Nijuavyo mimi ni kuwa Mengi anamiliki taasisi au kampuni ambazo zina uongozi wake. Naamini kuna mtu anaajiri na kufukuza na Mengi hafanyi kazi hiyo. Wewe kama umeona kwenye taasisi au kampuni zake mishahara ni midogo si ujaribu kwa Manjis au kwingineko? Tuache kumsakama kwa maneneo rahisi rahisi kimtaani mtaani. Sijaona alipokosea hata kama ameachana na kimada wake . Kwani wewe Msanii huna kimada? Who in the world claiming to be a man has ever practice zero sex ? Hata famous presidents wamewahi kutetereka kwa hilo . sitetei ngono ila nasema kama kuna ambaye sio mvovu kwa hilo anyoonshe kidole juu. Baadae wanaume wote tutatakiwa aidha kwa sheria au kwa matakwa ya maisha kuoa au kuwa na vimada zaidi maana idadi ya wanawake inazidi kuwa kubwa na wanahitaji service zetu. Wakati huo thread hii itakuwa haina maana tena. It is just a matter of time au niseme tayari imeshaanza. Kwani huoni hilo?
Biashara huanza hukua na hufa pia. Mengi is no exception. Hata This day likifa yatakuja mengine tu . Unless you have personal druges which we do not buy here, mengi is still a better personality than most of the mafisadi in bongo.