The World is a flat plane and not a globe

Wanasema ikitokea meli baharini kwa mbaali unaanza kuona juu yani upande wa juu wa meli.

Sasa kama ni macho kwa nini tusianze kuona upande wa chini wa meli mkuu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nje ya dunia??bara lengine??

Nifafanulie hapa mkuu.

Na kuna athari gani watu wakijua ni tambarale?why wafiche ukweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh,means hakuna satellites??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imani yake iko kwenye Quran tu wala usingepoteza muda wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mani chromosome Y goes on to dissappear

I have seen it with my own eyes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa unamaanisha kenye hizo sayari Luna viumbe vinavyoishi??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu REALITY kwenye GIF uliyoweka hapa kuonyesha namna usiku na mchana unavyotokea kwenye flat earth concept,maumbo tofauti ya MWEZI hutokeaje kwa nadharia zako?
Maana kwa nadharia za spherical ni pale dunia inapozunguka jua na mwezi kuzungua dunia na jua kwa wakati huo huo.
 
Mkuu upo deep sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…