Kama hujui hata flat earth ni nini ni bora ungeenda google ukajielimisha kwanza ndipo uje humu. Hujishangai watu wote wanachangia kwa kadri wawezavyo ila wewe ndio umebaki na kindergarten question, what is flat? Please, save your energy.Hutakiwi kuanza kuzungumzia flat this and flat that kabla huja define flat ni nini.
You didnt mark me well kumbuka flatearthers tunatumia hidden doctrines,scriptures,documents,science and sight evidence.kwahiyo nikisema complex ni complex in data.mfanoInavyozidi kuwa complex kwa Mungu picha ndio kwanza linaanza. Mpaka dunia ije ifahamu yote ya uumbaji wake Yesu atakuwa amesharudi.
Sent using Cash Money Wings
Hoja ya msingi ikiwekwa mbele ya pua yako utaijua?Nashughulika na hoja ya msingi, you have a dictionary to your aid.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
What is the definition of flat? Sijauliza flat earth, kabla ya kwenda flat earth, anza na flat kwanza.Kama hujui hata flat earth ni nini ni bora ungeenda google ukajielimisha kwanza ndipo uje humu. Hujishangai watu wote wanachangia kwa kadri wawezavyo ila wewe ndio umebaki na kindergarten question, what is flat? Please, save your energy.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Haswaa.
Kama NASA wamefanya project za mabilioni ya dollar miaka yote kumbe wanatuongopea walaaniwe. Na kwanini watuongope kwa faida gani sasa?
Kwani sisi tukijua dunia ipo flat inatuongezea nini au inatupunguzia nini?
Mimi sasa hivi nikitangaziwa dunia ni flat nitafanya nini kwani nitajiua? Au kwani nitakwenda huko mwisho wa ncha ya dunia na sururu au shoka nianze kupasua kioo nitoke nje ya dunia?
Na kwanini Russia, Japan, Korea, China wapo kimya ilihali kila mara wanarusha vyombo vyao huko nje ya dunia?
Ila hii la dunia flat linamaswali mengi sana
Hizi habari za dunia ipo flat sio za kupuuzwa otherwise lifanyike jambo la kuprove dunia ni spherical shape.
Swali kuprove dunia ni flat nini kifanyike?
Sent using Cash Money Wings
Huwa simwelewi mtu anayeamini dunia ipo flat
Kwanza unaweza kututhibitishia ya kuwa hiyo miradi kweli ilifanyika na hizo fedha zilitumika kwa kiasi hicho ?Kama NASA wamefanya project za mabilioni ya dollar miaka yote kumbe wanatuongopea walaaniwe. Na kwanini watuongope kwa faida gani sasa?
Waswahili huwa wanasema "Mfitini huwa hana sababu" na sio lazima wewe uijue hiyo sababu, ila bila shaka wanajua wanachokifanya.Kwani sisi tukijua dunia ipo flat inatuongezea nini au inatupunguzia nini?
Kinachotakiwa ni kuwa daima ukweli utangulizwe na uongo usiwe juu ya ukweli. Hapa ndio kuna tatizo kwanini usione shida kwa kila jambo ?, jambo ambalo hata akili ya kawaida tu inalikataa.Mimi sasa hivi nikitangaziwa dunia ni flat nitafanya nini kwani nitajiua? Au kwani nitakwenda huko mwisho wa ncha ya dunia na sururu au shoka nianze kupasua kioo nitoke nje ya dunia
Na kwanini Russia, Japan, Korea, China wapo kimya ilihali kila mara wanarusha vyombo vyao huko nje ya dunia?
[emoji23][emoji23]Aisee hii kitu ya flat earth imenichosha sana kwa sababu mbali na elimu niliyosoma nimekuwa mpenzi sana wa kufuatilia na kufahamu uumbaji na maisha nje ya dunia yetu.
Kufahamu jinsi sayari nyingine zinavyobehave. Nimefuatilia sana mission mbalimbali za NASA
Mission to Pluto niliifuatilia sana chombo cha NASA kilivyotumia takribani miaka 9 kufika pluto 3 billion miles kwa speed ya 30,000 milies/hour ijapokuwa sometimes kilikuwa kinapata hitalafu flan flan kinasimama kwa muda
Mwaka juzi chombo kilivyokaribia kufika nikawa nafuatilia live BBC wataalamu wa NASA wanasema kiko umbali wa 8,000 miles wakawa wanapambana kukipunguza speed then chombo kikafika salama Pluto
Kwa haraka kikaanza kuizunguka pluto kwa kupiga picha na kuzituma duniani, NASA wakasema hizo picha zinafika duniani kila baada ya masaa 3.
Kama mambo yote haya yalikuwa ya uongo naomba IRAN watume kombora USA walipuwe hiyo NASA station.
Sent using Cash Money Wings
Aisee hii kitu ya flat earth imenichosha sana kwa sababu mbali na elimu niliyosoma nimekuwa mpenzi sana wa kufuatilia na kufahamu uumbaji na maisha nje ya dunia yetu.
Kufahamu jinsi sayari nyingine zinavyobehave. Nimefuatilia sana mission mbalimbali za NASA
Mission to Pluto niliifuatilia sana chombo cha NASA kilivyotumia takribani miaka 9 kufika pluto 3 billion miles kwa speed ya 30,000 milies/hour ijapokuwa sometimes kilikuwa kinapata hitalafu flan flan kinasimama kwa muda
Mwaka juzi chombo kilivyokaribia kufika nikawa nafuatilia live BBC wataalamu wa NASA wanasema kiko umbali wa 8,000 miles wakawa wanapambana kukipunguza speed then chombo kikafika salama Pluto
Kwa haraka kikaanza kuizunguka pluto kwa kupiga picha na kuzituma duniani, NASA wakasema hizo picha zinafika duniani kila baada ya masaa 3.
Kama mambo yote haya yalikuwa ya uongo naomba IRAN watume kombora USA walipuwe hiyo NASA station.
Sent using Cash Money Wings
mazojms,
- Hamna kitu Gravity, I don't know ndio mnaita Gravitational Force. Just an Illusion
- Probably inaweza ika-sound lakini nachofahamu ni Foundation (Msingi) Uliopo.
- On other side kuna Mataifa kama ilivyo Dunia ndio same utakutana Nibiru, Vesta, Pulsar, Sedna, Ogle Tr, Mars etc. Baadhi ya hayo hayajawa na wakazi.
- Kusema "Mathematics Calculations" tayari inaonesha ni masuala yepi yaliokuathiri hadi kushindwa kutanabaisha haya.
Sergio
Mkuu nashindwa kuandika huyu cash kanichekesha sana dah[emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
Hayo ya kulipua sio ya msingi.Aisee hii kitu ya flat earth imenichosha sana kwa sababu mbali na elimu niliyosoma nimekuwa mpenzi sana wa kufuatilia na kufahamu uumbaji na maisha nje ya dunia yetu.
Kufahamu jinsi sayari nyingine zinavyobehave. Nimefuatilia sana mission mbalimbali za NASA
Mission to Pluto niliifuatilia sana chombo cha NASA kilivyotumia takribani miaka 9 kufika pluto 3 billion miles kwa speed ya 30,000 milies/hour
Mwaka juzi chombo kilivyokaribia kufika nikawa nafuatilia live BBC wataalamu wa NASA wanasema kiko umbali wa 8,000 miles wakawa wanapambana kukipunguza speed then chombo kikafika salama Pluto
Kwa haraka kikaanza kuizunguka pluto kwa kupiga picha na kuzituma duniani, NASA wakasema hizo picha zinafika duniani kila baada ya masaa 3.
Kama mambo yote haya yalikuwa ya uongo naomba IRAN watume kombora USA walipuwe hiyo NASA station.
Sent using Cash Money Wings
Kuamini uwepo wa hayo 'mataifa' wakati walosema hayo ndo walosema dunia duara ambayo huamini ni kukosa mashiko.
Sent using Jamii Forums mobile app