Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #21
I am inlove with this,seriously...furniture sasa!!
Ni kujipanga tu mkuu...Lakini wale warembo wako naamini watakupiga jeki hata kidogo kwenye hili...au nimekosea mkuu?
I am inlove with this,seriously...furniture sasa!!
hiyo sio ndoto tena...labda movie...
Ni kujipanga tu mkuu...Lakini wale warembo wako naamini watakupiga jeki hata kidogo kwenye hili...au nimekosea mkuu?
Kwani ni lazima uwe tembo kuishi kwenye nyumba nzuri na ya kifahari?
Sio lazima.....mimi naongelea ukubwa na sio uzuri.....:bounce:
Mie napenda kuishi kwenye nyumba kubwa yenye kila kitu ndani yake na sio ndogo ya kujibanabana kama banda la kuku.
ha ha ha ha! Young Master hujatulia..wale wenyewe wanahitaji kupigwa jeki na mjegeja..
Kwa mwili huo?
Penye nia pana njia.Kaza buti
Huu huu mkuu...kwani unauonaje? Wa kubeba biskuti eee???
kila la heri.
mi nasubiria mwaliko wa house warming party.................
Go Young Master go for it !
Hay bana KAZA BUTI ila design hiyo inafaa maeneo ya ARUSHA na sio DAR
hapo kijana ana ndoto za kuwa mbunge, the waziri ili aibe; akishindwa hilo ataanzisha kanisa lake na kuwa na Nyumba kama ile ya Getrude Rwakatare. Akishindwa yote hayo atakuwa frustrated na kuishia kwenye mitungi 24/7!!!Andaa si chini ya billion moja.
Young Master thx kwa kunipa ramani, nitaiba ofisini mpaka kieleweke.