This is too much

hongera jiniaz..yani wewe ndo zero brain pita kule mbaali usiniaribie siku kujidai mstaarabu kumbe hamna kila kitu
 
asante kiongozi nitalifanyia kazi hili kaka ila wacha niwanyooshe hawa much know..maana wamelitibua wenyewe
 
huwa madingii wanazinguaga
siyo kidogo wanataka tufe njaa..ama unakuja kupewa kazi majukumu rundo nyumbani hapo kazi au wizi
watupe kazi vijana tuchakarike wakati nguvu
bado zipo
 
siyo kidogo wanataka tufe njaa..ama unakuja kupewa kazi majukumu rundo nyumbani hapo kazi au wizi
watupe kazi vijana tuchakarike wakati nguvu
bado zipo
hahah tukomae nao tu arifu!
 
Pole sana mkuu
Tunaweka kwenye group la riziki mtoaji ni Allah

Sasa ikichelewa vuta subra na muombe sana Allah aifanye kwa wepesi hiyo siku..


Kumuomba binadamu ana maudhi utaishia maneno na kashfa kibao Mungu pekee ndiye ambaye anapenda kuombwa akiona mja wake kama hivi analalamika anatamani utumie muda wako mwingi kumlilia yeye na kumuomba

Sitasahau msoto wa maisha mwaka 2009 hadi 2012 hakika na feel sana unayoyasema
 
pole sana ndugu. Kuna wengine humu zao ni kebehi tu..unaomba msaada upo serious kabisa halafu anakuja mtu na kejeli zake kama siyo dharau ni nini siabudu mtu boy namwamini na kumuabudu Muumba tu
 
Aisee..
Hizo najua ni hasira za kukosa kazi na shida ulionayo pole sana lakini nina uwezo wa kukuita kabisa na nikakushika mkono na kazi ukapata ila kwa kuwa unadharau endelea na dharau na hili lidharau kabisaa
Mkuu kama unaconnection yoyote naomba niunganishe mimi ndugu yangu..serious
 
Nakumbuka miaka 12 liyopita nilipopata digrii ya kwanza nilitegemea kuajiriwa kwa mshahara mkubwa,matokeo yake niliajiriwa na kampuni moja nikawa nalipwa 80,000/=,lakini sikuikataa ile kazi lengo langu lilikuwa unatafuta kazi ukiwa ndani ya kazi pamoja na kutafuta uzoefu pia.Nakushauri,tafuta kazi yoyote hata kama unalipwa 50,000.
 
Maneno yako yanaakithi mama yako alikuzalia nyuma na sio mbele nahisi akili yako ilichanganyika na Mavi ya Mamako
nyie ndio wale mamanze mnapigwaga mimba halafu hamjui baba za watoto wenu..by the way nishaachaga mambo za kula tigo ningekuibukia hapo nikuweke hayo marinda sawa bahati yako
 
iyo 80 miaka 12 ilopita ilikuwa ela ya maana siyo kama sasa
 
Huyu anaonekana ni chalii wa Arusha kabisa.
Ni wale wanaovaaga shati kubwa Kama kanzu na buti kubwa lenye saizi mara mbili ya mguu wake.
Yaani kule kila mtu ni jeuri,mtu akipata laki 5 anaenda kufunga bar.
umekariri mzee mi nzaliwa wa ntwara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…