There is no Time-Travel

There is no Time-Travel

Sijakejeli theory, bali nilisema "theory itabaki kuwa theory haijalishi nini kipo ndani ya theory.

Uliniuliza ushawahi kuiona 1.
Nikakuletea "ushawahi kuiona KULA?" sababu nayo inashabihiana na swali lako.
Nimekuuliza ili ufafanue swali lako.


Ina maana muda wote ulikuwa unaongelea kitu ambacho hukijui?

Hujui hata theory ni nini?

Hapana nimeuliza ili ufafanue swali sababu swali lako halijafafanuliwa na mpaka sasa inaoneka umeshindwa kufafanua swali lako.
Kwani nikikuuliza theory ni nini maana yake sijui theory ni nini?

Ushawahi kusikia kitu kinaitwa Socratic question?

Theory ni nini?

Unajua Relativity Theory inasema nini?
 
Ushawahi kusikia kitu kinaitwa Socratic question?
Hapana sijawahi sikia kitu kinachoitwa Socratic question Ila nilishawahi kusoma kuhusu Socratic questioning.
Kwani nikikuuliza theory ni nini maana yake sijui theory ni
Sasa kwanini unauliza theory ni nini?
Unajua Relativity Theory inasema nini?
Theory itabaki kuwa theory haijalishi nini kipo ndani ya theory.
Theory ni nini
Ina maana muda wote ulikuwa unaongelea kitu ambacho hukijui?
Kama unakijua kwanini unauliza?
 
Hapana sijawahi sikia kitu kinachoitwa Socratic question Ila nilishawahi kusoma kuhusu Socratic questioning.

Sasa kwanini unauliza theory ni nini?

Theory itabaki kuwa theory haijalishi nini kipo ndani ya theory.

Ina maana muda wote ulikuwa unaongelea kitu ambacho hukijui?
Kama unakijua kwanini unauliza?
Unadismiss kitu ambacho hata kukielewa hukielewi.

Mpaka hapo hujaona kwamba una tatizo?
 
Wapi nime-dismiss?

Hapana tatizo unalo wewe unayeshindwa kuelewa theory itabaki kuwa theory haijalishi nini kipo ndani ya hiyo theory.

Sasa kwanini waiite theory?

Vaclav Havel(wiki link here) said we should seek the company of those who seek the truth, and avoid those who think they have found it.

You seem to think you have found the truth even before seeking it!

Unasema theory itabaki kuwa theory wakati, hata hujasoma hiyo theory na huelewi kwamba hata kusema theory itabaki kuwa theory ni theory.

Umedismiss kwamba Relativity ni Theory tu, wakati huelewi hata hiyo Relativity ni nini.

Unabisha vitu ambavyo huvielewi. Kwa minajiki ya "ni theory tu".

Wakati vitu hivyo ndivyo vinakuwezesha wewe kuandika hapa na kutuma jumbe zionekane dunia nzima.
 
Wakati vitu hivyo ndivyo vinakuwezesha wewe kuandika hapa na kutuma jumbe zionekane dunia nzima.
Hivyo vyote haviondoi uhalisia wa theory.
Unabisha vitu ambavyo huvielewi. Kwa minajiki ya "ni theory tu"
Kipi ambacho sikielewi?
Umedismiss kwamba Relativity ni Theory tu, wakati huelewi hata hiyo Relativity ni nini
Sasa wewe unaiitaje kama sio theory?
Unasema theory itabaki kuwa theory wakati, hata hujasoma hiyo theory na huelewi kwamba hata kusema theory itabaki kuwa theory ni theory.
Umenimezesha maneno.
Sijasema theory itabaki kuwa theory tu bali nimesema chochote kilicho ndani ya theory hakiondoi uhalisia wa theory.
You seem to think you have found the truth even before seeking it!
Nina uhakika huna uhakika na ulichokiandika bali unadhani ni kweli.
Vaclav Havel said we should seek the company of those who seek the truth, and avoid those who think they have found it.
Vaclav havel ni nani kwako?
Kwanini tusitafute Ukweli wenyewe.
Kuliko kupoteza muda kutafuta company ya hao watafuta ukweli?


Na kitendo cha wewe kuandika
You seem to think you have found the truth even before seeking it!
Mpaka hapo unajipinga mwenyewe kwa alichosema vaclav havel.
avoid those who think they have found it.
sababu hata wewe umedhani umeupata huo ukweli juu yangu bila hata kuutafuta.

You should start avoiding yourself first.
 
Hivyo vyote haviondoi uhalisia wa theory.

Kipi ambacho sikielewi?

Sasa wewe unaiitaje kama sio theory?

Umenimezesha maneno.
Sijasema theory itabaki kuwa theory tu bali nimesema chochote kilicho ndani ya theory hakiondoi uhalisia wa theory.

Nina uhakika huna uhakika na ulichokiandika bali unadhani ni kweli.

Vaclav havel ni nani kwako?
Kwanini tusitafute Ukweli wenyewe.
Kuliko kupoteza muda kutafuta company ya hao watafuta ukweli?


Na kitendo cha wewe kuandika

Mpaka hapo unajipinga mwenyewe kwa alichosema vaclav havel.

sababu hata wewe umedhani umeupata huo ukweli juu yangu bila hata kuutafuta.

You should start avoid yourself first.
Unaelewa Einstein's Relativy ni nini? Unaweza kuielezea kwa kina hapa kabla ya kui dismiss kwamba "ni theory tu"?
 
Ni theory.

Mbona unanimezesha maneno sijaandika ni "theory tu".
Bali nimesema kilicho ndani ya theory hakiondoi uhalisia wa theory.
Nimekuuliza theory ni nini?
Mpaka sasa hujajibu.

Unaelewa hata uwepo wako hapa duniani ni theory pia?
 
Ina maana ulikuwa unaongelea kitu ambacho hata hukijui?

Kama unakijua kwanini unauliza?

Uwepo ni nini?
Kukuuliza kitu ni lazima niwe sijui?

Unajua Socratic question ni nini?

Unaweza kuelezea Einstein's Relativity Theory inasemaje?
 
Kumekuwa na Gumzo kubwa duniani kufuatia nadharia inayodai kuwepo kwa uwezekano wa kusafiri kwenye muda (Time travel).

Ingawa kuna mvutano mkubwa juu ya ukweli wa hili jambo kwa upande wangu naona haliwezekani kwasababu zifuatazo;

Dunia ni moja
Dunia ni moja na matukio yote yanayotokea hutokea kwa muda mmoja na hupita, sasa ukirudi utarudi wapi?

Future bado haijatokea
Sisi ndio tunapelekea future kutokea sasa inawezekanaje hiyo future uione kabla haijafanyika?

ni mtazamo tu..
Niko tayari kukosolewa



i will give you a very honest answer, time travel is only theoretically possible but practically its almost getting impossible: i will explain

for you to achieve time travel you have to travel at-least slightly more than the speed of light, the speed of light is ~ 299 792 458 m / s
- i agree that there are some galaxies moving away each other more than the speed of light but here is the issue:

- As a human the faster you get , the more mass you add and when you have more mass you need more energy , and when you need more energy you add more weight to yourself, at the end of the day you only add much mass than you can move forward, thats 1

2. light is made of photons whih dont have weight, there is no any human who doesnt have weight, the best way atleast possible can be through worm holes
 
Watu Kazini...
Tazama treila...


bosi najitahidi kufuatilia maandiko yako lakini yanachosha kusoma....unavyopangilia matamshi yako, na aina ya kiswahili unachotumia ni kile kisichokuwa na mvuto kusoma...unaweza ukawa na maudhui mazuri sana lakini fani iliyotumika ikaboa....jaribu kuliweka sawa hilo.
 
I believe in time travel. Ni vile technolojia yetu ipo chini kwa sasa. Vipi pale tutakapokuwa na technolojia itakayokuwezesha kusafiri at least kwa 80% ya kasi ya mwanga into the space..... Hapa ndipo tutakaposhuhudia uhalisia wa Time travelling

However, I don't believe going in the past.... My believe is going to the future my travelling at very high speed out of the earth and come back on the ground. People who were in similar age with you, they will be much older. This is possible, it's just a matter of technology.
The problem of us is resources,technology and people who able to do this bro,most of youth today are sharing connections of porn clips instead of scientific innovation 😊
 
Nimeona hacking reality, nzuri sana, nimeipenda theory ya 8th dimension. Drama za yule sister zimenifunza mengi ingawa sijasomea sana physics, ila nimeelewa vizuri.
Na huenda kwenye combination theory ya 8D inaleta mwangaza wa forces mbalimbali ambazo tulikuwa hatuzifahamu.


Alafu hata wataalamu wa kibongo wanapaswa kukazania tafiti zao kwenye hili, huenda tukaibuka kidedea...
 
Back
Top Bottom