Ijuganyondo
Member
- Jan 13, 2011
- 62
- 1
Asalaam aleykum wanajf,katika pitapita yangu katika vyuo viwili vitatu hapa tz nimekuwa nikiwasikia some ladies wakisema'mimi siwezi kumpenda mwanachuo mwenzangu!hana hata gari? Atanipa nini?atanipeleka wapi?' kwa kweli wana jf nilishtushwa na kusikitishwa na kauli hizo! Wanajf what does this mean?! Nawasilisha..,