Kwa hyo kitu labda uwe mfuasi wa mama mchungaji pale Mikocheni
hebu nigawie hiki kipande cha MAIN LEVEL FLOOR PLAN nilie nacho hadi nastaafu kitakuwa kimeisha!!!
Chukua tu mkuu ila sidhani kama kitakusaidia.
aaaah mkuu mbona unanikatisha tamaa!!kwa nini kisinisaidie,au ni cha kufikirika!!!
kwa sababu hii sio constructional plan...hii plan ni kwa ajili ya kuonyesha tu mwonekano wa nyumba.
ha ha ha ha!nikimaliza kukijemga hicho kipande nitakuita ukiangalie!!kwa mafundi wa bongo hakuna kinachoshindikana!!!
Yangu hii:
Aminia mkuu.
Yangu hii:
safi,naenda kushangilia simba anapigwa!!hili la nyumba tumelimaliza!!!
Simba gani anapigwa?
hauko serious eti eeeh!!
Ndio nini hiyo mkuu?
zomba tunaongelea nyumba ya kuishi na familia bwana!!hiyo yako ya kichoyo unaingia peke yako!!!!Kwa nini?
Ol the best x wangu!
Kaburi.