Theluthi Moja wa Wasichana wa Tanzania wako abused kabla hawajafika 18!

They can't complain coz they use each other. Grades vs you-know-what!
Mkuu hapo hakuna kutumiana coz, mmoja analazimika kutoa penzi sababu tu apate kazi
nakumbuka kwenye interview moja nilimwagia mtu maji nikaondoka, na niliitwa hiyo kazi ila sikwenda
 
Kale kalianza na miaka tisa hata kifuani hakuna tu kokwa.
nakumbuka nilienda lidaz jumapili moja wakati naondoka tukakakuta nyuma ya gari yetu
kanakiss na mtu mkubwa ajabu, yaani nilimshangaa sana na hiyo ni miaka kama minne imepita au mitano
 
Sheria ya ndoa ya mwaka 1971, kuhusu umri wa wana ndoa

Mwanamke na mwanaume wawe wametimiza miaka 18 ili kufunga ndoa. Hata hivyo mwanamke anaweza kuolewa akiwa na umri wa chini ya miaka
18 lakini sio chini ya miaka 15 kama atapata idhini ambayo hutolewa na baba na kama hayupo ni mama au kama wote wamefariki idhini itatolewa na mlezi wa binti huyo. Kama wote wamefariki basi hatahitaji idhini. Kuna wakati katika mazingira fulani mahakama inaweza kutoa idhini kwa binti kuolewa akiwa na miaka 14 lakini si chini ya hapa ikiwa ataonekana kwa mfano ana mimba. Pia mwanaume anaweza kuruhusiwa na mahakama kuoa akiwa na umri wa miaka chini ya 18 lakini lakini si chini ya 16 kama ataonyesha kuelewa jukumu lake kama mtu mzima. Lakini hii ni pale ambapo kuna tatizo kama la kumpa msichana mimba ndipo mahakama inaweza ikatoa idhini. Katika ombi la kuoa la SHABIRI A. M. VIRJI (1971) HCD NO. 407 la Mahakama Kuu ya Tanzania, mwombaji alikuwa na miaka 16 lakini alimpa mimba binti wa miaka 18. Mahakama katika kuchunguza ombi la mvulana la kuoa ilitoa kibali kwa sababu wote wawili walipendana sana na wazazi wao hawakuwa na kipingamizi cha wao kuoana.

Thanks mkuu. Hapo miaka 14 ni exception tena katika mazingira ambayo sheria imetaja wazi tena kwa ruhusa ya mahakama.
 
Katika hili suala kuna vikwazo vingi ambavyo itakuwa ngumu sana kuvimaliza.

Kwanza serikali inayodai itamaliza hili tatizo haina rekodi ya kutoa ufumbuzi hata wa mambo mepesi. Pia baadhi ya mila zinafanya watu waamini kuwa mwanamke ni kifaa cha ngono. Katika mazingira hayo, ni vigumu kukutana mwanaume ambaye hajachezea kabinti kadogo hata chini ya umri wa miaka 14-15!

Tuliofanya hivyo bila kujua tuombe msamaha na kusaidia katika kutokomeza hilo tatizo. Ni muhimu kuanzia kwenye jamii badala ya kuingiza siasa tena za akina Magamba na wengine wanaofikira kwa kutumia Masaburi!!
 
nakumbuka nilienda lidaz jumapili moja wakati naondoka tukakakuta nyuma ya gari yetu
kanakiss na mtu mkubwa ajabu

Halafu eti na haka useme kamekuwa abused, wakati kanaipeleka kenyewe, nilikuwa nawalaumu wanaume wanaokagonga lakini msimamo wangu ulibadilika siku niliposhuhudia kakimtongoza rafiki yangu Billz( jamaa ana miaka kama 49).
 
Thanks mkuu. Hapo miaka 14 ni exception tena katika mazingira ambayo sheria imetaja wazi tena kwa ruhusa ya mahakama.

Hiyo exception yenyewe umeiona mkuu? Eti ikiwa ataonekana ana mimba, kwa maana nyingine ukitaka kuoa binti wa miaka 14, unamjaza kwanza mimba ndio unapata ruhusa.
 
Kweli kabisa, kuna watoto huku mchana omba omba usiku vicd.
Wanaume na nyie vioneeni huruma mtafute wa umri wenu.
 
shule za msingi mfano
hasa za vijijini,walimu wanatembea na wanafunzi kama culture hivi
waziwazi kabisa


sasa la kushangaza mpaka university wadada wanadhalilishwa na wako kimyaa

The Boss hiy ya chuo imenikumbusha rafiki yangu mmoja aliwahi kuwa sexually abused akaendashtaki ah............ yaliyojiri it was bad...ilibidi tupeane zamu ya kumchunga maana alitakaga kujiua.........the system haikuwa inamsupport (sijui ni kutokana na influence alokuwa nayo mtuhumiwa) na mbaya zaidi aliyekuwa kwenye kitengo kile alikuwa ni Mwanamke!! Acheni kabisa inahitaji moyo wa ziada na support ya aina ya pekee mtu kujitokeza na kusema yaliyomsibu ili kukemea....
 
They can't complain coz they use each other. Grades vs you-know-what!

Abuse za vyuoni jamani ziko za aina nyingi please! na isitoshe linapokuja swalal la mwalimu na mwanafunzi kusema ukweli liko complicated. Nakubali wapo wale wanaojipeleka na kuweka bayana kuwa mwalimu niongezee marks mie na wewe tutaelewana Zero Guest House but kuna wale ambao walimu wanatake advantage......amemuona ni binti mzuri, amemtokea, akakataliwa then what follows ni vile vitisho vya ......oh Degree yako nimeishikilia mie..........anaanza kuwithhold CW na kutangaza vitangazo vya ajabu ili mradi tu amnase..........of coz haimaanishi kuwa najustify kukubali kudhalilishwa lakini kudhalilishwa kijinsia si lazima mpaka umchojolee.....hata akifanya haya tayari amekuabuse!! Najua mko mtaouliza kwa nini wasishtaki.....................mnisaidie kunijibu kwa kesi kama hizi anaendashtaki wapi?? System gani tulizonazo vyuoni za kufanikisha uripotiji wa abuses??

So naomba tuepuke kugeneralize kwa ishu ya Sexually abuse upande wa vyuoni!!
 
wapo bana inategemea na makuzi yako.! lakini mahali pengine hili jambo lipo sana tena kwa uwazi tu we tegemea kitu gani ilahali watotowa umri miaka 13 wanafunzwa jinsi ya kuishi na mume, akitoka mafunzoni ni vitendo kutimiza alivyofundishwa.!
 
Kiasi kikubwa kweli...sikuwahi kufikiria!!‘
<br />
<br />

Report inahusu physical sexual abuse. Percentage ingekuwa kubwa zaidi wangejumuisha na verbal abuse ambayo pia ni form of sexual abuse. Cha ajabu tunapozungumzia verbal abuse mwanamke ni both victim na perpetrator.
 
I don't mean to ruin the topic,ila watoto wa kiume huwa sexually abused na wanaume pia.Especially during preteen ages kama za miaka 7 mpaka 10.I was sexually abused by a very close friend of our family.Came to find out one of my cousin and my childhood friend was abused too.
I am serious,I kept this secret all my life.Inaharibu sana tabia na ushirikiano wako na watu wengine,pia nina mtoto wa miaka mitatu(a boy) na huwa naogopa sana hata jamaa wakiwa wanamsalimia na just kucheza nae.Nilipata psychological help,ilisaidia sana ila bado hii kitu inanihaunt.
Sikudhani nitasema hili mbele za watu,ila I just thought this is the perfect opportunity and I thank MMKIJIJI for bringing this up.
A lot of little boys are getting sexually abused too,I am serious and it's very hard for boys to expose it.
 
<br />
<br />

Report inahusu physical sexual abuse. Percentage ingekuwa kubwa zaidi wangejumuisha na verbal abuse ambayo pia ni form of sexual abuse. Cha ajabu tunapozungumzia verbal abuse mwanamke ni both victim na perpetrator.

Vipi na wale wanaonyanyaswa mitaani mchana kweupe?
 
Ukifikiria na wasichana wa kazi majumbani wanavyonyanyaswa kingono na watu wanavyo support ....
 
Duh Kobello pole sana.

Unachoongea ni kweli kuwa watoto wadogo mara karibu zote wanakuwa abused na watu wa ndani ya familia.
 
Halafu kuna hili la wadada wa kazi jamani jamani.... tuanzie hapo hawa watu ni hatari sana wanaharibu watoto kila leo
 
Back
Top Bottom