There is no Time-Travel

There is no Time-Travel

Me nachojua kuna uchawi wa kitabu ambao una andika maneno chini au kwenye karatasi una yakanyaga alafu yanakusafirisha mpala sehemu unayo itaka.
Uchawi huu ulituka sana kipindi cha nyuma haswa na mababu zetu na watu wenye uwezo mkubwa katika jamii kama viongozi.
Kuhusu ku go back in time hapo sidhani maana science yake kidogo ina hitaji akili nyingi kama ya speed eti iwe kali kushinda mwanga ndo uweze kumove toka dimension moja kwenda nyengine na ukiangalia mpaka sasa hakuna proof yeyote inayo pinga light is faster than sound
 
I believe in time travel. Ni vile technolojia yetu ipo chini kwa sasa. Vipi pale tutakapokuwa na technolojia itakayokuwezesha kusafiri at least kwa 80% ya kasi ya mwanga into the space..... Hapa ndipo tutakaposhuhudia uhalisia wa Time travelling

However, I don't believe going in the past.... My believe is going to the future my travelling at very high speed out of the earth and come back on the ground. People who were in similar age with you, they will be much older. This is possible, it's just a matter of technology.
Still ume base kwenye relativity,yaani einstein asingelitoa hiyo nadharia means usingekuwa na point ya kutoa nikuulize swali ili nione una uelewa kwa kiwango gani juu ya hii nadharia.
Mfano ukawa na gari inayowenda kwa 80% ya spidi ya mwanga nikatoka mfano Arusha to mbeya hii kwangu itakuwa ni kitendo cha kufumba macho hata kabla sijafumbua itakuwa nishafika mbeya kitambo sana je hapo nitakuwa nime time travel?

Na je? Kuna tofauti gani kati ya kusafiri kwa spidi ya 80% ile ya mwanga, kwa hapa duniani na nje ya dunia?
 
It is difficult to imagine your life without travel. They are the meaning of life, in my opinion - I want to study our planet as much as possible while we live in this world. After all, there is so much beauty around, for the study of which a lifetime is not enough. Even in your own town, sometimes you discover the existence of places that you never knew about before. I would like to share my dream - as soon as the situation with the coronavirus calms down a bit in the world, I would like to go to Chernobyl on a multi-day tour https://chernobyl-visit.com/ru/ to see with my own eyes what happened there. I am sure it will be an invaluable experience for me.
 
Back
Top Bottom