Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,322
- 105,152
Nataka niandike maandishi machache yenye kueleweka usinipe jukumi la kuandika maelezo mingi hivyo akili yakujiongeza isiwe likizoNaona unauliza swali sehemu uliyotakiwa kujibu swali, sasa nani anapaswa ajibu swali.
Naona sasa kama marejeo sio muhimu kwanini ulitaka nikupe marejeo ? Nakukumbusha tu Marejeo ni kwa Kiswahili kwa Kiingereza ni "Reference".
Dogo huelewi jambo unavamia vamia tu, hata umuhimu wa marejeo huujui halafu unataka marejeo mwisho wa siku kwa ujinga wako unajipinga. Kijana tuliza akili.
Marejeo hupimwa na hali halisi, ambayi ni UKWELI wenyewe. Sababu swali langu hujajibu na mimi nimekujibu maswali yako kuokoa muda sababu najua huna unalo lijua katika hili na mfano wako, navunja misingi yako ili ujibu maswali yangu.
Nacho kukumbusha tu ukiwa unajadiliana na mimi, hakikisha una kumbukumbu nzuri.
Tuendelee ....
navyosema marejeo hususani napo jadiliana na wewe namaanisha huo utopolo (kuran) kwasababu Hakuna vivid proof juu ya ukweli wa hicho kitabu
Ukinipa reference amabzo ni testable&observable mbona ntakubali na sita sema utopolo