Ni theory gani nyingine unayotafuta?
Kila kitu katika flat-earth ni theory, hakina uthibitisho wowote!
Uthibitisho wa "ukuta wa barafu" unaozunguka dunia uko wapi? sizungumzii kuta za barafu bali "ukuta wa barafu unaozunguka dunia" kulingana na madai ya flat-earthers.
Umehamia kwenye galaxies, usikimbilie huku na huko, rudi katika shape ya dunia, rudi katika misimamo ya flat-earthers, toa uthibitisho!
Kama umeshindwa kuelewa kilicho ndani ya uwezo wako, utaweza kuelewa kilichopo nje ya uwezo wako?
Umesema nikuoneshe theory, hiyo ni mojawapo ya theories za flat-earthers, hulijui hilo? Wewe ni flat-earther wa namna gani usiyefahamu misimamo wa imani yenu wenyewe?Hii sasa ndo inaonesha kuwa kweli we ni mtumwa wa fikra,wapi tumesema NASA wameweka ulinzi ,kama hujui kusoma bora uache.
Watahangaika sana ila SUPREME POWER will never be hidden.
Halafu mtu anasema dunia ina revolve kwa such a speed halafu mtu yupo space anachukua video masaa matatu dunia ipo still hata haijisogezi huku yeye hamove anaelea ..huu ndo ukichaa wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kutumia tafsiri ya kuiacha miti nyuma, ni sawa pia kuliacha jua nyuma sawasawa na miti unavyoiacha nyuma. Umeelewa hilo? Waweza kuthibitisha kinyume na hapo.
Unataka NASA watoe kitu gani? Documents za nini? Flat-earthers ndiyo wenye jukumu la kutoa uthibitisho wa madai yao, na wameshindwa kufanya hivyo miaka na miaka.
Tunahitaji uthibitisho wa flat-earthers kuhusu "ukuta unaozunguka dunia". Ushahidi uko wapi? Kila leo wanapiga chenga!
Umesema nikuoneshe theory, hiyo ni mojawapo ya theories za flat-earthers, hulijui hilo? Wewe ni flat-earther wa namna gani usiyefahamu misimamo wa imani yenu wenyewe?
Unaweza kuthibitisha kuwa wewe ni flat-earther na si mzamiaji tu?
Hii nadharia ya miti kurudi nyuma huwa Naidakia kila niionapo labda mnivumilie tu kwenye hilo....Unaweza kuthibitisha kuwa jua linatembea angani?
Kuliona jua linahama kutoka mahali pamoja kwenda pengine ni uthibitisho kuwa linatembea?
Ama Je, kuona miti ikiwa inarudi nyuma ukiwa katika mwendo ndani ya gari kunathibitisha kuwa miti inatembea?
Nadharia unazotumia ambazo pia walishazitumia wenzako ni inconsistent na zimekwisha shindwa kuthibitisha hicho unachokisema.
Asante!
Hata hii elimu ya Dunia Duara hakuna akiyethibitisha zaidi yakuadithiwa kuna watu walithibitisha maana hata wewe hauna uthibitisha wa lolote juu ya umbo la dunia maana utafiti wake ni mgumu kwa maelezo ya kisayansi.Flat-earthers ni wasambaza uzushi bila ushahidi wa kile wanachokisema na wanalijua hilo. Ni watu wa maneno na porojo nyingi ambazo kwao wanaziita "facts".
Ni wazuri sana katika kutunga picha picha zenye maudhui ya mizaha mtandaoni almaarufu kama 'memes' na mara nyingi hupenda kuambatanisha hoja zao na hizo 'memes' pamoja na picha na video za kuunganisha matukio.
Wanadai kuwa dunia imezungukwa na ukuta wa barafu. Ukiomba uthibitisho juu ya madai hayo, hakuna!
Kwa kulazimisha, watakushawishi na picha zisizoendana hata na kile wanachodai.
Wengine ukiwauliza sababu ya kutokwenda kutuletea uthibitisho wenu kuhusu ukuta na edge ya dunia, wanakuambia NASA wameweka ulinzi kule ili kuzuia watu wasiende. Ukiomba ushahidi wa madai hayo, utasubiri sana!
Kampuni za usafirishaji, Marubani, Manahodha wa meli, Kampuni za habari na mawasiliano n.k. hao wote kwao flat-earthers ni wapumbavu waliozuiwa na wengine kupewa rushwa ili wasitoe siri kuwa 'dunia ni flat' kwa "maslahi" ya serikali za dunia.
Ukiomba uthibitisho, zero! Utaishia kuambiwa "usiwe mtumwa wa fikra".
Kama flat-earthers wameshindwa kutetea nadharia yao wenyewe kwa kututhibitishia hilo, unataka mimi niende huko nikafanye nini?Toa hizo theory bana acha kuzunguka hapa,kama kuta za barafu huzioni basi hilo ni tatizo lingine,umeenda ukakuta hazipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uthibitisho wa "ukuta unaozunguka dunia" kama wasemavyo flat-earthers.Kuliacha jua nyuma kwa mtazamo wako ni spinning ama revolving?
Mnataka uthibisho upi huo angali unaona kila kitu kwa macho yako ?
NASA watupe details zao za mwezini na hizo za mars kama wanakifua,ama wachukue watu wawili tu ambao ni flat earthers twende space kama wanakifua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Flat-earth ni imani, tena imani katika conspiracy theories!Flat earther sio imani ni uhalisia na pia dunia nzima since ages wanafahamu dunia ni flatdisk,ila kwakuwa uko indoctrinated inahitaji nguvu ya ziada kurudisha fahamu zako.
Unaweza thibitisha dunia inatembea ,ukisema utumie huo mfano wa gari ntacheka sana,sasa fanya hivi sisi tupo juu ya dunia na sio ndani kwahiyo kwenye mfano wa gari mtu akae nje ya gari na sio ndani tujue atahisi chochote ama laah.
Kama umeweza tumia mfano wa gari kwa dunia kwanini ushindwe kutumia ukaaji wa maji katika bakuli na mpira??
Sent using Jamii Forums mobile app
Jua linatembea? Thibitisha!Hii nadharia ya miti kurudi nyuma huwa Naidakia kila niionapo labda mnivumilie tu kwenye hilo....
Hivi kweli kabisa kitendo chakuliona jua likitembea ni sawa sawa nakuiona miti ikitembea tuwapo katika gari?
Tulidanganywa sana na nasikitika bado tunauhubiri huo uongo.
Hivi kuna hisia yoyote ya mtetemo tuupatao kiasi cha kuhisi dunia inajizungusha kiasi chakuona Jua linatembea ilhali liko pale pale.?
Vipi tukiwa kwenye gari au chombo chochote cha usafiri katika mwendo kiasi chakuona miti inarudi nyuma, je huwa hatuhisi mtetemo wakutujulisha tupo katika Mwendo?
SASA KWANINI TUUTUMIE HUU MFANO KUTHIBITISHA DUNIA INAJIZUNGUSHA MPAKA TUNAONA JUA LINATEMBEA ILHALI HATUHISI MTETEMO WA AINA YOYOTE KATIKA SAFARI YA DUNIA KUJIZUNGUSHA NA KULIZUNGUKA JUA.
Kipi kingine unachokiona kipo hivi ila sivyo kulivyo kupitia macho yako? Iweje ni jua tuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umbo la dunia kama sphere limekwisha kuelezeka, umekwisha fundishwa. Je, ulitega vipindi darasani?Hata hii elimu ya Dunia Duara hakuna akiyethibitisha zaidi yakuadithiwa kuna watu walithibitisha maana hata wewe hauna uthibitisha wa lolote juu ya umbo la dunia maana utafiti wake ni mgumu kwa maelezo ya kisayansi.
Utapima na nini ili ujiridhishe dunia inashape za duara zaidi ya picha, video nakuambiwa na wanaosema wamethibitisha.
Kwahiyo mtendee haki mleta uzi kile unachotaka akuthibitishie na wewe mthibitishie ushahidi ulio nao.
Kasema anaamini Jua linatemvea kwa sababu analiona,
Na wewe msibitishie dunia inajizungusha kwasababu utakazozitoa ambazo hata mtu baki anaweza kuzithibitisha sababu zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
sio umekwisha fundishwa sema umekwisha danganywa.kama unaamini astronomy ya darasani huwezi nielewa maisha.Umbo la dunia kama sphere limekwisha kuelezeka, umekwisha fundishwa. Je, ulitega vipindi darasani?
Kila kitu kinachoihusu dunia (muda na wakati, misimu, kupatwa kwa mwezi n.k.) kimeelezewa kikamilifu na kwa uthibitisho wa kutosha na umekwisha fundishwa. Unasema ni uongo, una uthibitisho? Thibitisha!
Umbo la dunia flat, haliwezi kuvielezea hivyo vitu vyote vinavyoihusu dunia kwa usahihi katika muundo uleule kama vilivyoweza kuelezeka katika umbo la sphere bila kuleta mkanganyiko.
Kwa kifupi, umbo la dunia flat ni inconsistent! Halijielezi kikamilifu, haliwezi kujitetea! Thibitisha kinyume na hapo!
Gravity inazuia mwezi usidondoke
Gravity inazuia dunia lisidondoke
Gravity inazuia maji yasimwagike kwa hii dunia duara
Gravity inatuzuia sisi tusipate kutoka kwa dunia hii imetushukilizia hapa tusibanduke
But GRAVITY HIYO HIYO INATURUHUSU TUWEZE KUTEMBEA SISI PAMOJA NA WANYAMA.
Ingetakiwa iwe shida kwa sisi hata kunyanyua mguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nzi akiwa ndani ya ndege akaruka kutoka seat moja kwenda nyingine atashindwa kutua?Hizo videos mbona hazionyeshi dunia ikizunguka kwa speed hiyo wanayosema??
Ukitoka nje ya dunia kwa hiyo speed inayotembea its means kamwe huwezi kutua tena!
Na msiniambie eti mtaweza kutua kwa story zile zile.za kwamba eti sababu tulio duniani hatuihisi sababu ya ukubwa basi na kutua nako kiwe hvy hvy hauwezi kuipata hiyo speed na ukatua powa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gravity ni tofauti na sumaku mkuuGravity inazuia mwezi usidondoke
Gravity inazuia dunia lisidondoke
Gravity inazuia maji yasimwagike kwa hii dunia duara
Gravity inatuzuia sisi tusipate kutoka kwa dunia hii imetushukilizia hapa tusibanduke
But GRAVITY HIYO HIYO INATURUHUSU TUWEZE KUTEMBEA SISI PAMOJA NA WANYAMA.
Ingetakiwa iwe shida kwa sisi hata kunyanyua mguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tuko juu ya dunia kwahiyo mweke nzi nje ya ndege halafu aruke ikiwa angani inatembea.Kwani nzi akiwa ndani ya ndege akaruka kutoka seat moja kwenda nyingine atashindwa kutua?
Hit direct to the Ntonku