The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Nilijua tu
Flat earther lazima awe alien believer Freemason beleiver na other conspiracies
Yani Ukipenda boga Basi penda na ua lake

Ukionesha kwanini kivuli cha dunia kwenye mwezi kina shape ya duara hivyo mwezi unakuwa kama sickle wakati muda huo dunia ni flat nitaamini kuanzia leo...anyway according to your model kwenye mchoro wa kwanza kama mwezi na jua vyote vipo kwa juu ya dunia iliyo flat then kivuli cha dunia hakiwezi kuuzinga mwezi hivyo siku zote duniani ingekuwa ni full moon
Mm nilimuomba atuelezee KUPATWA KWA JUA NA MWEZI KUNAVYOTOKEA IKIWA DUNIA NI FLAT NA HAIZUNGUKI

ARUSHA KWETU
 
The problem ujinga unakusumbua sana ,mimi naona dunia ni flat na jua ni dogo pamoja na mwezi halafu wewe unaongea dunia durua umejuaje?eti inaspin prove it?ndo maana human kind itakuja kuwa controlled na artificial intelligence huku mkicheka "hahaha this is technology"kumbe ndo akili ya mwisho kabisa
Moderators kuweka hii thread kwenye recommendation list imenishangaza sana.
Article ndefu imejaa upuuzi tu alafu inakua #1 kwenye recommendations, ndiyo sababu watu hawaendelei. Sishangai mleta mada kua masikini maana conspiracy theorists wengi hua ni masikini.

Hili swala tulishalijibu miaka zaidi ya elfu iliyopita, hakuna haja ya kuendelea kulidiscuss leo. What a disappointment to the human race hadi leo hii na advancement yote ya technology mtu anasema hollywood wanawachezea, stupid.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ni sphere umejuaje wakati kila siku marekani wanataka wapasue ceiling glass au dome ,mkiambiwa ukweli moon landing haikutokea mnalialia ka watoto we unadhani wana nia njema na sisi ,tukianza kuongelea na elimu gani jua nimepita kote huko ila kujikomboa kifikra ni jambo lingine
Hahaha watu wanao amini kuwa dunia ni flat ni waongo na vilaza.Wengi ni form 4 failures.

Kuna kipindi Shaq naye alianza kujiiingiza katika imani hii potufu ila baadae akajitoa.
fe-right-on-the-money.jpeg
15-86-11670print.jpeg
C0021196-Apollo_Moon_boot_sole-SPL.jpeg
appolo_15_S10.gif
300px-AS17-137-20979HR.jpeg
Rover1.jpeg
appolo_15_S16.gif
apollo-15_17.jpeg
appolo_15_S9.gif
Iss-earth-sun.jpeg
KP8Qn.jpeg
17-05-20122-31-21AM.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv swali la lunar eclipse mmeshajibu watu wangu wa flat earth???? Maana naona kama limekaushiwa hv

Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo mambo mengi hayajibiki kwa mtazomo wa flat earth ya kiwemo eclipse,sun rise and sunset, kuzama meli in the horizon arc movement of jet plane in the sky. Flat earthers wabishi sijawahi kuona.
 
Atleast unafahamu uwepo wa Mungu ,big up.
Iwe flat au globe, au flattened sphere, au triangle, vyovyote, tunamshukuru Mungu kwa maisha na uzima. Tunawaombea ndugu wote wanaopitia mahangaiko mbali mbali hapa duniani kama maradhi, umasikini, vita, ukame, mabadiliko ya hali ya hewa n.k. awatizame na kuwatangulia kwenye njia yao. Na iwe na iwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia sio sphere mkuu na wala hakuna curvature ,ukiwa everest unaliona hilo au mtafute rubani yeyote mwambie akuambia ukweli kabisa asikufiche,images zao zinatengenezwa na computer programs .
Wanao dai kuwa dunia ipo flat wanaelezeaje kuhusu picha za dunia zilizopigwa kutoka angani zikionyesha dunia ni kama sphere??
Etna_from_ISS_14Jan11_3_small.jpeg
Iss-earth-sun.jpeg
images%20(9).jpeg
images%20(7).jpeg
giphy%20(2).gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukielewa mambo ya motions hata kama dunia ingekuwa inazunguka kwa speed ya light kusingekuwa na tatizo lolote
Kama unaamini dunia inazunguka basi wewe utakuwa ni juha.

Tena wazungu wanakwambia inazunguka 10,000km/h.

Ni mwehu tu ndo wakuamini haya mambo kama aliyeamini binadamu wa kwanza kaishi miaka milion 3.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hello great thinkers,hope you are well in your daily activities,i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.

To begin many of people know the world is a globe on which is never going to be or happen ,and it never is ,because if you accept the deception then you are deceived and never use your hypothetical sense correctly without further hesitation ..i will provide documents and proofs then the discussion begins ,please use your mind here respectively and think twice...

READ THE FILES FIRST...
and there are alot of evidence that i can provide that even project to MARS is a media stream and is done in hollywood basements to turn peoples mind away from the great lands beyond the south pole/antartica.View attachment 1334468View attachment 1334467View attachment 1334469View attachment 1334470View attachment 1334471

Sent using Jamii Forums mobile app
Charles Johnson ~ Flat Earth Society

“When the United States declares the earth is flat,” says Charles Johnson, “and we hope to be instrumental in making it do so, it will be the first nation in all recorded history to be known as a flat-earth nation.

“It’s the Church of England that’s taught that the world is a ball,” he argues. “George Washington, on the other hand, was a flat-earther. He broke with England to get away from those superstitions.”
“Moses was a flat-earther,” he reveals. “The Flat Earth Society was founded in 1492 B.C., when Moses led the children of Israel out of Egypt and gave them the Ten Commandments at Mount Sinai.”
Obviously water’s flat, isn’t it?” he said in a Times interview in 1992. “They’re trying to tell you this water’s bent!”
Asked why don’t people fall off if the Earth if flat, Johnson would patiently explain, “There is no edge. As far as we know, it’s endless.”
“Australians,” he once elaborated in the Flat Earth News, “do not hang by their feet underneath the world!”
“Nobody knows anything about the true shape of the world,” he contends.
“The whole point of the Copernican theory is to get rid of Jesus by saying there is no up and no down,” declares Johnson. “The spinning ball thing just makes the whole Bible a big joke.”
“Wherever you find people with a great reservoir of common sense,” he says, “they don’t believe idiotic things such as the earth spinning around the sun. Reasonable, intelligent people have always recognized that the earth is flat.”
Fond of plays on words, he consistently pronounces Nicolaus Koppernigk’s Latinized surname as “co-pernicious.”

“In the old days, people believed the earth was flat, because it’s logical, but they didn’t have a picture of the way it was, as we have today. Our concept of the world is new.

“It’s the Church of England that’s taught that the world is a ball,” he argues. “George Washington, on the other hand, was a flat-earther. He broke with England to get away from those superstitions.”
“Moses was a flat-earther,” he reveals. “The Flat Earth Society was founded in 1492 B.C., when Moses led the children of Israel out of Egypt and gave them the Ten Commandments at Mount Sinai.”

“Marjory and I are the avant garde. We’re way ahead of the pack.”

Obviously water’s flat, isn’t it?” he said in a Times interview in 1992. “They’re trying to tell you this water’s bent!”

Asked why don’t people fall off if the Earth if flat, Johnson would patiently explain, “There is no edge. As far as we know, it’s endless.”

“Australians,” he once elaborated in the Flat Earth News, “do not hang by their feet underneath the world!”

When the space shuttle Columbia first landed next door at Edwards in 1981, he scoffed: “This airplane landed, but it’s just a simple, stupid old airplane carried piggyback and dropped over Lancaster. . . . It hasn’t orbited the Earth–that we know.”

“Moses was a flat-Earther,” he said in several interviews. “The Flat Earth Society was founded in 1492 BC (biblical scholars date the Exodus to 1491 BC) when Moses led the children of Israel out of Egypt and gave them the Ten Commandments at Mt. Sinai.” Presumably, had the Earth been round, they would have fallen off before reaching the biblical promised land.

Jesus believed in a flat Earth, Johnson said, because he ascended to heaven, and if the Earth were a ball, “there [would be] no up nor down.”

Christopher Columbus was a flat Earth believer too, Johnson told The Times, discussing events of 1492: “He had enough sense to know that if the world was a ball, he would have fallen off.”

“Marjory has always known that the earth is flat, too,” says Charles Johnson. “As far as she knew, everybody in Australia knew it. She was rather shocked when she arrived here and found people speaking of Australia as being ‘down under.’ It really offended her. She would get in quite heated arguments with people who seemed to accuse her of coming from down under the world.” Ultimately, Marjory Johnson swore in an affidavit that she had never hung by her feet in Australia.

If the Shuttle ever does orbit on its own, it’s supposed to return to Edwards Air Force Base. To Johnson, that’s appropriate enough.
“Do you know what they’re doing at Edwards right now?” he asks. “‘Buck Rogers in the 25th Century’ is made right where they claim they’re going to land the Shuttle. Edwards is strictly a science-fiction base now.

“In the old days, people believed the earth was flat, because it’s logical, but they didn’t have a picture of the way it was, as we have today. Our concept of the world is new.

“Marjory and I are the avant garde. We’re way ahead of the pack.”

“Buck is a much better science program, considerably more authentic. In fact, I recommend that the government get out of the space business and turn the whole thing over to ABC, CBS, and NBC. The tv networks do a far superior job. They could actually pay the government for rights, and it wouldn’t cost the taxpayers a penny.”

If it is a sphere, the surface of a large body of water must be curved. The Johnsons have checked the surfaces of Lake Tahoe and the Salton Sea (a shallow salt lake in southern California near the Mexican border) without detecting any curvature.

If the Shuttle ever does orbit on its own, it’s supposed to return to Edwards Air Force Base. To Johnson, that’s appropriate enough.

“Do you know what they’re doing at Edwards right now?” he asks. “‘Buck Rogers in the 25th Century’ is made right where they claim they’re going to land the Shuttle. Edwards is strictly a science-fiction base now.

“Buck is a much better science program, considerably more authentic. In fact, I recommend that the government get out of the space business and turn the whole thing over to ABC, CBS, and NBC. The tv networks do a far superior job. They could actually pay the government for rights, and it wouldn’t cost the taxpayers a penny.”
Kama dunia ni flat basi nategemea itakuwa na edges ambazo mtu akifika hapo basi atadondokea kwenye free space.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UKWELI NI KUWA MNAKATAA UHALISIA WENU MNAKIMBILIA VIRTUAL ,NAOMBENI MTULIZE VICHWA NITAWEKA DOLLAR YA 50 AMBAYO INA DOME YANI KIOO CHA DUNIA ,PILI ANGALIA WASHINGTON DC CAPITOL YA MAREKANI JUU YAKE INA DOME SAWA,TATU ANGALIA NDANI YA WHITE HOUSE CARPET ZAO NI ROUND FLAT EARTH ,NI FLAT CIRCLES,HALAFU MSIKILIZE HILLARY KWA MAKINI SANA ,NDO UTA ELEWA KUWA WANAJUA DUNIA IPO VIPI ILA WANA AGENDA YAO TAKE MY WORD NA MWENYE MACHO NA AONE.

MAREKANI HAO HAO
-WAMEFANYA HOAX MOON LANDING
-OPERATION HIGHJUMP
-OPERATION FISH BOWL
-OPERATION DOMINIC
-OPERATION BLUE BOOK
-NASA
-MARS
-ANTARCTIC TREATY
-CURRENCY
-ALBERT EISTEN KUMPA UHAMISHO TOKA GERMANY NA KUPEWA FORMULAR YA ATOMIC
-HAWAKUPIGANA SECOND WORLDWAR
-WALIIZIMA SECOND WORLD WAR
-WANA AREA 51 YAKUCHUNGUZA UFOS
-FIRST AND STRONGEST MILITARY
-HOLLYWOOD
-WANA MILITARY BASE WORLDWIDE

akili kwenye kichwa


images%20(24).jpeg
images%20(20).jpeg
images%20(19).jpeg
images%20(18).jpeg
images%20(17).jpeg
images%20(23).jpeg
images%20(21).jpeg
images%20(22).jpeg
images%20(25).jpeg
images%20(26).jpeg
images%20(27).jpeg
images%20(28).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
WHEN THE MOON AND SUN INTERSECTS AT DIFFERENT ANGLES View attachment 1337911View attachment 1337914

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu according to ww ni kwamba dunia yako ya flat ni kubwa kuliko jua Ndó maana mwanga haufik kote sasa hicho cha kwanza sijui ni nini maana naona vimpira vinakimbizana tu.

Pili lunar eclipse ninavyojua mm ni dunia inakuwa katikati ya mwez na jua. Sasa hii inatokeaje?? kumbuka dunia yako ni flat.
Ningependa majibu sio picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wameshakuja na majibu yao kichwani huwezi kumuambia kitu chochote maana maisha yake yote hajazoea kujiuliza au kuwa na mtazamo tofauti juu ya kitu fulani usipoteze muda wako sana nimesoma uzi wote na kila post kuna maswali ya kipuuzi na faida pia lakini kuna kitu ni nimegain maana mm hata kitu kama najua huwa nina attitude ya kuwa empty mind iliniweze kujifunza na vingine pia nakupitia maelezo yako na umenifanya na mm nifuatiliea hii flat earth nikimaliza kufuatilia ndio nitajua nikaewapi nipo 50-50 mpaka sasa kuwa na mtazamo tofauti sio dhambi safuher Zurri REALITY big up guy's mliopambania flat earth.
 
The problem ujinga unakusumbua sana ,mimi naona dunia ni flat na jua ni dogo pamoja na mwezi halafu wewe unaongea dunia durua umejuaje?eti inaspin prove it?ndo maana human kind itakuja kuwa controlled na artificial intelligence huku mkicheka "hahaha this is technology"kumbe ndo akili ya mwisho kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Don't waste my time man, you are stupid and poor, seriously I don't wanna waste time arguing over this nonsense.
Find someone else who agrees with your nonsense.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom