THIS lIFE IS UNFAIR,WHY ALWAYS ME?

Kama kweli uko bright basi zingatia masomo mambo ya wasichana yatakuja baadae. Kwani una plan yakuoa next year? Pia zingatia kuwa ukimwi upo na unakatisha ndoto za vijana wengi. Hata ukimpata kupima ni muhimu hata kama atakuambia yuko virgin kwani mabint wanazaliwa na HIV na wanakua nao hata kufikia level ya chuo kikuu. Ukiwa na sikio naamini utasikia! All the best!

sio silipi,i am very handsome kaka,and very bright
 
Dogo kwanza kwa nini unataka kubikiriwa? Kwa nini unadhani ni lazima uwe na msichana?? Nani kakwambia hivyo??
 

bold: CL kaa chonjo wasije kukukamata

have you ever asked yourself about this
" WHY ALWAYS NOT ME?" or "WHY OTHERS ALWAYS?"
Soma kijana, muda haurudi, wasichana wapo tu, utawakimbia mwenyewe.
 

thanks my brother,nimekuelewa.
 
bold: CL kaa chonjo wasije kukukamata

have ever asked yourself about this
" WHY ALWAYS NOT ME?" or "WHY OTHERS ALWAYS?"
Soma kijana, muda haurudi, wasichana wapo tu, utawakimbia mwenyewe.

thanks bro,i ll study hard.
 
Dogo kwanza kwa nini unataka kubikiriwa? Kwa nini unadhani ni lazima uwe na msichana?? Nani kakwambia hivyo??

si lazma kuwa na msichana,bt ni muhimu kuwa na mke.coz mda c mrefu naenda kujitegemea
 
Hvi bado hamjaanza assignment,test na quiz zkuweke buzy hvii!eh go back to xcl mdogo anguu.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…