Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,591
- Thread starter
- #81
Kwenye main floor plan sijaona sababu ya breakfast corner hapo kwenye family room. Kitchen ni kubwa ya kutosha na plan ni kuwa na jiko kati so breakfast can be done there. Hapo nawaza kusave space for the kitchen and the master bedroom.
Sijaona laundry room,kwa ajili ya washing and ironing.
Hebu nisaidie tafauti na kazi za family room na living room kwanza.
Ila big up, work hard and chase this dream. It is very possible. Bila ndoto ya kuanzia hela zikikufumania lazma ufanye ushamba!
Sijataka iwe na laundry room kwa ndani kwa sababu laundry room nataka iwe kwa nje...and as i said before mie napenda nyumba kubwa...sipendi nyumba ya kujibana bana kama kibanda cha kuku.