Sasa wakitakua wametua wapi abiria woootee ndani ya ndege wasijuile... ivi are you really serious??? Ujue kabisa flight path kutoka dar kwenda zanzibar ni hiii alafu mkatue kigoma huko kurefuel watu wasiquestion?? Na bado useme ni hoax hakuna flight inayotoka dar kwenda zanziba???
Lol, [emoji23]Hahaha dah
Mungu saidia huyu mjinga
Nmeishiwa hadi nguvu ya kuongea
Quantum physics made phone you are using now you idiot
Du! Hilo swali lako? Nami Ni kuulize hivi mbele ya Bara la amerika kuna Nini?
Karibu mrembo.
Mie nilijua antarctica ni ncha ya kusini ya dunia na arctic ni ncha ya kaskazini ya dunia,sasa ziweje mzingo wa dunia tena!Antarctica ndo hizo kingo na ndo south pole na ndo mzingo wa dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duara kama chungwa lilokatwa pale juu sio?(duara flat)Dunia ni Duara na haizunguki jua.
Tofauti ya masaa na kupatikana kwa usiku na mchana, ni kutokana na kuzunguka kwa jua au kutembea kwa jua katika hivituo vyake.Kama dunia haizunguki tunapata wapi tofauti za masaa?
Na sehemu nyingine unakuta ni asubuhi pengine usiku?. Ni nini kinasababisha?
Hujui hata tofauti ya "a spelling error" na "a spell error".
Imaam Ibm Bazi na Imaamu Uthaymee na Al Albani wameelezea ni Duara ila hawajasema kama ni mpira na mimi nakomea walipokomea wao wakubwa zetu katika Elimu.Duara kama chungwa lilokatwa pale juu sio?(duara flat)
Au duara kama mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja haya maeleze ni mengi.Flat earthers ni skeptical watu wanaohoji na sio kuburzwa tu au kuletewa kitu off the table na kukubali bila kuhoji,kuhoji ni kushirikisha ubongo na kuona kuwa kuna kitu hakipo sawa .
Ukiangalia angani kila siku unaliona jua linatokea sehemu moja na kuelekea sehemu nyingine na kesho yake ni mchezo ule ule na unaliona kwa macho ni dogo na lipo sawa na mwezi kiumbo japo jua limezidi kidogo.huo mzunguko ndo unatengeneza usiku na mchana pia na seasons tofauti.
Kama unataka documents ujisomehe sawa ntakupa ili uelewe kwa undani.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960]Tunaoamini Dunia ni umbo la Donati yaani ina tundu katikati tusemeje..
Simple mind with big ideasA line is an infinitely large circle. A flat surface is the limit of sphere as radius tends to infinity - ukubwa wa radius ya dunia ndio inapelekea flat earthers kuhisi dunia umbo la chapati.Its just an illusion. Ukweli pale pale dunia mviringo wa chungwa.
Antarctica ni southpole na Arctic ni north pole kwenye flat earth northpole ipo center covered with ice na within kuna bara ndani yake na alifika mtu anaitwa admiral ila barafu inayozunguka kingo yote ya dunia ni Antarctica .Mie nilijua antarctica ni ncha ya kusini ya dunia na arctic ni ncha ya kaskazini ya dunia,sasa ziweje mzingo wa dunia tena!
Usiwe na haraka kujibu mkuu REALITY ,unaweza kutuvuna wafuasi wa flat earth ukituelewesha vizuri.
Imaam Ibm Bazi na Imaamu Uthaymee na Al Albani wameelezea ni Duara ila hawajasema kama ni mpira na mimi nakomea walipokomea wao wakubwa zetu katika Elimu.
Ngoja haya maeleze ni mengi.
Kwa kifupi unamaanisha jua ndio linatembea na sio dunia inazunguka?
Hujui hata tofauti ya "a spelling error" na "a spell error".
Na umekataa kusahohisha ulipooneshwa umekosea.
You are not only an illiterate ignoramus.
You are an imbecile ignoble too.
Wewe si mjinga wa kawaida tu. Bali wewe ni mjinga mbishi.
Hata unapooneshwa ujinga wako, unakataa kujisahihisha.
Ningeweza kukuelimisha kama ungekuwa mjinga tu.
Lakini mjinga mbishi ni shughuli nyingine tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app