Tumia google yako vizuri usitake kurahisisha mambo. Ingia mtandaon soma unachokitaka. Usisingizie watu wa jfHaya mambo ya Sayansi huwa yana uongo mwingi sana, tatizo watu wengi wanapenda story za Sayansi basi hata muda wa kuhoji hawaupati.
Nilishawahi kuwauliza humu wajinga fulani kwamba, kuna jafribio gani la Kisayansi liliwahi kufanywa likathibitisha ya kuwa Dunia inazunguka ? Auwatuthibitshie tu ya kuwa Dunia inazunguka, majibu yao ni vituko.
Sayansi ya maumbile na hasa ya anga niliachaga kuamini, pale niliposikia habari za mtu kwenda mwezini.
Kuwa reasonable mbona nilichokuuliza kinaeleweka kabisa!Kwa kuzingatia nini na nini ?
Mimi nakuuliza swali, kati ya circle na straight line kipi huanza kuwepi kisha kingine hufata ?
Ushawahi kuhoji juu ya mambo ya Sayansi ?Tumia google yako vizuri usitake kurahisisha mambo. Ingia mtandaon soma unachokitaka. Usisingizie watu wa jf
We baki kusema story watu wanadiscover vitu huko mbele.
Kama ukiwa huamin sayans na utabir wa hali ya hewa usiuamin na ukiambiwa tetemeko linakuja usiamin. Kuna juha mwenzako hapo juu anasema et Hakuna satellite ni uongo tu. Hv mmekula maharage ya wap nyie viumbe???
Sent using Jamii Forums mobile app
afUmeukubali ujinga mkuu kwa muda mrefu usiwe na hasira ni elimu tuView attachment 1334572
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka nilikutangulia kwa hilo swali ulilo uliza, sababu nyinyi mnaamini ya kuwa duara limeundwa na points nyingi sana, kitu ambacho nikikuomba ushahidi huwezi kuthibitisha hilo.Kuwa reasonable mbona nilichokuuliza kinaeleweka kabisa!
-Kama straight line inagusa a point katika cycle then imagine you are 100× smaller than that point. Unafikifi in your perspective utaweza tofautisha straight line from a cycle.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha dah
Mungu saidia huyu mjinga
Nmeishiwa hadi nguvu ya kuongea
Quantum physics made phone you are using now you idiot
Hizi hapa ya meli ni kuwa picha ya kwanza ulikuwa unaona bahari tu ikavutwa,yenye kama wingu ni higher humidity.zingine ni hiyo distance.Kaka hili unaweza kulithibitisha au kama una picha tuonyeshe humu.
Kutokuona curvature ndio inaonyesha ya kuwa ukomo wa kifaa ndio umeishia, kwahiyo, hoja ya kuwa dunia ni duara kwa kurejea matokeo ya kifaa hicho bado ina nguvu, sababu nikikuuliza ncha au ukomo wa dunia ni wapi, huwezi kujibu swali hili.
What the f... Ck amenikera alivyoitukana quantum physics hapaApril fool watu wameianza mapema sana mwaka huu tofauti na miaka mingine
Hahaha dah
Mungu saidia huyu mjinga
Nmeishiwa hadi nguvu ya kuongea
Quantum physics made phone you are using now you idiot
Kaka ndio maana nasema hivi, unacho kiona wewe ni ule ukomo wa hicho kifaa, ila kifaa hakionyeshi kwamba hapo ndio mwisho. Sijui kama unanielewa.Hizi hapa ya meli ni kuwa picha ya kwanza ulikuwa unaona bahari tu ikavutwa,yenye kama wingu ni higher humidity.zingine ni hiyo distance.View attachment 1334765View attachment 1334766View attachment 1334767View attachment 1334768
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yako umejiandaa kubisha, paka huu mjadala naona kama napoteza muda tu. Huwezi kumshawishi mtu kwa atitude hiyo.Kaka nilikutangulia kwa hilo swali ulilo uliza, sababu nyinyi mnaamini ya kuwa duara limeundwa na points nyingi sana, kitu ambacho nikikuomba ushahidi huwezi kuthibitisha hilo.
Kwahiyo pupa yako, imekufanya ukosee katika kuhoji, yaani umekosea kukosoa. Swali langu bado la msingi kwa maelezo yaliyotangulia hapo juu.
Unatakiwa kwanza ujue point ni nini, kisha chora duara na straight line ipite kisha utuonyeshe straight lie imegusa point gani.
Sijawahi kuona watu wavivu wa kufikiri na kuhoji kama Wanafalsafa,Wanasayansi na Watu wa mahesabu, yaani wanajitengezea nadharia kisha wanaishi katika nadharia hizo.
Jifunzu kujenga hojaWhat the f... Ck amenikera alivyoitukana quantum physics hapa
Hajui lolote kuhusu quantum physics yaani kanikera balaa nashindwa nimwambiaje huyu jamaa
Ila nmemwona ni mjinga wa mwisho aisee
Some people are stupid aisee
Elezea maujanja ya Quantum Physics, usiishie kukereka tunataka tupate faida kutoka kwa mashabiki wa Sayansi.What the f... Ck amenikera alivyoitukana quantum physics hapa
Hajui lolote kuhusu quantum physics yaani kanikera balaa nashindwa nimwambiaje huyu jamaa
Ila nmemwona ni mjinga wa mwisho aisee
Some people are stupid aisee
Huwezi kunielewa kama hukumwelewa mwalimu wakoKivipi ? Maana katika topic ambayo nilikuwa nahoji akili yangu katika hali halisi naona maigizo ni hii.
Tupe faida, Quantum Physics imetengeneza vipi simu au ina mchango gani katika simu na uwepo wake ?
Poa.Shida yako umejiandaa kubisha, paka huu mjadala naona kama napoteza muda tu. Huwezi kumshawishi mtu kwa atitude hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijenge mara ngapi
Kutokuelewa kwa jambo fulani husababishwa na sababu nyingi, moja wapo ni yule anae elewesha akawa hajui kile anachokielewesha, hili huwa tatizo.Huwezi kunielewa kama hukumwelewa mwalimu wako
Siwezi poteza muda wangu kuongea na wajinga wasio tayari kujifunza
Yoi have never been ready to learn zuri never
You are mr criticize
I can't waste my time
Nisiongeze tu frustration hapa
Jioni nisije kosea kumfanyia operation mtoto wa watu
Wap labda wametabir haijatokea???Ushawahi kuhoji juu ya mambo ya Sayansi ?
Vipi inakuwaje watabiri wa hali ya hewa wanapo tabiri kisha kisitokee kilicho tabiriwa ? Acheni uvivu wa kufikiri. Watabiri wabahatishaji kama wabahatishaji wengine.