This is too much, Morogoro to Mwanza 17 hours

This is too much, Morogoro to Mwanza 17 hours

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,765
Duuuh kweli utawala wa Magufuli umekuja kutukazia sheria zilizokua zinavunjwa miaka nenda rudi

Safari za kutoka DSM/Morogoro kwenda mikoa ya kanda ya ziwa kama Mwanza zimekua ndefu mno siku za hivi karibuni

Nimetumia takribani masaa 17 kutoka Moro kwenda Mwanza

Safari inachosha sana na ukifika kwenye Zebra hata kama hakuna mtu anavuka simama atleast Dk 1 au sekunde kadhaa then endelea kukanyaga mafuta

Madereva wa mabasi wamepewa masharti watembee speed 50 mpaka 80 ukizidisha fine au uwe umetoa rushwa.

Yani MTU anatoka DSM kwenda Washington kwa ndege kama Boeing au Airbus anawahi kufika lakini wewe wa kutoka Daslam au Moro kwenda Mwanza bado tu unahangaika na siti yako

Bora kupanda pangaboi walahi nasema.
 
Mkuu Qurie ka tunaweza kuweka traffic walioshika speed tochi maporini na vichakani nn kinashindikana kuweka vijana wetu wa jeshi la polisi sehemu hatarishi wapambane na hao waarifu.
Mkuu sio kirahisi kama unavyo fikiria hao wahalifu nao wataangalia mahali ambapo hapana askari wala nini na ndo wataya tegea magari hapo.....
 
Mkuu sio kirahisi kama unavyo fikiria hao wahalifu nao wataangalia mahali ambapo hapana askari wala nini na ndo wataya tegea magari hapo.....
Me naamini inawezekana wakiamua!
 
Duuuh kweli utawala wa magufuli umekuja kutukazia sheria zilizokua zinavunjwa miaka nenda rudi

Safari za kutoka DSM/Morogoro kwenda mikoa ya kanda ya ziwa kama Mwanza zimekua ndefu mno siku za hivi karibuni

Nimetumia takribani masaa 17 kutoka Moro kwenda Mwanza

Safari inachosha sana ,na ukifika kwenye Zebra hata kama hakuna mtu anavuka simama atleast Dk 1 au sekunde kadhaa then endelea kukanyaga mafuta

Madereva wa mabasi wamepewa masharti watembee speed 50 mpaka 80 ukizidisha fine au uwe umetoa rushwa.

Yani MTU anatoka DSM kwenda Washington kwa ndege kama Boeing au Airbus anawahi kufika lakini wewe wa kutoka Daslam au Moro kwenda Mwanza bado tu unahangaika na siti yako

Bora kupanda pangaboi walahi nasema.
Sheria huundwa kutokana na mahitaji. Kuhusu hili miaka ya nyuma magari yalikuwa yanasafiri usiku na wataalam walianza kwa kuweka mawe/magogo barabarani na wakamalizia na SMG. Lakini vilevile baada ya barabara hizi kuwekwa lami, ajali za ajabu zilianza na ajali hizi nyingi zilitokea usiku. Swali la kujiuliza ni jee hali ya sasa ki usalama ikoje? na jee ajali zimepungua.
Kwa maoni yangu ni bora kufika mwanza ukiwa umechelewa,umechoka n.k kuliko unakuwa maiti kabla hata ya kufika mwanza.
 
Sheria huundwa kutokana na mahitaji. Kuhusu hili miaka ya nyuma magari yalikuwa yanasafiri usiku na wataalam walianza kwa kuweka mawe/magogo barabarani na wakamalizia na SMG. Lakini vilevile baada ya barabara hizi kuwekwa lami, ajali za ajabu zilianza na ajali hizi nyingi zilitokea usiku. Swali la kujiuliza ni jee hali ya sasa ki usalama ikoje? na jee ajali zimepungua.
Kwa maoni yangu ni bora kufika mwanza ukiwa umechelewa,umechoka n.k kuliko unakuwa maiti kabla hata ya kufika mwanza.
Mmmmhhhh, Ajali nyingi ziko au zilikuwa mchana kuliko usiku.
 
Sheria huundwa kutokana na mahitaji. Kuhusu hili miaka ya nyuma magari yalikuwa yanasafiri usiku na wataalam walianza kwa kuweka mawe/magogo barabarani na wakamalizia na SMG. Lakini vilevile baada ya barabara hizi kuwekwa lami, ajali za ajabu zilianza na ajali hizi nyingi zilitokea usiku. Swali la kujiuliza ni jee hali ya sasa ki usalama ikoje? na jee ajali zimepungua.
Kwa maoni yangu ni bora kufika mwanza ukiwa umechelewa,umechoka n.k kuliko unakuwa maiti kabla hata ya kufika mwanza.
Mkuu Abunwasi unafikiri vyanzo vingi vya zile ajali vilikuwa vinasabishwa na nini? Speed.. ubovu wa magari.. uzembe wa dereva au miundombinu duni???
 
Mkuu Abunwasi unafikiri vyanzo vingi vya zile ajali vilikuwa vinasabishwa na nini? Speed.. ubovu wa magari.. uzembe wa dereva au miundombinu duni???
Miundo mbinu futa kabisa ila jadili mengine
 
Back
Top Bottom