The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Ndugu yangu according to ww ni kwamba dunia yako ya flat ni kubwa kuliko jua Ndó maana mwanga haufik kote sasa hicho cha kwanza sijui ni nini maana naona vimpira vinakimbizana tu.

Pili lunar eclipse ninavyojua mm ni dunia inakuwa katikati ya mwez na jua. Sasa hii inatokeaje?? kumbuka dunia yako ni flat.
Ningependa majibu sio picha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa Jamaa wanajichanganya mwanzoni mwa hii thread wanasema, Dunia haizunguki eti ukiangalia angani utaona nyota zile zile kitu ambacho sio sahihi.Mkuu ukiangalia angani usiku nyota ya Orion inaonekana kuanzia mwezi wa 11 mpaka mwezi wa 4 mwaka unaofuatia! mwezi wa 5 mpaka wa 10 hautoweza kuiona tena hiyo nyota! Hilo nalo hawajaweza kutuelewesha vizuri! Bado wanasema hakuna Satellite iliyoko huko juu bali ni Minara mirefu tu. Mtu ukifikira Urusi walivyo ilalamikia Marekani baada ya Trump kutangaza kuanzisha kikosi cha 6 cha US Space Army! kwa mujibu wa hawa Jamaa Urusi ililalamika Marekani kujenga minara mirefu kwenye aridhi yake binafsi!
 
Yaani mnaobishana hamna chochote,
Wazungu wanabishana kwa vitendo, nyinyi mnabishana kwa maneno tu,,,, wenzenu wanatengeneza maroboti nyinyi mnatengeneza chuma ulete na majini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mnaobishana hamna chochote,
Wazungu wanabishana kwa vitendo, nyinyi mnabishana kwa maneno tu,,,, wenzenu wanatengeneza maroboti nyinyi mnatengeneza chuma ulete na majini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata Sisi tunaweza bishana kwa vitendo! Ombi langu kwako Utuandalie sehemu nzuri ya kukusanyika ili tuoneshe vitendo na Utusaidie Kanauli ka kuja na kurudi Mikoani kwetu!
 
Najaribu kuweka vitu wazi na uhalisia ulivyo ,na kila muda nawaambia hata mimi nimesoma kama wao mpaka chuo ila kujikomboa kifikra ni jambo lingine
Big up too mkuu.
Kuna watu wameshakuja na majibu yao kichwani huwezi kumuambia kitu chochote maana maisha yake yote hajazoea kujiuliza au kuwa na mtazamo tofauti juu ya kitu fulani usipoteze muda wako sana nimesoma uzi wote na kila post kuna maswali ya kipuuzi na faida pia lakini kuna kitu ni nimegain maana mm hata kitu kama najua huwa nina attitude ya kuwa empty mind iliniweze kujifunza na vingine pia nakupitia maelezo yako na umenifanya na mm nifuatiliea hii flat earth nikimaliza kufuatilia ndio nitajua nikaewapi nipo 50-50 mpaka sasa kuwa na mtazamo tofauti sio dhambi safuher Zurri REALITY big up guy's mliopambania flat earth.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok
Ndugu yangu according to ww ni kwamba dunia yako ya flat ni kubwa kuliko jua Ndó maana mwanga haufik kote sasa hicho cha kwanza sijui ni nini maana naona vimpira vinakimbizana tu.

Pili lunar eclipse ninavyojua mm ni dunia inakuwa katikati ya mwez na jua. Sasa hii inatokeaje?? kumbuka dunia yako ni flat.
Ningependa majibu sio picha

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200128_124912_578.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hawa Jamaa wanajichanganya mwanzoni mwa hii thread wanasema, Dunia haizunguki eti ukiangalia angani utaona nyota zile zile kitu ambacho sio sahihi.Mkuu ukiangalia angani usiku nyota ya Orion inaonekana kuanzia mwezi wa 11 mpaka mwezi wa 4 mwaka unaofuatia! mwezi wa 5 mpaka wa 10 hautoweza kuiona tena hiyo nyota! Hilo nalo hawajaweza kutuelewesha vizuri! Bado wanasema hakuna Satellite iliyoko huko juu bali ni Minara mirefu tu. Mtu ukifikira Urusi walivyo ilalamikia Marekani baada ya Trump kutangaza kuanzisha kikosi cha 6 cha US Space Army! kwa mujibu wa hawa Jamaa Urusi ililalamika Marekani kujenga minara mirefu kwenye aridhi yake binafsi!
.
IMG_20200128_124912_578.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu swali kwanza.

Alafu maelezo yako yatafuata,unaanza kujitetea mapema.

Kama jua lingekuwa kubwa kuliko dunia basi tusingekuwa na sehemu zenye badiri kali na jua chache katika majira ya mwaka.

Jua ni dogo dunia ni kubwa.ndio maana miale ya jua hufika kwa tabu baadhi ya sehemu za dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kitu ambacho hujaelewa ni kuwa jua liko umbali mrefu na dunia



It's Scars
 
WASHINGTON DC INA DOME NA POLE JUU YAKE ,HALAFU JENGO LIMEPAKWA RANGI NYEUPE ,UKIANGALIA CHINI KUNA FLAT CIRCLE YENYE LINES .

NI HIVI WAMERAKANI WANAJUA VERY OPENLY KWAMBA DUNIA NI FLAT ROUND WITH A DOME ON IT AMBAYO INA NORTH POLE AT THE CENTER INAYOFANYA POLARIZATION .WANAJUA DUNIA IMEZUNGUKWA NA KUTA ZA BARAFU AMBAYO NI SOUTH POLE/ ANTARCTIC
WANAWAONYESHA KWA MAFUMBO HALISI .


BARUFU -WHITE-COLOUR OF WASHINGTON DC

DOMES FIRMAMENT- WASHIGHTON DOME

NORTH POLE - POLE (STATUE) ON TOP OF THE DOME

FLAT EARTH - FLAT ROUND CIRCLE INSIDE THE WASHINGTON DC .

NA HAYO NDO MAKAO MAKUU YA MAREKANI AMBALO NDO TAIFA LENYE NGUVU DUNIA NZIMA KWAKUWA WAMEKALIA DUNIA.
images%20(30).jpeg
images%20(29).jpeg
images%20(35).jpeg
images%20(31).jpeg
images%20(32).jpeg
images%20(33).jpeg
images%20(22).jpeg
images%20(23).jpeg
images%20(36).jpeg
images%20(37).jpeg
IMG_20200126_120848_448.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hello great thinkers, hope you are well in your daily activities, i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.

To begin many of people know the world is a globe on which is never going to be or happen and it never is because if you accept the deception then you are deceived and never use your hypothetical sense correctly without further hesitation ..i will provide documents and proofs then the discussion begins ,please use your mind here respectively and think twice...

READ THE FILES FIRST...
and there are alot of evidence that i can provide that even project to MARS is a media stream and is done in hollywood basements to turn peoples mind away from the great lands beyond the south pole/antartica.View attachment 1334468

View attachment 1334467View attachment 1334469
View attachment 1334470
View attachment 1334471

Sent using Jamii Forums mobile app
Charles Johnson ~ Flat Earth Society

“When the United States declares the earth is flat,” says Charles Johnson, “and we hope to be instrumental in making it do so, it will be the first nation in all recorded history to be known as a flat-earth nation.

“It’s the Church of England that’s taught that the world is a ball,” he argues. “George Washington, on the other hand, was a flat-earther. He broke with England to get away from those superstitions.”

“Moses was a flat-earther,” he reveals. “The Flat Earth Society was founded in 1492 B.C., when Moses led the children of Israel out of Egypt and gave them the Ten Commandments at Mount Sinai.”

Obviously water’s flat, isn’t it?” he said in a Times interview in 1992. “They’re trying to tell you this water’s bent!”
Asked why don’t people fall off if the Earth if flat, Johnson would patiently explain, “There is no edge. As far as we know, it’s endless.”

“Australians,” he once elaborated in the Flat Earth News, “do not hang by their feet underneath the world!”
“Nobody knows anything about the true shape of the world,” he contends.

“The whole point of the Copernican theory is to get rid of Jesus by saying there is no up and no down,” declares Johnson. “The spinning ball thing just makes the whole Bible a big joke.”

“Wherever you find people with a great reservoir of common sense,” he says, “they don’t believe idiotic things such as the earth spinning around the sun. Reasonable, intelligent people have always recognized that the earth is flat.”

Fond of plays on words, he consistently pronounces Nicolaus Koppernigk’s Latinized surname as “co-pernicious.”

“In the old days, people believed the earth was flat, because it’s logical, but they didn’t have a picture of the way it was, as we have today. Our concept of the world is new.

“It’s the Church of England that’s taught that the world is a ball,” he argues. “George Washington, on the other hand, was a flat-earther. He broke with England to get away from those superstitions.”

“Moses was a flat-earther,” he reveals. “The Flat Earth Society was founded in 1492 B.C., when Moses led the children of Israel out of Egypt and gave them the Ten Commandments at Mount Sinai.”

“Marjory and I are the avant garde. We’re way ahead of the pack.”

Obviously water’s flat, isn’t it?” he said in a Times interview in 1992. “They’re trying to tell you this water’s bent!”

Asked why don’t people fall off if the Earth if flat, Johnson would patiently explain, “There is no edge. As far as we know, it’s endless.”

“Australians,” he once elaborated in the Flat Earth News, “do not hang by their feet underneath the world!”

When the space shuttle Columbia first landed next door at Edwards in 1981, he scoffed: “This airplane landed, but it’s just a simple, stupid old airplane carried piggyback and dropped over Lancaster. . . . It hasn’t orbited the Earth–that we know.”

“Moses was a flat-Earther,” he said in several interviews. “The Flat Earth Society was founded in 1492 BC (biblical scholars date the Exodus to 1491 BC) when Moses led the children of Israel out of Egypt and gave them the Ten Commandments at Mt. Sinai.” Presumably, had the Earth been round, they would have fallen off before reaching the biblical promised land.

Jesus believed in a flat Earth, Johnson said, because he ascended to heaven, and if the Earth were a ball, “there [would be] no up nor down.”

Christopher Columbus was a flat Earth believer too, Johnson told The Times, discussing events of 1492: “He had enough sense to know that if the world was a ball, he would have fallen off.”

“Marjory has always known that the earth is flat, too,” says Charles Johnson. “As far as she knew, everybody in Australia knew it. She was rather shocked when she arrived here and found people speaking of Australia as being ‘down under.’ It really offended her. She would get in quite heated arguments with people who seemed to accuse her of coming from down under the world.” Ultimately, Marjory Johnson swore in an affidavit that she had never hung by her feet in Australia.

If the Shuttle ever does orbit on its own, it’s supposed to return to Edwards Air Force Base. To Johnson, that’s appropriate enough.

“Do you know what they’re doing at Edwards right now?” he asks. “‘Buck Rogers in the 25th Century’ is made right where they claim they’re going to land the Shuttle. Edwards is strictly a science-fiction base now.

“In the old days, people believed the earth was flat, because it’s logical, but they didn’t have a picture of the way it was, as we have today. Our concept of the world is new.

“Marjory and I are the avant garde. We’re way ahead of the pack.”

“Buck is a much better science program, considerably more authentic. In fact, I recommend that the government get out of the space business and turn the whole thing over to ABC, CBS, and NBC. The tv networks do a far superior job. They could actually pay the government for rights, and it wouldn’t cost the taxpayers a penny.”

If it is a sphere, the surface of a large body of water must be curved. The Johnsons have checked the surfaces of Lake Tahoe and the Salton Sea (a shallow salt lake in southern California near the Mexican border) without detecting any curvature.

If the Shuttle ever does orbit on its own, it’s supposed to return to Edwards Air Force Base. To Johnson, that’s appropriate enough.

“Do you know what they’re doing at Edwards right now?” he asks. “‘Buck Rogers in the 25th Century’ is made right where they claim they’re going to land the Shuttle. Edwards is strictly a science-fiction base now.

“Buck is a much better science program, considerably more authentic. In fact, I recommend that the government get out of the space business and turn the whole thing over to ABC, CBS, and NBC. The tv networks do a far superior job. They could actually pay the government for rights, and it wouldn’t cost the taxpayers a penny.”
well out,,, Will you explain well,,1: the Ship visibility ,
2;why We see the 🌍 shadow is spherical in shape during lunar eclipse ,
And also show us an aerial photograph of the 🌍 that shows that 🌍 is flat as you say
 
Moderators kuweka hii thread kwenye recommendation list imenishangaza sana.
Article ndefu imejaa upuuzi tu alafu inakua #1 kwenye recommendations, ndiyo sababu watu hawaendelei. Sishangai mleta mada kua masikini maana conspiracy theorists wengi hua ni masikini.

Hili swala tulishalijibu miaka zaidi ya elfu iliyopita, hakuna haja ya kuendelea kulidiscuss leo. What a disappointment to the human race hadi leo hii na advancement yote ya technology mtu anasema hollywood wanawachezea, stupid.
Kama umesoma hujaelimika mkuu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Sasa wakuu nyie mmesoma hizo nadharia, full of conspirancy bila kufanya uchunguzi wenu binafsi😃😃.Kina Armstrong wameenda nje ya dunia wameipiga picha, sattelite zinaenda juu zinapiga picha kitu kinatoka cha duara, nyie mnataka kutufundisha nini sasa?😃😃😃.

Watu wa meditation wamegonga meditation zao wanaona ni ya mfano wa mviringo pia, kina Gallilei Gallileo mpaka wakahukumiwa kifo kwa sababu ya kusema ukweli ngoma ni ya mfano wa duara! Sasa wafiche tukijua kuwa iko kama meza watapoteza nini?
Also walio sema hivo ni wa2 wenye akili kutokea Duniani,,,,, Sio Christopher Columbus ,George Washington si ma boya 2
,,,😂😂 dunia Ni tambalale? Wakapige aerial photograph na satellite zao tuone
 
No satellites in the world rather than under sea network cables and long range towers ,an earth has a dome we are locked inside ,find a pilot he will give you a perfect explanation and ask him is the world flat or spherical as you see when you are in a cockpit cabin and what device do you use as a lead while flying a plane? has it have anything to do with curves or just plane as air"PLANES" themself?.
Also walio sema hivo ni wa2 wenye akili kutokea Duniani,,,,, Sio Christopher Columbus ,George Washington si ma boya 2
,,, dunia Ni tambalale? Wakapige aerial photograph na satellite zao tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No satellites in the world rather than under sea network cables and long range towers ,an earth has a dome we are locked inside ,find a pilot he will give you a perfect explanation and ask him is the world flat or spherical as you see when you are in a cockpit cabin and what device do you use a lead while flying a plane has it have anything to do with curves or just plane as air"PLANES" themself.

Sent using Jamii Forums mobile app
The earth is the dome we're locked in,,, is it? Do That dome made of air or soil?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom