Emb rudia kuandika uzi upya ili tuelewe kwanza unachosema kwa ukamilifu maana unazid kutupoteza tu hapa. Elezea kila kituKuwa sisi ni immortals na tupo duniani kwa sababu fulani na hatukupaswa tuishi tunavyoishi sasa kwasababu tunauwezo mkubwa kuliko teknologia .
Ukweli kuwa hatukotokana na nyani,kuna bara katikati ya dunia,maana ya kifo,baada ya kifo,upendo,dunia tulivu ,kuishi na wanyama pamoja,hali ya hewa na mengi ........
INSHORT DUNIA INAELEKEA KWENYE SINKING ZONE NA HUMANS WATALOOSE HUMANITY WATAKUWA VIRTUALLY ORIENTED NA MACHINES YANI ARTIFICIAL INTELLIGENCE ITA TAKE PLACE NA HAPO NDIPO TUTAKUWA TUMEPOTEZA UHALISIA NA UZAO WETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simple question: Kama dunia ni flat tunapataje usiku na mchana? Inakuaje Dsm saa moja jioni ni giza lakini Kinshasa amabo tupo nao kwenye almost same latitude kunakuwa na mwanga kweupe kabisa?hello great thinkers,hope you are well in your daily activities,i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.
To begin many of people know the world is a globe on which is never going to be or happen ,and it never is ,because if you accept the deception then you are deceived and never use your hypothetical sense correctly without further hesitation ..i will provide documents and proofs then the discussion begins ,please use your mind here respectively and think twice...
READ THE FILES FIRST...
and there are alot of evidence that i can provide that even project to MARS is a media stream and is done in hollywood basements to turn peoples mind away from the great lands beyond the south pole/antartica.View attachment 1334468View attachment 1334467View attachment 1334469View attachment 1334470View attachment 1334471
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah! Viumbe tofauti tofauti huku sehemu nyingine zikiwa empty refer Mars.
Yeah! Viumbe tofauti tofauti huku sehemu nyingine zikiwa empty refer Mars.
Nje ya dunia??bara lengine??
Nifafanulie hapa mkuu.
Na kuna athari gani watu wakijua ni tambarale?why wafiche ukweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
FES mkuu ni hao hao NASA wanahoja za kijinga sana ila flat earthers tunafata jinsi ulimwengu unavyoonekana na jinsi ufahamu unavyodadavua sio sarakasi za theory na assumptions.Flat earth society#
Mkuu REALITY kwenye GIF uliyoweka hapa kuonyesha namna usiku na mchana unavyotokea kwenye flat earth concept,maumbo tofauti ya MWEZI hutokeaje kwa nadharia zako?
Maana kwa nadharia za spherical ni pale dunia inapozunguka jua na mwezi kuzungua dunia na jua kwa wakati huo huo.
hello great thinkers,hope you are well in your daily activities,i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.
To begin many of people know the world is a globe on which is never going to be or happen ,and it never is ,because if you accept the deception then you are deceived and never use your hypothetical sense correctly without further hesitation ..i will provide documents and proofs then the discussion begins ,please use your mind here respectively and think twice...
READ THE FILES FIRST...
and there are alot of evidence that i can provide that even project to MARS is a media stream and is done in hollywood basements to turn peoples mind away from the great lands beyond the south pole/antartica.View attachment 1334468View attachment 1334467View attachment 1334469View attachment 1334470View attachment 1334471
Sent using Jamii Forums mobile app
Emb rudia kuandika uzi upya ili tuelewe kwanza unachosema kwa ukamilifu maana unazid kutupoteza tu hapa. Elezea kila kitu
How is Earth flat??
Is Earth stationary?? How about Sun??
What can you comment on sunrise and sunset??
How about seasons of the Year???
Why when you go towards the north or south pole there is decrease in Temperature ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Simple question: Kama dunia ni flat tunapataje usiku na mchana? Inakuaje Dsm saa moja jioni ni giza lakini Kinshasa amabo tupo nao kwenye almost same latitude kunakuwa na mwanga kweupe kabisa?
Point ndogo tuh ambayo hutakiw kuumiza kichwa ni hii. ..dunia ni duara ndio maana ukianza safari point a na kunyoosha nayo utarudi hapo hapo point a .Kingine kama dunia ni flat bhc kusingekua na tofaut kati usiku na mchana means kama Tz ni mchana bhc na China inge kua mchana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jinsi inavyoonekana kwenye hiyo pic yako ya animation tusingepata usiku na mchana siyo kwa jinsi tunavyopata sasa hv. Kuna sehemu zingekuwa daima ni mchana hakuna giza na sehemu nyingine zingekuwa daima ni giza hamna mchana.Mkuu ni kwasababu jua linacirculate kwahiyo at certain degrees linapoacha location moja na kuelekea na mzunguko linapoelekea ndipo mwanga unakuwa bright huku sehemu linapoacha inazidi kuwa dim mbona sio rocket science .
Sent using Jamii Forums mobile app