This is my future house...Whats yours?

This is my future house...Whats yours?

Ndugu zako wote kutoka killage wakihamishia makazi kwako usimlaumu mtu!
 
Hebu wekeni zile ndogo, simple but elegant na sisi watumishi wa uma tuangalie na kudesa..
 
No no siyo Beit al Ajaib. Guess what? It is the Taj Mahal, there i shall dwell happily ever after.
 
Mbona hammjibu alichouliza?
[h=2]This is my future house...Whats yours?[/h]Ningetegemea RAMANI na PICHA za mijengo anuai hapa.
Hata zile za kuchora kwa miguu, wekeni tu basi...
 
hii siyo nyumba ya neyo kweli...
hii ndoto imeshaotwa na imetimizwa...dream yours aisee
Unataka kutuambia humu ndani kwamba mtu hawezi kuota kununua gari au chochote kile duniani kwa sababu tu watu wengine wanamiliki tayari?

Au unataka kutuambia wale walioota kuwa na shahada za uzamivu na wakapata walitakiwa kuota nini zaidi ya level hiyo? Achana na tabia hiyo haifai kwako, haifai kwa familia yako, haifai kwa ukoo wako, haifai kwa jamii inayokuzunguka, haifai kwa taifa lako wala sayari hii labda nyingine.
 
attachment.php
 

Attachments

  • DSC04403.JPG
    DSC04403.JPG
    323.4 KB · Views: 909
Back
Top Bottom