuna mochwari za kuhifadhia maiti ambao madaktari wamejitahidi kuokoa uhai wao lakini imeshindikana.