Haya kina Zitto, Dr. Slaa, Mama Kilango na wengine issue ndio hiyo , sasa ni juu yenu kama wawakilishi wa wananchi issue iwe raised bungeni ili serikali iokoe mabillion na hizo hela zipelekwa kujenga zahanati huku vijijini kwetu ili kina mama wajawazito waweze kuishi wakati wa kujifungua watoto salama.
May God Bless Tanzania![/QUOTE]
And may he wake us up from our deep sleep or more correctly from our COMA.
Sasa hivi ndo vitu tunataka hapa JF. Will buy Meremeta Special even for $ 100.
Sasa haka kainzi nako, kameenda masafa marefu sana. Kukamilisha kazi, ni vizuri kakatengeneza report ya Matapeli wa Dowans katika Cheche pia.
Kitu kinachonishangaza, ina maana hawa viongozi wetu huwa hawana uwezo wa ku-establish existence na legality ya companies au ni Mabongolala?
I don't know about that..what if kilima hiki kikisawazishwa kilima kingine kinaongezewa urefu? Mwisho itakuwa ni kutoa mfuko wa kushoto kwenda mfuko wa kulia!
Kaaaaaaaaaazi kweli2
Halafu tunasema TUNA IDARA YA USALAMA WA TAIFA
Mkuu, ukishaona ufalme huu unapigana dhidi ya ufalme huu, jua mambo yameiva.....katika hili hakuna kilima kitakachoongezwa urefu..vyote vitasawazishwa, Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake dhidi ya watu wake......Ufalme wa Roma na ukubwa wake si ulifika miwsho mkuu?
Lipumba keshasema na JK na baraza lake lote la mawaziri wanahusika na Richmond. Kauli ambayo ndiyo inadaiwa kusababisha hoja ya RA kuzuiwa bungeni. Kazi kweli kweli
Poll Options
Would you buy the special issue of Cheche on Meremeta?
For 25 USD
For 20 USD
Hongereni sana kwa kazi mlioifanya...na sasa tuwaachie wawakilishi wetu kuimalizia. Kuna vichwa vinahitaji kuanza safari hapa...
Lakini wakuu...CHECHE vipi? Yaani ishu ya Meremeta ndo itabaki siri ya wachache katika Taifa la wote?
Siku zote nilisema na nitaendelea kusema...kazi ya uandishi wa habari ni moja ya kazi muhimu sana katika kuleta mwangaza ndani ya giza nono liitwalo serikali. Sasa ningeomba mtekeleze hili jukumu lenu MUHIMU kwa Taifa kwa kutoa hiyo nakala yenye taafira za Meremeta, na ikiwezekana kwa bure kabisa.
Talk abt "Ufisadi".....
sorry,
let's take i am willing to buy the jarida!then how do i pay?and how do i get it?
we can process credit/bank cards (Visa, MC, Express na Diners); but also Western Union or paypal. U'll get in ur email. Hiyo Western Union au fedha Taslimu ni kwa wale walioko Tanzania tu.
we can process credit/bank cards (Visa, MC, Express na Diners); but also Western Union or paypal. U'll get in ur email. Hiyo Western Union au fedha Taslimu ni kwa wale walioko Tanzania tu.