Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Yahya M.
Usiwe biased sana, kipindi cha uchaguzi ilibidi niache kuangalia vipindi vyako hasa wewe na Yule jamaa mwenzako Mabuga or something like that na kuna yule jamaa mwingine ana O, mnaegemea Chama Chenu Mpaka mnajisahau, nyinyi ni waandishi wa habari inabidi msi-pick sides, mnakera sana na kama mkiendelea hivyo sidhani kama mtafikia level za kuwa watangazaji mahiri.
Last weekend ulikuwa na jamaa wa NCCR na Jamaa wa CDM duu rangi zako zilikuwa zinawakawaka, baada ya kuona unashtukiwa ukaanza kumpa support ya kufa mtu jamaa wa NCCR ili jamaa wa CDM aonekane hana maana, huku ukimkatisha kila mara na kupinga kila anachoongea, mlivyo watu wa ajabu na Dar kulikuwa na jamaa mwingine wa CDM na Bunsen Bana, kwa kifupi mlikuwa wanne against one na jamaa aliwamudu vizuri sana.
Masako wa ITV ni SiSiEm lakini akifanya interview huwezi jua yuko chama gani, ni juzi tu ndiyo nimegundua kuwa ni mwanachama wa SiSieM.
Badilika umri unakuruhusu!
Hivi, naomba kujua huyu mtoa mada ni nani?
Isijekuwa anatufanya sisi mazuzu.
Kucheza na akili za wanaJF. Anataka kujua wanaJF wana maoni gani na serikali ya mkwere.
tuwe waangalifu kidogo au tutafute thead nyingine.
baraza bado kubwa, ambapo bado litakuwa gharama kubwa kwa serkali
Shukrani wanaJF wote ambao bado mnaendelea kutoa hoja za msingi hasa kuhusiana na kipindi kijacho jumapili. Tusi-deal na individual tu-deal na hoja iliyopo mezani.Yahya M.
Usiwe biased sana, kipindi cha uchaguzi ilibidi niache kuangalia vipindi vyako hasa wewe na Yule jamaa mwenzako Mabuga or something like that na kuna yule jamaa mwingine ana O, mnaegemea Chama Chenu Mpaka mnajisahau, nyinyi ni waandishi wa habari inabidi msi-pick sides, mnakera sana na kama mkiendelea hivyo sidhani kama mtafikia level za kuwa watangazaji mahiri.
Last weekend ulikuwa na jamaa wa NCCR na Jamaa wa CDM duu rangi zako zilikuwa zinawakawaka, baada ya kuona unashtukiwa ukaanza kumpa support ya kufa mtu jamaa wa NCCR ili jamaa wa CDM aonekane hana maana, huku ukimkatisha kila mara na kupinga kila anachoongea, mlivyo watu wa ajabu na Dar kulikuwa na jamaa mwingine wa CDM na Bunsen Bana, kwa kifupi mlikuwa wanne against one na jamaa aliwamudu vizuri sana.
Masako wa ITV ni SiSiEm lakini akifanya interview huwezi jua yuko chama gani, ni juzi tu ndiyo nimegundua kuwa ni mwanachama wa SiSieM.
Badilika umri unakuruhusu!
Maswali yangu pokea kabisa sasa hivi maana Jumapili bado nitakua Kijijini na wala sitoona TV huko:
1. Je, Mama Celina Kombani anayo CV ya kutosha kutuletea mabadiliko ya kweli kuandika KATIBA MPYA na Kuwapata VIONGOZI wetu halisi tuliowachagua sisi Vijana?
2. Mhe Sitta kupewa IDARA ya Afrika Mashari ambayo ni meza ndogo sana ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, ina maana JK anatutukana sisi wananchi na kusema adui wake namba moja ni sisi ambao jamaa alikua anafanya kazi kubwa ya kututetea au tumwelewe vipi na hicho kitendo cha kejeli?
3. Je, wizara hizo zilizoongezeka zaidi zitakua kwa gharama ya nani, au ni sisi sisi huku ambao bado tuna machungu ya kufa mtu kuporwa ushindi wetu halali?
4. Je, ni nini malengo ya baraza hili hasa, KULETA MABADILIKO tunayotaka sisi au kutupinga na kuleta mapambano kwa mara ya kwanza nchini? Endapo dira ya kuundwa kwa baraza hili litakua linapingana na mahitaji ya sasa ya taifa (MABADILIKO YA KWELI) basi itakua ni makosa ya miaka yote mitano hii!!!
NB: Nashukuru safari hii haujatukurupusha kwa hilo. Maswali mengine wataongeza Wana-JF ambao wametanda ulimwengu mzima.
note swali hili yahya, je ni sahihi kwa JK kumteua Makongoro kuwa naibu huku anakesi ya kujibu High Court? Pia, Sophia alifaa kurudi tena kwenye baraza?