The World is a flat plane and not a globe

On a serious note, umeshaweka ushahidi kwamba NASA wanazuia watu ku -fly around the Earth to prove whether it's flat or not? Or you just came up with another conspiracy theory?

PS, usinijibu kwa picha.
NASA ni kundi la jesuits ,kwenye uzi nimeongezea kwenye topic we soma taratibu kama upo real serious maana mnafanya kejeli kwenye mambo ambayo yanawahusu viumbe sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie mwambie
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameamua kwamba hizi nuclear zinatengenezwa ili tupasue kioo kilicho juu yetu, na mmarekani ni selfish sana hataki wengine wawe na nuclear wapasue kioo, wanataka wapasue wenyewe.
Niambie haya ni ya uongo jamani.


Ni kweli ndicho kilichojadiliwa?
 
Aisee

Inashangaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka mkuu acha masihara
,flat earth sio imani flat earth ni dunia yetu ambayo ni duara tambarare lenye mfuniko wa kioo ambao unaitwa dome ama firmament ,ndo maana kuna ndugu yetu ametuma picha hapa ya hilary ya campaign huko marekani akihaidi wamerekani kuwa atahakikisha kuwa wanakivunja kioo ,yeye amesema ceiling glass kwakuwa hakuna namna yeyote mwanadamu anaweza akatoka nje dome ila anaweza akawa ndani ya dome na kuona uso wa dunia ukiwa tambarare

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu ni dunia ni ya kibox.View attachment 1337242
Halafu bado unaiamini Sayansi ya anga. Hawana misimamo watu hao sababu msingi wa elimu yao ni dhana na majaribio, ona leo kama hiyo tasrifa ni ya kweli, ona wamekuja na na habari za kuwa Dunia ina umbo la box, baada ya miaka fulani watakuja kusema umbo la dunia ni kama la nyoka.
 
So where is the end point of this planet earth?mtoa mada take your time download google earth ufurahie dunia yako which is not a floating flat surface object

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I wish dunia ingeruhusu FREE THINKERS. Hakuna kitu cha hovyo maishani kama kujivunia knowledge ya kukariri.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mimi nadhani theory yao ina udini ndani yake kuwa dunia ni round yaani spherical.
Sababu ni hii:
Kuna kitabu kinaitwa bible au mjumuisho wa vitabu vya kidini ambavyo watu wa zamani waliokuwa illuminated au inspired na muumbaji wa binadamu a.k.a Mungu.
Kitabu hiki kimeelezea mengi kuhusu binadamu, uumbaji na miisho yetu.

Then kuna story kutoka humo kwenye bible kuhusu shetani a.k.a Lucifer au ibilisi.

Then Kuna story kuhusu suluhisho la dhambi au uovu wa binadamu na hatima yake, hayo yote yamedadavuliwa kwenye hicho kitabu bible.
Zipo jitihada za kukipinga kweli zilizomo kwenye kitabu hicho, ambacho kuna wakati katila historia kilitafutwa ili kiangamizwe kabisa ikashindikana.

Kwenye bible imeandikwa, kuwa wakati wa mwisho wakati Yesu anakuja, kila jicho litamuona, hili ni tumaini kwa wanadamu wote, kwa nadharia hiyo ya kila jicho litamuona, haiwezekani kwa spherical earth, bali kwa flat earth.

Kwenye bible, kitabu cha Daniel, Nebukadneza aliota ndoto kuwa Kuna mti mkubwa sana umeota ambao unaonekana kutoka kila kona ya dunia, kwa spherical earth haiwezekani mti kuonekana dunia nzima, bali kwa flat earth.

Hivyo basi biblia yote inaamini katika flat earth.
Hivyo basi elimu hii ya kuwa dunia ni sphere ni kupandikiza kwenye mind za watu mtazamo tofauti wa biblia, na ndo maana watu leo hii wanaambiwa na waliambiwa huko mashuleni binadamu alikuwa nyani, huko huko shule wanasema binadamu alichipuka ( evolution) na hakuumbwa na pia ulimwengu haukuumbwa bali uliibuka tu, kanisa katoliki a.k.a Vatican ndo ilianzisha ule mradi wa CERN yaani electron collider ili waweze kupata theory ya uparikanaji wa ulimwengu, hao hao VATICAN ndo wanamiliki telescope kubwa lanisa duniani tena inaitwa Lucifer jina la shetani mwenyewe.

Kwa kufupisha, elimu hii ya Unajimu ni ya Lucifer ikisaidiwa na NASA ya USA. Na lengo lake ku divert mind za watu toka kwa Muumbaji kupeleka kwake yeye aliye kinyume na Muumbaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…