The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Wale ni wakubwa zetu katika elimu ya dini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaa, na wamepatia katika kuelezea aya husika juu ya hili.

Rejea aya ya 33 katika surat al Anbiyaa, na Imaam Ibn Baz akamalizia katika kusema hivi"Na kujua ya kuwa dunia ni duara au sio duara si katika jambo la kutiliwa maanani, sababu ni jambo dogo sana" au kama alivyosema Allah amrehemu.

Ila kuamini ya kuwa Dunia inatembea ni kufru, na kuamini jua halitembei ni kufru. Haya mambo matamu sana, hasa ukiwasoma wasomi hawa wakiwa wanayaelezea.
 
Mjinga ni yule ambaye anashindwa kudecipher meaning kwasababu anaweza kuanganisha dots ila anajitoa ufahamu kwa kutumia grammar

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni zaidi ya mjinga. Wewe ni mjinga mbishi.

Ndiyo maana mpaka sasa hujasahihisha mistake yako ya kuchanganya "stationery" na "stationary".

You are an illiterate imbecile.

A stubborn one at that.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kiranga moja si ya writing materials na ingine si ya stability ,mbona unakuwa na akili ndogo hivyo nijasahihishe ili iweje na naelewa nilikuambia it was an error duh.
Wewe ni zaidi ya mjinga. Wewe ni mjinga mbishi.

Ndiyo maana mpaka sasa hujasahihisha mistake yako ya kuchanganya "stationery" na "stationary".

You are an illiterate imbecile.

A stubborn one at that.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...
Labda unafikiri, wat do they get from lying??

Sent using Jamii Forums mobile app
57f10b88a77f4081f40ccc93212df728.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa sisi ni immortals na tupo duniani kwa sababu fulani na hatukupaswa tuishi tunavyoishi sasa kwasababu tunauwezo mkubwa kuliko teknologia .

Ukweli kuwa hatukotokana na nyani,kuna bara katikati ya dunia,maana ya kifo,baada ya kifo,upendo,dunia tulivu ,kuishi na wanyama pamoja,hali ya hewa na mengi ........

INSHORT DUNIA INAELEKEA KWENYE SINKING ZONE NA HUMANS WATALOOSE HUMANITY WATAKUWA VIRTUALLY ORIENTED NA MACHINES YANI ARTIFICIAL INTELLIGENCE ITA TAKE PLACE NA HAPO NDIPO TUTAKUWA TUMEPOTEZA UHALISIA NA UZAO WETU.

Sent using Jamii Forums mobile app

Majibu yako yanatakiwa yapewe priority na sio kupuuzwa

Sasa kama sio kweli hatukutokana na nyani je tulitokana na nini?

It's Scars
 
Zurri

Wanasayansi wapo wa aina mbili wanaotumia mfumo wa upotoshaji na ambao wapo relatively na uhalisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nalijua, na mimi sio kwamba kila Sayansi naikataa, ila huwa nina mashaka sana na Sayansi ya ANGA.

Naishi humo, kwahiyo yapo ya kweli na yenye tija, ila yapo ngano na visasili, kama unavyosema.
 
Ukweli kuwa hatukotokana na nyani,kuna bara katikati ya dunia,maana ya kifo,baada ya kifo,upendo,dunia tulivu ,kuishi na wanyama pamoja,hali ya hewa na mengi ........

Hapa sijakuelewa, naomba ufafanuzi kidogo.
 
Hujui hata tofauti ya "a spelling error" na "a spell error".

Na umekataa kusahohisha ulipooneshwa umekosea.

You are not only an illiterate ignoramus.

You are an imbecile ignoble too.

Wewe si mjinga wa kawaida tu. Bali wewe ni mjinga mbishi.

Hata unapooneshwa ujinga wako, unakataa kujisahihisha.

Ningeweza kukuelimisha kama ungekuwa mjinga tu.

Lakini mjinga mbishi ni shughuli nyingine tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga

Mbishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom