There shall be a day!

Mkuu ustaadh O.R. Nundu, kubali tu kuwa hata kama hukula hela you were the slowest dinosaur. Simply useless.
Nchi haitaki wazee goigoi kaa wewe, mzee mwenzako Ronald Reagan (RIP) alikuwa mzee lakini alipanga watu wake vizuri mbele yake wafanye kazi na anasifika mpaka leo kwamba ni miongoni mwa rais mahiri kabisa USA. Nliposkiaga tu utetezi wako kuhusu wikileaks kuhusu uagizaji wa ndege nkaona tu wewe uko slow na hujui kuwa hujui.

Mi naona kheri umepumzishwa, maana hata huu utetezi wako na mashairi unautoa when it is too late, tena kwa mafumbo. Kwa kifupi huna jipya.

Mkuu unamuonea tu huyu muheshimiwa,

Wengi ya watendaji wezi na wabovu hakuwa na mamlaka nao, na wala hawaripoti kwake!

Mfano ni naibu waziri wake! Anazama masafari anaaga kwa PM.

We unacheza na Tanganyika wewe? wizi upo damuni.
 
Let us be honest!

Nundu katolewa kafara jamani, tutake tusitake.

Alizungukwa na majambazi, wezi na isingekuwa rahisi kusurvive.

Pole sana Mh. Nundu.

Soon watu watatambua ukweli.
Mkuu, tatizo kubwa la viongozi wa kiafrika ni unafiki na woga. Sasa kama mtu umezungukwa kwa nini usiweke mambo hadharani ili watu wajue? Na ukiona unazidiwa kwa nini usijiuzulu ili kuepusha shari? It is too late kwa huyu bwana Nundu kulalamika sasa. Alitakiwa awe ameshachukua uamuzi kabla mambo hayajawa mambo
 
Nundu jambo moja tu kwake; unapotaka kutendewa haki hakikisha na wewe unawatendea haki wengine. Kuku anaweza kujisikia raha anapokanyaga sisimizi; lakini akija mwewe haki hubadilika!

But Nundu, I have one word; do not despair and don't you ever give up. Cry but at the end get up, lift your head high, build whatever bridges you had destroyed and move on!
 
I understand you brother.
Sometimes walking the path of rightousness can be trying, but steadfastness and walking the path of the truth always , I say, ALWAYS pays.
Most of us have walked that path, many years before.
But mark my words, The Almighty, who watches above all beings will definately settle all scores and absolve you from blame.
Most of all pray my brother,pray.
Especially during this moment when inner strength is at its lowest ebb.
But come five, six or ten years you will look back and thank the same Almighty for letting you pass hrough the strong winds of politics.

I think of the same to this fellow...I dont think he had proper platform to address the truth. Lakini ndio dunia ilivyo. Kama uliposimama Mh. Nundu ndipo kuna ukweli Mungu hawezi kukutupa. Tanzania ya leo tunapomuomba Mwenyezi Mungu, tunaomba atusaidie tuuthamini na kuufuata ukweli no matter what
 
Mkuu unamuonea tu huyu muheshimiwa,

Wengi ya watendaji wezi na wabovu hakuwa na mamlaka nao, na wala hawaripoti kwake!

Mfano ni naibu waziri wake! Anazama masafari anaaga kwa PM.

We unacheza na Tanganyika wewe? wizi upo damuni.
Sijamuonea, nimempa ukweli wake. Ndo maana nkasema huenda aliishia kunawa tu hakula, lakini huyu bwana ni mzigo.

Kama anapewa wizara akaona anakwamishwa alikuwa anasubiri nini kututetea watz? Au mpaka alipoona nafasi yake ipo hatarini ndo anaona umuhimu wa kujikosha? Kujikosha kwake kunanisaidia vipi mimi mvuja-jasho wakati maji yameshamwgika?

Alipokuwa waziri alikuwa na nafasi nzuri zaidi ya kuwa na access na the most powerful person (JK) na kumshauri na kama angeona JK hasikizi angekuja kwetu wananchi. Sasa haya mashairi yana msaada gani?
 
Uncle Nundu, I dont see it happening a day when an innocent lumb survives slaughter under the current enviroment of which distortations and lies take the lead
 
Mkuu FJM,

Tumekuwa tukiamini kwamba mawaziri wengi wamekuwa wakiwekwa kwenye wizara ambazo hawana utaalam nazo na ndio maana kumekuwa na madudu mengi. Case ya Mh. Nundu, inaweza kutumika kama proof ya kwamba tatizo sio utaalaam wa mawaziri, bali ni mfumo mzima.

Nikisema mfumo, ninaongelea Kanuni za Utumishi; Taratibu za Mawasiliano na Uwajibikaji, nani anawajibika kwa nani, na ana report kwa nani? Je, kuna mianya ya kum-by pass Waziri na hivyo Katibu Mkuu au Naibu Waziri kuwa na direct access na Ikulu au PMO? Then, kuna namna ambavyo hawa watendaji wanapoteuliwa, je, wanapatikana kwa kutumia vigezo gani? Kuna mahusiano gani yaliyopo kati ya mteuaji na mteuliwa?

Juzi kwenye case ya Prof. Mahalu, Mkapa ametamka kwamba kuna maagizo alimpa Prof. Mahalu kwa mdomo [Mahalu alikuwa Balozi, kiutaratibu anatakiwa ku-report kwa Katibu Mkuu au Waziri wa Foreign Affairs, and in special circumstances, anaweza ku-report moja kwa moja Ikulu, lakini info hiyo inatakiwa pia iende kwa Katibu Mkuu/Waziri wa Foreign Affairs].

Tumefika mahali marafiki wanapeana teuzi na kutokana na misingi hiyo hata utendaji kazi unakuwa ni wa kienyeji enyeji na ndio maana Mkapa anasema alitoa maelekezo kwa mdomo wakiwa wawili tu, Mkapa na Mahalu! Waziri husika akisikia huo upuuzi unategemea atakuwa na imani na huyo balozi? Kuna mangapi ambayo yanaenda behind his/her back? Je, hao watu watashirikiana ipasavyo kufanya kazi? Chochote kile atakacholetewa Waziri atakiangalia kwa angles zote kwamba usije ukawa ni mtego, kama amezowea kwenda Ikulu direct, kwanini leo anapitishia hapa? The whole system is broken kwa sababu ya uswahiba na "u-mwenzetu". So, some of wateuliwa are considered as insiders while others are outsiders!

Kuna haja ya kurekebisha mfumo wa uteuzi, Kanuni za Utumishi kwa Wateule, Reporting System na madudu yote, baada ya hapo tutaweza kumlaumu mhusika moja kwa moja.
 
Last edited by a moderator:
I felt little pain for this epistle fr.

I know you are surely and wisely speaking your heartAnd what you write is very meaningful today since we are striving for itWhat chadema is doing now will be a revelation of what you are writeCCM is a center for evils which are now killing the county economically, The government itself is rotten from the municipalities to the statehousePeople are dying and getting sick due to the life toughness created by the ruling part.

For those who are telling the truth are seen as enemies but those lying, corrupt and poor in Leadership are protected and seen like Victorians. When the innocent peoples' voice will be heard? It'll be when chadema took the power. All evils should be revealed and Tanzania will be like the Promise land of Milk and Honey.

Being in CCM you are contributing much in this suppression. The cohesive apparatuses courts and the parliament are defending this weak government.

The truth of everything well be brought by opposition, not CCM, all in all time will tell
 
Mr Nundu, I wish you could dream the day when you will stand up and say the truth. Tell us (Tanzanians) what real was happening within your ministry. Tell us who did what and who ordered what. Apart from that, it is all b....s
 
Mkuu FJM,

Tumekuwa tukiamini kwamba mawaziri wengi wamekuwa wakiwekwa kwenye wizara ambazo hawana utaalam nazo na ndio maana kumekuwa na madudu mengi. Case ya Mh. Nundu, inaweza kutumika kama proof ya kwamba tatizo sio utaalaam wa mawaziri, bali ni mfumo mzima.

Nikisema mfumo, ninaongelea Kanuni za Utumishi; Taratibu za Mawasiliano na Uwajibikaji, nani anawajibika kwa nani, na ana report kwa nani? Je, kuna mianya ya kum-by pass Waziri na hivyo Katibu Mkuu au Naibu Waziri kuwa na direct access na Ikulu au PMO? Then, kuna namna ambavyo hawa watendaji wanapoteuliwa, je, wanapatikana kwa kutumia vigezo gani? Kuna mahusiano gani yaliyopo kati ya mteuaji na mteuliwa?

Juzi kwenye case ya Prof. Mahalu, Mkapa ametamka kwamba kuna maagizo alimpa Prof. Mahalu kwa mdomo [Mahalu alikuwa Balozi, kiutaratibu anatakiwa ku-report kwa Katibu Mkuu au Waziri wa Foreign Affairs, and in special circumstances, anaweza ku-report moja kwa moja Ikulu, lakini info hiyo inatakiwa pia iende kwa Katibu Mkuu/Waziri wa Foreign Affairs].

Tumefika mahali marafiki wanapeana teuzi na kutokana na misingi hiyo hata utendaji kazi unakuwa ni wa kienyeji enyeji na ndio maana Mkapa anasema alitoa maelekezo kwa mdomo wakiwa wawili tu, Mkapa na Mahalu! Waziri husika akisikia huo upuuzi unategemea atakuwa na imani na huyo balozi? Kuna mangapi ambayo yanaenda behind his/her back? Je, hao watu watashirikiana ipasavyo kufanya kazi? Chochote kile atakacholetewa Waziri atakiangalia kwa angles zote kwamba usije ukawa ni mtego, kama amezowea kwenda Ikulu direct, kwanini leo anapitishia hapa? The whole system is broken kwa sababu ya uswahiba na "u-mwenzetu". So, some of wateuliwa are considered as insiders while others are outsiders!

Kuna haja ya kurekebisha mfumo wa uteuzi, Kanuni za Utumishi kwa Wateule, Reporting System na madudu yote, baada ya hapo tutaweza kumlaumu mhusika moja kwa moja.
Keil, Kwenye zile docs alizoweka Invincible hapa zina clue moja ya ajabu: correspondents anapata nakala Katibu mkuu, naibu waziri na ofisi ya waziri mkuu! Waziri husika kwanini hakuwa anapata nakala?
 
Last edited by a moderator:
Keil, Kwenye zile docs alizoweka Invincible hapa zina clue moja ya ajabu: correspondents anapata nakala Katibu mkuu, naibu waziri na ofisi ya waziri mkuu! Waziri husika kwanini hakuwa anapata nakala?

Mkuu FJM,

Ukiona hivyo, hiyo ni dalili tosha kwamba madudu hayo yalikuwa na baraka kutoka juu na kwamba Bwana Nundu alikuwa anaonekana ni kikwazo (mnoko).

Poor Nundu!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: FJM
Tatizo la viongozi wetu wanawezakuona matatizo kwenye maeneo yao ya kazi lkn hawathubutu kuyasema wazi mpaka pale inapofikia hatua ya kutolewa kwenye madaraka.

Ninavyoona mimi the so called mbuzi wa kafara ni kujikosha tu kwa viongozi wetu ili waonekane ni watu safi!

Nundu you desrve to be out of govt, km uliona mambo cyo ungefunguka mapema kudhihilisha uzalendo wako.
you are not an innocent lamb!

km kweli ww ni innocent thibitisha kwa watanzania, ondoka CCM nenda chama chochote ukitakacho, binafsi nakushauri nenda CHADEMA, huko utapata kuongea kwa uwazi zaidi, acha kulalama chukua hatua sasa.
 
Ustaadh hebu funguka, achana na mashairi yenye mafumbo kwasababu siyo njia nzuri ya kuondoa sononeko la moyo. Wenzako wameshamwaga mboga bila mafumbo, nawe kwanini usimwage ugali live?

Lete news, kwanini uteseke?
 
Wenzako walikuwa wanakuchukia toka pale ulivyowatukana mjengoni wakati ukitetea ununuzi wa ndege zilizotumika wakati wao wakidai chakavu. Hawakukuelewa.
Kaka Nundu

sisi tuko na wewe pamoja. Japo wao wamekuondoa lakini deep down tunajua kuwa wewe ulisimama kwa maslahi ya nchi hii na hilo hatutolisahau
 
Jamani yaani wale saba wote mnataka waje Chadema? Hawa si wanatuhumiwa kwamba sio waadilifu. Inabidi tutizame vizuru hii dhana ya kuvua gamba na kuvaa gwanda wasije wakavaa gamba ndani nje gwanda.
A time will come for Omari Nundu to resign the post of MP as well return CCM membership card and join CDM
 
Inaonekana kama vile ameshakata tamaa ni kama vile anaomba Mungu na kuwa na wishful thinking kwamba siku itakuja tu ya na haki itatendeka-lini?

Akazane nafasi yake bado ipo. Yeye bado Mbunge na anilewa vizuri Wizara yake achukua fursa ya kikao cha bajeti kunachokuja kufumua madudu na kupendekeza yale mema.
Nundu jambo moja tu kwake; unapotaka kutendewa haki hakikisha na wewe unawatendea haki wengine. Kuku anaweza kujisikia raha anapokanyaga sisimizi; lakini akija mwewe haki hubadilika!

But Nundu, I have one word; do not despair and don't you ever give up. Cry but at the end get up, lift your head high, build whatever bridges you had destroyed and move on!
 
Mkuu Keil umesema kweli, tutabadilisha mawaziri sana tuu lakini tusipobadilisha mfumo mzima basi tusitarajie miujiza yeyote. Mfumo mzima umeoza tunahitaji kuubadili kwa faida ya wananchi wote wa sasa na baadae.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwanini leo hawa wanaopewa dhamana wanakaa kimya wakiangalia mambo yakiharibika mpaka bunge liwashukie ndo wanadai hawana makosa? Kuliko kuachia mambo yakiharibika, kwanini wasiwe wristle blowers??? Ina heshima kujiuzuru kwa kusimamia ukweli ulipo kuliko kusubiri kushukiwa na panga la uwajibikaji....ndo maana mheshimiwa naona hilo limekuwa zito kwake katika kipindi hiki.
 
Back
Top Bottom