There is no Time-Travel

There is no Time-Travel

Spacefox

Senior Member
Joined
Aug 10, 2020
Posts
112
Reaction score
120
Kumekuwa na Gumzo kubwa duniani kufuatia nadharia inayodai kuwepo kwa uwezekano wa kusafiri kwenye muda (Time travel).

Ingawa kuna mvutano mkubwa juu ya ukweli wa hili jambo kwa upande wangu naona haliwezekani kwasababu zifuatazo;

Dunia ni moja
Dunia ni moja na matukio yote yanayotokea hutokea kwa muda mmoja na hupita, sasa ukirudi utarudi wapi?

Future bado haijatokea
Sisi ndio tunapelekea future kutokea sasa inawezekanaje hiyo future uione kabla haijafanyika?

ni mtazamo tu..
Niko tayari kukosolewa
 
time travel.
hii natharia kwel ipo lakini bado wataalamu wa Mambo ya physics wanaendelea kuyafanyia uchunguzi juu ya uwepo wa time traveling , Hilo jambo kweli lipo lakini Kuna baadhi ya challenge ambazo mi binafs nasema ya kuwa bado hatunauelewa wa kutosha kwa sababu if the one goes behind na kuchange tukio moja hatakuwa amechange chain yote ya matukio that means even today will be changed.
 
time travel.
hii natharia kwel ipo lakini bado wataalamu wa Mambo ya physics wanaendelea kuyafanyia uchunguzi juu ya uwepo wa time traveling , Hilo jambo kweli lipo lakini Kuna baadhi ya challenge ambazo mi binafs nasema ya kuwa bado hatunauelewa wa kutosha kwa sababu if the one goes behind na kuchange tukio moja hatakuwa amechange chain yote ya matukio that means even today will be changed.
Time travel, ipo kwa proof tunazoona hata kuaminishwa?? What ni hoja zinazo pikwa kwa kuwa wamesha pika jinsi ya kufikiri kwetu??..
 
Hili ni tatizo kubwa sana.
Sasa kama mtu ndio alikuambia kuwa hii ndio moja, mipaka ya moja haiwezi kutoa mbili. Then baadae ,mtu huyo huyo anakwambia inawezekana, pale haukuwa na uelewa mpana kufundishika. Na bado unaendelea kuamini, HUON ANATAWALA NAMNA YA KUFIKIRI KWAKO, AKIJA NA HOJA AMBAYO MZIZI WAKO NI MOJA TOA MBILI, UTAIPINGA??
 
I believe in time travel. Ni vile technolojia yetu ipo chini kwa sasa. Vipi pale tutakapokuwa na technolojia itakayokuwezesha kusafiri at least kwa 80% ya kasi ya mwanga into the space..... Hapa ndipo tutakaposhuhudia uhalisia wa Time travelling

However, I don't believe going in the past.... My believe is going to the future my travelling at very high speed out of the earth and come back on the ground. People who were in similar age with you, they will be much older. This is possible, it's just a matter of technology.
 
I believe in time travel. Ni vile technolojia yetu ipo chini kwa sasa. Vipi pale tutakapokuwa na technolojia itakayokuwezesha kusafiri at least kwa 80% ya kasi ya mwanga into the space..... Hapa ndipo tutakaposhuhudia uhalisia wa Time travelling

However, I don't believe going in the past.... My believe is going to the future my travelling at very high speed out of the earth and come back on the ground. People who were in similar age with you, they will be much older. This is possible, it's just a matter of technology.
Whites make us look like there's nothing we know about...
They invent each and everything and our only work is to believe in what they say....

We want our only scientists in the country to prove it..
 
Kumekuwa na Gumzo kubwa duniani kufuatia nadharia inayodai kuwepo kwa uwezekano wa kusafiri kwenye muda (Time travel).

Ingawa kuna mvutano mkubwa juu ya ukweli wa hili jambo kwa upande wangu naona haliwezekani kwasababu zifuatazo;

Dunia ni moja
Dunia ni moja na matukio yote yanayotokea hutokea kwa muda mmoja na hupita, sasa ukirudi utarudi wapi?

Future bado haijatokea
Sisi ndio tunapelekea future kutokea sasa inawezekanaje hiyo future uione kabla haijafanyika?

ni mtazamo tu..
Niko tayari kukosolewa
Weka bundle la mb nenda YouTube search Brian greene fatilia makala zake zinazohusu time and space.. humu kukuelezea watu wanaona uvivu si kitu kidogo kukielewa!.. we nenda huko ukaelezwe kwa mifano utaelewa halafu acha Sana movie kabla ya kufatilia theory husika sometimes zitakuchanganya.. Mambo mengine ni imagnation tu!.. we kawasikilize wenyewe na hesabu zao ndo utaelewa.
 
Time is not constant therefore it's traversal, hilo halina mjadala. Let's move on from this conversation to other more complex topics
 
Back
Top Bottom