Tuwekee Mkuu.Unajua duniani miaka ndani ya vita pili ya dunia marekani walifanya project high jump southpole iliyoongozwa na mkuu wa navy seal RADM Richard ,unafahamu report yake aliyorudi nayo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema ikitokea meli baharini kwa mbaali unaanza kuona juu yani upande wa juu wa meli.Watu wanakwambia meli ikiwa inazidi kwenda mbele baharin huwa inazama, hivyo kudhihirisha kuwa dunia ni duara.
Hahahahaha hawajui kuwa hapo ni ukomo wa macho yao au kitu wanachotumia kutazama, ukiwa na kifaa kinachotazama mbali zaidi wala huoni kama meli inazama bali utaiona ipo ktk usawa ule ule.
Sent using Jamii Forums mobile app
hua napitapita humo kama nilivyopita humu kimasihara, plz hebu acha niende ndugu
Sasa utaanza kuelewa mkuuHii mimi huwa najiuliza sana na kutafuta kwenye mitandao lakini sababu zao sikuziona ni zenye mantiki. Kwa sababu ipi wanazuia watu kwenda Antarctica?
Nimeuliza definition ya "flat" na proof yake..
Mpaka sasa sijapata jibu la kueleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mpaka muda huu naomba huo uthibitisho wa Sayansi huutoi, tatizo liko wapi mrembo ?
Nimeyaelezea vizuri uliyo yasema na nikahoji lakini maswali yangu hujibu.
Haya maswali mbona rahisi sana.
Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajamshika mtu yeyote ni vile tu siwezi bishana na mtu mjinga
Da vinci kuwa muwazi you know Zurri well [emoji28]
I will waste my energy here
Two weeks ago nlkueleza jinsi nlvyotumia AI kudevelop method flan ya kutibu mtu aliye paralyze mkono
And i was so busy nkakueleza nashindwa hata kukujibu now
Then mtu anakuja kukwambia quantum physics ni ushubwada tu aaah aisee nmemind sana kijana hizi ni dharau wazi wazi
Mani chromosome Y goes on to dissappearKwamba nahitaji kuthibitisha kwamba mimi ni nyani? Kuna aliyekwambia mimi ni nyani, mbona unachanganya mafile.
- Bing bang is just a theory kama na wewe unatheory yako ambayo ni bora zaidi unaweza ukaitoa.
- Genetics inathibitisha evolotion, wewe unathibitishaje kwamba hakuna evolutin?
Sent using Jamii Forums mobile app
- Hamna kitu Gravity, I don't know ndio mnaita Gravitational Force. Just an Illusion
- Probably inaweza ika-sound lakini nachofahamu ni Foundation (Msingi) Uliopo.
- On other side kuna Mataifa kama ilivyo Dunia ndio same utakutana Nibiru, Vesta, Pulsar, Sedna, Ogle Tr, Mars etc. Baadhi ya hayo hayajawa na wakazi.
- Kusema "Mathematics Calculations" tayari inaonesha ni masuala yepi yaliokuathiri hadi kushindwa kutanabaisha haya.
Sergio
OkayNacheka sana, hata wajinga wanapeana tuzo, hili halishangazi.
Ajabu ya watu kama nyinyi, yaani kwa ujinga huu mnapeana tuzo.
Kusema tu uelewa wako ni zaidi ya uelewa wangu, ni ishara ya kuwa wewe ni mjinga.
Wanao jua wanajua, haiwezekani tangu jana huweki hoja zaidi ya kutaj taja majina, na hii ni kazi rahisi sana.
Hujawahi kusikia tuzo za wanamuziki, wacheza mipira na wacheza filamu za ngono ? Sasa ujinga hauishi na huo wakwenu ni muendelezotu.
Hakuna kitu kama gravity hiyo ni imagination concept kuna density if you are less denser you float higher denser you fall
Kuhusu magma mere mortals kama humanbeings ni ngumu sana kuelewa hili swala ila ipo between crust and anticrust beneath earth yani ni HELL
ISSUE sio calculations we kuvuka southpole nakujionea mwenyewe unataka hesabu gani fatilia operation high jump ya 1946
Sent using Jamii Forums mobile app