The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Ukubwa wa jua hilo ni jambo jingine ila ndio dunia inazunguka na hili linaweza kuthibitika kwa akili na fact za kawaida bila kifaa chochote kwasababu matojeo ya kuzunguka uko yanaonekana na kuelezeka kirahisi. swala la kutosikika kwa mzunguko wa dunia hilo sasa linategemeana na muumbaji mwenyewe kwasababu sidhani kama ni vitu vyote duniani tunaweza kuvisikia au kuhisi.Mfano mdogo hebu mchukue sisimizi alafu muweke mkononi kisha zungusha zungusha mkono uone kama atahisi huo mzunguko.Au kwa akili za kawaida unadhani tungekua tunahisi huo mzunguko wa dunia kwa spidi hiyo unadhani maisha yangekuaje kama sio kizunguzungu tupu.
Unauhakika we jua unaliona kubwa dogo?
Ukiwa hapo ulipo unahisi dunia inazunguka?
Tumia uwezo wako wa kufikiri sio vitabu ndo unijibu maana unaukata uhalisi unakimbilia vitu vya kusukwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukiwa kwenye gari ya wazi ukajirusha,lazima gari ikuache mkuu..

Hii kweli mimi pia imenifikirisha
Mkuu unachanganya mambo sana sana huenda hujasoma physics ukaelewa kabisha hasa kwenye hilo suala la ndenge na mambo ya satelite na mawasiliano.
Mpaka sasa kusafirisha mawasiliano kwa njia ya satelite kwa speed kubwa technology haijafika huko ndiyo maana ukitaka internet yenye kasi lazima tutumia mkonge. Ila taratibu gunduzi utatufikisha huko kama ilivyo science inapitia mabadiriko.
linapokuja suala la ndege nimecheka nikakumbuka yule sheikh aliyesema kama dunia ingekuwa ina rotate basi helcopter ingeganda hewani baadaae ikajikuta nchi nyingne. hakujua kuwa dunia inarotate na kila ilicho nacho mfano. Uwe kwenye basi linalokimbia halafu ruka juu huwezi jikuta nyuma utatua pale pale uliporukia. hata nzi anayepaa kwenye gari linalotembea akiganda hewani hawezi jikuta nyuma bali atabaki pale pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejuaje ahisi?
Ukubwa wa jua hilo ni jambo jingine ila ndio dunia inazunguka na hili linaweza kuthibitika kwa akili na fact za kawaida bila kifaa chochote kwasababu matojeo ya kuzunguka uko yanaonekana na kuelezeka kirahisi. swala la kutosikika kwa mzunguko wa dunia hilo sasa linategemeana na muumbaji mwenyewe kwasababu sidhani kama ni vitu vyote duniani tunaweza kuvisikia au kuhisi.Mfano mdogo hebu mchukue sisimizi alafu muweke mkononi kisha zungusha zungusha mkono uone kama atahisi huo mzunguko.Au kwa akili za kawaida unadhani tungekua tunahisi huo mzunguko wa dunia kwa spidi hiyo unadhani maisha yangekuaje kama sio kizunguzungu tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RELATE HIZI PICHA
-RUSSIA
-WASHINGTON AMERICA
--CHINA
-LONDON
-ST PETERS ITALY
-INDIA

THE SHAPE OF THE WORLD WITH A DOME HAVING A NORTH POLE POLARIZATING AT THE CENTER

TULIZA TU KICHWA FIKIRIA HAYO MENGINE NI AGENDA PANA SANA ILISUKWA

An electromagnetic wave such as light consists of a coupled oscillating electric field and magnetic field which are always perpendicular; by convention, the "polarization" of electromagnetic waves refers to the direction of the electric field. In linear polarization, the fields oscillate in a single direction. In circular or elliptical polarization, the fields rotate at a constant rate in a plane as the wave travels. The rotation can have two possible directions; if the fields rotate in a right hand sense with respect to the direction of wave travel, it is called right circular polarization, while if the fields rotate in a left hand sense, it is called left circular polarization.
Sina haja ya kutafuta kitu ninachokijua. Nataka udisprove ninachokisema kwa maelezo yatakayoendana na flat earth.

Sent using Jamii Forums mobile app
images%20(29).jpeg
images%20(15).jpeg
images%20(16).jpeg
images%20(23).jpeg
images%20(22).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wakuu nyie mmesoma hizo nadharia, full of conspirancy bila kufanya uchunguzi wenu binafsi😃😃.Kina Armstrong wameenda nje ya dunia wameipiga picha, sattelite zinaenda juu zinapiga picha kitu kinatoka cha duara, nyie mnataka kutufundisha nini sasa?😃😃😃.

Watu wa meditation wamegonga meditation zao wanaona ni ya mfano wa mviringo pia, kina Gallilei Gallileo mpaka wakahukumiwa kifo kwa sababu ya kusema ukweli ngoma ni ya mfano wa duara! Sasa wafiche tukijua kuwa iko kama meza watapoteza nini?
100% umeongea ukweli. Mimi sijasoma bandiko lote lakini nakubaliana na mawazo yako. Tatizo kubwa la wanasayansi wa sasa ni wazembe, they depend more on simulations/modeling tofauti na wanasayansi wa zamani wao walitumia actual/physical data/evidence/facts kufikia conclusions. Hawa wa sasa ni shida, wanafanya utafiti wao kwa kutumia computer, kisha wanakuwa wabishi na kulazimisha ili results zao za uongo zikubalike. Angalia attachment aliyoiweka mleta mada ni computer generated. Wanasahau au awataki kabisa kusema ukweli kwamba ukiweka garbage kwenye computer nayo inakutolea garbage, na hivyo most of the simulated results zaweza kuwa garbage - nothing real.
 
100% umeongea ukweli. Mimi sijasoma bandiko lote lakini nakubaliana na mawazo yako. Tatizo kubwa la wanasayansi wa sasa ni wazembe, they depend more on simulations/modeling tofauti na wanasayansi wa zamani wao walitumia actual/physical data/evidence/facts kufikia conclusions. Hawa wa sasa ni shida, wanafanya utafiti wao kwa kutumia computer, kisha wanakuwa wabishi na kulazimisha ili results zao za uongo zikubalike. Angalia attachment aliyoiweka mleta mada ni computer generated. Wanasahau au awataki kabisa kusema ukweli kwamba ukiweka garbage kwenye computer nayo inakutolea garbage, na hivyo most of the simulated results zaweza kuwa garbage - nothing real.
Mkuu unakubaliana na big bang blurst?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasayansi naomba mnisaidie majibu yafuatayo kwa kuzingatia dunia ni tufe kama tulivyokaririahwa:
1. Kipi kinasababisha maji yajae au kupwa pande zote mbele yaani kusini na kaskazini au vinginevyo
2. Magellan kwenye ile safari yake alipita njia gani ambapo kuna maji matupu bilia ya kukutana na kisiwa maana inasemekana hakukata kona
3. Gravity ya jua ni kubwa kuliko ya sayari yeyote ile, kwa nini wanaotoka nje ya gravity ya dunia wasivutwe na gravity ya jua
4. Gravity ndio weakest force lakini kwanini tunaona effects za gravity na sio earth magnetic fields ambayo ni stong?
4.speed ya dunia hasa rotation ni kubwa kuliko ya basi, lakini effect yake ni ndogo maana nyota tungekuwa tunazipita kwa kasi ya ajabu kuliko ilivyo
 
Number 4 mkuu "ELECTROMAGNETIC FORCE" ndo inatushikilia sisi na whatever surrounds us hata ukiruka unarudi sio gravity.

Anyway bigup mkuu maswali matamu
Tusubiri watujibu
Wanasayansi naomba mnisaidie majibu yafuatayo kwa kuzingatia dunia ni tufe kama tulivyokaririahwa:
1. Kipi kinasababisha maji yajae au kupwa pande zote mbele yaani kusini na kaskazini au vinginevyo
2. Magellan kwenye ile safari yake alipita njia gani ambapo kuna maji matupu bilia ya kukutana na kisiwa maana inasemekana hakukata kona
3. Gravity ya jua ni kubwa kuliko ya sayari yeyote ile, kwa nini wanaotoka nje ya gravity ya dunia wasivutwe na gravity ya jua
4. Gravity ndio weakest force lakini kwanini tunaona effects za gravity na sio earth magnetic fields ambayo ni stong?
4.speed ya dunia hasa rotation ni kubwa kuliko ya basi, lakini effect yake ni ndogo maana nyota tungekuwa tunazipita kwa kasi ya ajabu kuliko ilivyo
fe-vacuum-space.jpeg
flat-earth-meme-30-18.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa mimi najifunza kitu, huenda watu wanataka kulazimisha kilichoandikwa katika vitabu vya imani kionekane ni kweli, kwa sayansi ya mpaka sasa dunia ni ya duara.

Na ingekuwa kuna hayo sijui ma germinia, na ni dili kuna mataifa yaliyopinda hayaskii la mkuu yangesanua projects huko, kama vile Russia,North Korea,Iran e.t.c....Hizo zitabaki kuwa nadharia tu until tutakapo prove.Kabisa yani unaweka mchoro wa kisayansi halafu juu kabisa unawe "God" sijui Heaven Of Heaven😃😃.

Jamani watu weusi hizi habari za ukifa sijui ukaishi tena ni za kusadikika tu zifwate kwa maslahi ya jamii na siasa, na labda kukidho haja ya hofu ya kifo.Ukifa hauwi mtu tena GAME OVER(Ukweli mchungu sana).
sawa mkuu. Lakini sasa kuna paradox kidogo. Kwani kifo ni nini? na kwa nini unasema au una evidence gani aliyekufa asiweze kurudi na kuwa mtu tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom