This week end: My unforgetable love songs

This week end: My unforgetable love songs

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,841
Reaction score
831,094
Nyimbo za mapenzi zinabeba dhima kubwa sana katika suala zima la mapenzi, nyimbo za mapenzi hutufanya tufurahi au kuhuzunika tukikumbuka mambo fulani ya wapenzj wetu kwakuwa wakati huo zikipigwa ndio tukio husika lilitokea

wengine hukumbuka siku ya ndoa, siku ya kukutana kwa mara ya kwanza,.siku mlipogombana almradi tu hutukumbusha jambo fulani wakati fulani mahali fulani ukiwa na fulani

Bongo fleva ina nyimbo nyingi za mapenzi lakini pia zipo za mataifa ya nje hebu kila mmoja wetu ajikumbushe wimbo/nyimbo zozote za mapenzi ambao/ambazo akizisikia leo hurufahi au kuhuzunika

kwa wale wazee wa miaka ya 80 na 90 mnazikumbuka nyimbo za
MC HAMMER-Ice ice baby, have you seen her nk nk?
JUDY BOUCHER?
Whitney HAUSTON- All at once, bellieve, xhale, nk
Am gonna mic u na nyingine nyiingi!
 
Roni - Bobby Brown

I wanna sex you up - Color Me Badd
 
Nobody - Keith Sweet.
 
He he he, hivi ule wimbo unaitwaje kweli? Ila una neno butifu.
 
Muongo wewe huo wimbo umeimbwa na ambassadors of Christ choir...Kigali Rwanda

unajua nilitaka kushangaa, lakini.vile vile ule ni wimbo wa dini na si wa mapenzi, pengine kuna wa kiganda wa mapenzi
 
K_CI N JOJO, Tell me its real
K_CI N JODECI Wanna love u for life
UB 40, please dont make me cry, lets kiss n say goodbye
BRANDY have u ever been
MB DOG si ulinambia
RAY C mahaba ya dhati
 
enzi hizo sikuwepo na wala hata sizijui hizo nyimbo! Sasa kwa kizazi na wakati wangu mie naupendaga huu wimbo wa huyu mkenya anaitwaga VIOLA KARURI wimbo waitwa NAKUPENDA.
 
BOYS 2 MEN...
WATER RUNS DRY...


Bonge la wimbo.

http://m.youtube.com/watch?v=9N9opF-PK5k
 
KOMANDO HAMZA KALALA nimekusamehe lakini sitakusahau
kuna ule ubeti unasema hivi:
Nimekusamehe lakini sitakusahau
visa ulivyonitendea kalala eeh eeh
ulinikana wakati nina shida
ukasahau yote tuliyofanya mimi nawee
wakati unaelewa hakuna bingwa wa shida
leo nakukumbusha shida ujana hupitaa
yaliyopita si ndwele tugange yajayo maamaaa
kweli nimekusamehe lakini sitakusahau....!
HUU UBETI UNA MSG ISIYOCHUJA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom