This is so embarassing

This is so embarassing

Morning everyone. Hope all is well with you

Naskitika sana kuona vijana wasomi wa vyuo vikuu hawawezi hata kujieleza au kuongea kiingereza kilichonyooka. Na hii inatoka na mtindo wa maisha ( life style) zao. Unakuta mtu anafatilia cheap materials mda wote. Yaani vipindi anavyofatilia au magazines anazosoma hazimjengi hata kidogo.

Matokeo yake sasa, akiandika status kama ni Facebook au WhatsApp yaani ni mvurugano tu wa tense na grammar. Wakati mwingine unashindwa hata kuelewa alikua anamaana gani.

Jamani maisha ni malengo na hayaishii kwenye kutaka kua na kazi nzuri tu, kua na uwezo wa kutunza familia nk, hapana. Msomi inabidi uwe na uwezo wa kuongea lugha nzuri ( formal language) ukipewa nafasi kama ni kwenye interview, kazini, chombo cha habari nk. Hauwezi fahamu lugha rasmi kama haufatilii vitu vya msingi kama, international news, reading newspapers, reading novels, watch documentaries nk. Ukiendelea kufatilia vi-drama series trust me, you will get no where with your career.

Na nnaomba nieleweke vzur, maisha sio vita. Simaanishi kua tuwe tunasoma habari mda wote, tuwe tunasoma magezeti mda wote hapana, namaanisha tuwe na mda wa entertainment, kufatilia izo drama, cartoons nk, lakini pia tuwe na mda wa kufatilia vitu vya msingi.

Bahati mbaya sana ni kwamba, entertainments in most cases zinatumia informal languages ambazo hazikujengi kujifunza formal language. Sasa informal language hauwez kuitumia kwenye mazingira maalumu. Kuna faida nyingi sana za kujua formal language. Mfano, itakusaidia kupata ufahamu wa mambo ya msingi ( it will increase your knowledge ) kwasababu informal language inatumika kwenye mambo ya msingi kama habari, magazetini, vipindi maalumu nk

Ukijua formal language, unaweza shangaa unapata kazi na kuwaacha hata wale wenye GPA kubwaaa nk. Unaweza pewa kazi ya kuandika report au chochote tu kwenye mazingira ya kazi alfu ukashangaa kutoka a na uhandishi wako mzuri ukapanda cheo, au ukapata faida flani ivi kutokana na utendaji wako mzuri wa kazi. Ukiwa masomi inabidi uwe na malengo ya kuweza kutetea usomi wako, kuidhihirishia jamii kua wewe ni mtu unayeishi kuendana na matukio yote na mabadiriko ya dunia.

In the end, we are what we feed ourselves with. Ukiwa mfatiliaji wa cheap materials basi eventually utakua na cheap ideas, lugha yako, unavhojieleza na mitazamo yako kwenye mambo mbali mbali itashuhudia yote ayo, na ukiwekwa na mtu anayefatilia mambo ya msingi, truth be told tofauti yenu itaonekana bira kipingamizi.

Nawatakia asubuhi njema
Nimesoma uzi wako mpaka uliposema WASOMI KISHA UKAUNGANISHA NA KIINGEREZA KILICHONYOOKA, nimetambua kuwa kwako usomi ni kiingereza kilichonyooka!
 
Nimesoma uzi wako mpaka uliposema WASOMI KISHA UKAUNGANISHA NA KIINGEREZA KILICHONYOOKA, nimetambua kuwa kwako usomi ni kiingereza kilichonyooka!
Ndio, maana kama ni msomi haswa ( sio msomi jina ) utakua unasoma vitu vyenye kukukenga kiakili na fikra, vitu kama habari, vitabu, magazeti na makala mbali mbali. Ambazo zitakupa changamoto ya kujifunza lugha, sasa ukiwa na huo utamaduni, ukifanya ivyo kwa mda mfupi tu, at miezi 6. Lazima tofauti ionekane
 
Mtu mwenye akili finyu na uelewa mdogo wa mambo utamjua, badala ya kujadili hoja kuu na ya msingi, anatumia mda wake kutafuta makosa madogo madogo.

Hauna tofauti na mwanafunzi ambae anapenda na kukumbuka sana vichekesho vya mwalimu kuliko somo linaloendelea darasani kwa muda huo
What a psychc! Dont xpect people to do what you think. Everyone got their way of complementing. Ghosh
 
What a psychc! Dont xpect people to do what you think. Everyone got their way of complementing. Ghosh
Yeah, I can't see what is going on in your brains. Buy they way you comment, says it all, that you are stupid. It helps me to dissect you and get a clear picture of how and what you think
 
Yeah, I can't see what is going on in your brains. Buy they way you comment, says it all, that you are stupid. It helps me to dissect you and get a clear picture of how and what you think
Are you paid to do this sh*t? Cause I swear, you aint gonna get away with it. Will nail you down like Jews did Jesus.
 
Your ideas are throwback from a bygone era. We are living this moment and that is what the moment detects

Na usitumie speed za watu kama haujui zinaweza tumika wapi. Usipende kukariri bali uwe unaelewa. Nimezungumzia matumizi ya kiingereza kwenye mazingira maalumu. Sidhani hata uyo nyerere kama angekuepo hapa leo hii angelazimisha kutumia kiswahili sehemu kama izo. Na bty angekucheka kwa ukasuku wako
And you are among those...!
Please refer the meaning of stupidity according to Joseph Mbilinyi in the parliament..!
 
And you are among those...!
Please refer the meaning of stupidity according to Joseph Mbilinyi in the parliament..!
I am a scholar, I don't use or refer to peoples like him to reinforce my arguments simply because, Joseph mbilinyi is not an authority or a reliable and credible source
 
  • Thanks
Reactions: kui
Na wewe unawapotosha watu..unataka wale ambao si wa chuo kikuu cha Dar wajione wote wapo vizuri au mahiri...hii ni changamoto imetolewa kwa wasomi wote kwa hiyo wahamasishe watu watafakari na kuchukua hatua.


Nimekutana na wanafunzi wengi sana wa U/Dar yaani wana kiingereza kichafu mno....mtu kuji-express anashindwa lakini anaona ujiko kuongea kiingereza kilichojaa super glue (yaani kibovu na cha kuunganisha).
 
Nimekutana na wanafunzi wengi sana wa U/Dar yaani wana kiingereza kichafu mno....mtu kuji-express anashindwa lakini anaona ujiko kuongea kiingereza kilichojaa super glue (yaani kibovu na cha kuunganisha).
Hahaha eti kilichojaa super glue, umenifurahidha sana.

Watu wanaona ufahari kujua kiingereza kile informal cha kuchat kupitia sms, miksa code mixing, lakini sio lugha rasmi
 
nmesoma robo tu nkaona huu uzi hauna maana English mnaishklia kama ndio inalsha mtu au ndio inamtafutia mtu hela embu achen upumbavu kabsa
 
Ndio, maana kama ni msomi haswa ( sio msomi jina ) utakua unasoma vitu vyenye kukukenga kiakili na fikra, vitu kama habari, vitabu, magazeti na makala mbali mbali. Ambazo zitakupa changamoto ya kujifunza lugha, sasa ukiwa na huo utamaduni, ukifanya ivyo kwa mda mfupi tu, at miezi 6. Lazima tofauti ionekane
kajifunze kiswahili kwanza ndio uje uongee lugha za wengine
 
nmesoma robo tu nkaona huu uzi hauna maana English mnaishklia kama ndio inalsha mtu au ndio inamtafutia mtu hela embu achen upumbavu kabsa
Pole sana kwa mtazamo funyi wa maisha. Ila mtazamo wa mtu ( kama huo ulionao ) aidha mzuri au mbaya, unatokana na:-
1. Uwezo wako wa kufikiri
2. Jamii iliyokuzunguka
3. Marafiki zako na familia uliyotokea
4. Kiwango cha elimu na shule mbalimbali ulizopitia

Hayo ndo mazingira ambayo aidha humpa mtu changamoto za kujifunza au humpumbaza mtu
 
  • Thanks
Reactions: kui
Pole sana kwa mtazamo funyi wa maisha. Ila mtazamo wa mtu ( kama huo ulionao ) aidha mzuri au mbaya, unatokana na:-
1. Uwezo wako wa kufikiri
2. Jamii iliyokuzunguka
3. Marafiki zako na familia uliyotokea
4. Kiwango cha elimu na shule mbalimbali ulizopitia

Hayo ndo mazingira ambayo aidha humpa mtu changamoto za kujifunza au humpumbaza mtu
katika hizo sentensi zote nini faida ya English hapo??
 
Hahaha eti kilichojaa super glue, umenifurahidha sana.

Watu wanaona ufahari kujua kiingereza kile informal cha kuchat kupitia sms, miksa code mixing, lakini sio lugha rasmi


Ni ujinga na ndiyo maana wasomi wanaita hiyo kasumba "Mental slavery."
 
Back
Top Bottom