The World is a flat plane and not a globe

Emb rudia kuandika uzi upya ili tuelewe kwanza unachosema kwa ukamilifu maana unazid kutupoteza tu hapa. Elezea kila kitu

How is Earth flat??
Is Earth stationary?? How about Sun??
What can you comment on sunrise and sunset??
How about seasons of the Year???
Why when you go towards the north or south pole there is decrease in Temperature ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simple question: Kama dunia ni flat tunapataje usiku na mchana? Inakuaje Dsm saa moja jioni ni giza lakini Kinshasa amabo tupo nao kwenye almost same latitude kunakuwa na mwanga kweupe kabisa?
 
Imaam Ibm Bazi na Imaamu Uthaymee na Al Albani wameelezea ni Duara ila hawajasema kama ni mpira na mimi nakomea walipokomea wao wakubwa zetu katika Elimu.
Hahahaaaa huu mjadala ulipaswa upelekwe chit chat

It's Scars
 
Mi najua ni interaction ya angles katika circulation ila nakitabu kinaspecify how hizo angle zinavyo apply ntakutumia au utanikumbusha.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point ndogo tuh ambayo hutakiw kuumiza kichwa ni hii. ..dunia ni duara ndio maana ukianza safari point a na kunyoosha nayo utarudi hapo hapo point a .Kingine kama dunia ni flat bhc kusingekua na tofaut kati usiku na mchana means kama Tz ni mchana bhc na China inge kua mchana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnatudatisha na hizi chai zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia hapa kwanza upate mwanga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kwasababu jua linacirculate kwahiyo at certain degrees linapoacha location moja na kuelekea na mzunguko linapoelekea ndipo mwanga unakuwa bright huku sehemu linapoacha inazidi kuwa dim mbona sio rocket science .
Simple question: Kama dunia ni flat tunapataje usiku na mchana? Inakuaje Dsm saa moja jioni ni giza lakini Kinshasa amabo tupo nao kwenye almost same latitude kunakuwa na mwanga kweupe kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ni kubwa jua ni nyota ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi inavyoonekana kwenye hiyo pic yako ya animation tusingepata usiku na mchana siyo kwa jinsi tunavyopata sasa hv. Kuna sehemu zingekuwa daima ni mchana hakuna giza na sehemu nyingine zingekuwa daima ni giza hamna mchana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…