The World is a flat plane and not a globe

Mi nahisi lens sensor in zooming ability inauwezo kiasi gani kama ipo strong it can move far but not finity ila week hautaenda mbali ila hizo factor sio dharura ndo chanzo why we cant get far the horizon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka inaonekana hujui maana ya Elimu, elimu sio dibaji na kusoma risala mbele ya mgeni rasmi, elimu ni ile ambayo uko nayo kifuani mwako, na unaweza kuitoa popote utakapo kuwepo.

Sasa unapokutana na mtu ambae anakutoa wasi wasi juu ya unachi mdhania, lakini hutosheki unaendelea kujificha kwenye kichaka cha ubishani na kwamba sitaelewa, hii ni ishara ya kuwa hicho unajifaragua kwacho hukijui, ndio maana unishia kutaja majina.

Bora kidogo chenye manufaa kuliko kingi chenye karaha.

Nipo....
 
Kwa kuongezea ndege ina runturn moja kiuelekeo, there is something behind this! Nina proof about this lakini first nahitaji kuwafahamu watu vizuri hapa.
 
Mada ni fikirishi sana ingawa bado nasubiri facts za mtoa mada ili nichague upande.
Mkuu mtoa mada hukutakiwa kuanzisha uzi mgumu kama huu kwa kutegemea kutoa facts zako kwa kuulizwa maswali tu maana sio wote wanajua unavyojua wewe. Mfano mzuri angalia wewe na baba swalehe wote wataalamu wa quantum physics lakini bado kila mmoja anahisi mwenzake haijui vizuri quantum physics sembuse sisi tusioijua hata kuiandika?
Tunaomba utuambie ni kwa nini dunia ikiwa spherical sisi tunapunjika halafu wao wananufaika??
Kwanini gateway to the other side of the flat earth iwe antarctic peke yake na sio arctic pia au sehemu nyingine yoyote.
Hebu tusiongelee quantum physics kwa sasa bali tuelezee unayoyajua kuhusu dunia tambarare mkuu
 
Mi nahisi lens sensor in zooming ability inauwezo kiasi gani kama ipo strong ya can move far but not finity ila week hautaenda mbali ila hizo factor sio dharura ndo chanzo why we can get far the horizon

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikataka ithibati, ya kuwa ndio hizo factor zimeondoka, unaweza kuthibitisha uwezo wa Camera kufika ukamilifu na kujua ncha ya mwisho ya dunia ?
 
Hawa ndio maana mimi huwa nawaita mashabiki wa Sayansi, yani wao huvutiwa tu na habari za Sayansi, ila kuhoji kwao ni mwiko.

Laiti watu wangeamua kuhoji haya mambo tungeheshimiana sana.
 
Mkuu sasahivi tupo stationery wao eti wanazungua thousand miles in speed halafu wanazunguka jua waache wazunguke ,na kabisa kila siku wanaliona juu linatokea huku na linazama huku linatokea huku linazama huku na wanaliona kabisa ni dogo na hawahisi kabisa kama dunia inazunguka.kufikiri ni kipaji
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahaha..... Ndugu yangu ashazoea mimi ni mtu wa vichekesho

Ngoja nmuulize anajua chochote kuhusu diagram of eratosthenes na measurement zake nadhani mada ianzie hapa.
Kama hajui aniache na kazi nyingi za kufanya
 
Hivi umemuelewa alichoandika?
Pili humu ndani hatuongei,kuongea ni sauti sio maandishi sawa msomi.
Mimi mkuu nmeshindwa kuongea chochote humu tushadili sana humu ndan na hawa flat earth

Wagumu mno ni sawa na mkristo au muislamu umwambie dini yako sio sahihi [emoji28][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ huyo raia alipokataa sattelite, nikajua kuna tatizo kubwa sana hapa aisee.Dah watu tunaenda mbele,karne hii mtu analeta kitu kama hiki cha flat earth kwa evidence za youtube๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ.Yani hii ni kama story ya Hamida, na Gwaju
 
Hapo ndipo huwa nawacheka hawa jamaa, halafu wanajiona wana akili kuliko wengine.
 
Man am tired of this people

Tumeongea sana hii mada ipo humu

Mods unganisheni hii mada aisee
 
Wakuu mleta mada ana itikadi zake za kiimani nahisi ana force ngoma iendane na vitabu vyao. Halafu suala la kutuambia nyie mmesomea sayansi mpaka chuo na kutaja ma vitu magumu hata kuyaandika hakuwezi kufanya tukubaliane๐Ÿ˜ƒ. Leta ukweli ambao uko wazi.Tueleze huo mkataba uli sainiwa wapi, na hizo nchi kumi na nne ni zipi? Tueleze kirahisi hata kwa ku compare na ku contrast nadharia za dunia mfano wa duara na dunia kama meza, tueleze kitabu kilichoandikwa kaandika nani, kasoma wapi, na ana reputation gani katika ulimwengu wenu wa wasomi wa sayansi, asije kuwa ni story teller aina ya wakina Shigongo๐Ÿ˜ƒ. Kuna mtu kakanusha kuhusu "satelaiti"๐Ÿ˜ƒ, pia tusaidie mkuu hilo camera la P9 umewahi kulitumia na ukapata matokeo tofauti na ya Galileo?
 
Unaanzaje kubishana na mtu anayekwambia sattelite ni uongo

Mtu ambaye nikijaribu kumwelezea trigonometrical parallel ataishia kunitukana na kuniona nmemeza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Œ

Mtu ambaye nikijaribu kumweleza olbers paradox kwamba sky ingekuwa permanent bright kama universe ni infinity

Sijui kama amesoma hubbles law maskini na kama amesoma kwa nini anaandika huu upumbavu

Mtu anaidharau quantum physics.... Yaani jamaa angu mustafi aliyepobpale cern super proton synchroton yupo anafanya mapenzi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ๐Ÿฆ…
Mimi mkuu nawaacha bwana endeleeni na haya mambo mafundi wenyewe ma flat earthers ngoja wengine tukacheze gololi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ