The World is a flat plane and not a globe

Tumia ubongo kufikiria,na hekima pia inasaidia ,huwezi kuona naamini ni kwanini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna gravity kuna density ya matter and what makes us contact because we are higher dense,you can measure density but not gravity.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂sema sisi wabongo ni pasua kichwa kweli..
Sasa mkuu unavyomwambia mwenzako avuke aende southpole wewe umevuka lini??

Eti unakuta mtu anasema hii siri ya earth kuwa flati ni ya watu wachache tena powerful..
Sasa wewe mzee baba toka Buza umejuaje siri za watu powerful duniani au unataka kutuaminisha na wewe unatokea familia ya Rockfella??

Mambo ya kwamba chini kuna hell then juu kuna heaven😂😂 ukijichanganya ukakanyaga mirembe huwezi achiwa kamwe..

Watu wamewekeza matirioni kufanya research wakaenda mwezini wakakupigia hadi picha wakakutumia..
Wewe umenunua simu ya laki 5 na bando la buku jero unaanza kupinga mambo yaliyokuwa proved na calculations zote zinafavour round earth.. atleast na wewe fanya research ya maana sio kugoogle na kututumia vipicha kutoka kwenye page za bible.
 
Mi watu wanaohoji hizo research naona wako sawa inaonesha jinsi gani wanatumia akili zao vizuri badala ya kukariri tu. Ila ukija na hoja njoo full, sio unaanza unakijua kitu fulani wewe? Sisi hatiju mnaojua ndio mtuelimishe. Sasa ukianza kunihoji au kunitaka nisiejua si uzwazwa huo?
 
Mnabishana kitu kidogo..Dunia ni Flat land with globe ( round) shape.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na ushahidi wote na picha kuonesha dunia duara inashangaza baadhi bado wanamini dunia umbo la sinia. sisemi mengi zaidi ya Mungu awajalie mutumbukie to wherever siku mkifika ukingoni mwa dunia. 😂
 
"Where things can stay stationary whether in motion or not"?

What kind of crazy contradiction is that?

Do you even understand what you are writing?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naweza kusema ncha ni imaginary point yeyote unayoweza kuweka at any circular position within a southpole na sio kuwa nani anajua ellites wote wanajua kwasababu ramani zipoView attachment 1334966

Sent using Jamii Forums mobile app
Ncha maana yake ni ukingo ambao baada yake hakuna kingine kwenye hicho kitu husika.

Na ncha sio kweli kwamba ni imaginary point. Kitendo cha wewe kusemani imaginary point kinaonyesha ukomo wa kujua ukomo wa dunia kiumbile ni wapi.

Unaweza kuthibitisha ukweli wa hiyo ramani hapo juu ? Walitumia vigezo gani kuchora ramani hiyo ?
 
Kwa hiyo dunia ina umbo gani...

kama sio sphere kama unavyotuaminisha,, maana yake ni kua kuna mwisho wake

Nichukulie mfano ulivyoweka apo juu kama bakuli.. Je ni bara la artantica tu ndo unaona ndo mwisho wa dunia..??..

Kama yapo wengine.. Mf: south america au hata australia.. Nadhani tungekua tushawai ambiwa kua ukifika sehemu fulani unaona kingo za dunia..





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods, unga huu uzushi na ule uzi mwingine.
 
Mnabishana kitu kidogo..Dunia ni Flat land with globe ( round) shape.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio msimamo wangu, na nimewaambia ya kuwa dunia kiumbile ni duara ila kutakana na ukubwa wake na upeo w macho yetu na vitendea kazi tunavyotumia huonekana kama tandiko lililo tandikwa tu yaani tambarale
 
Ongezea naka mechanism tunapataje usiku na mchana,
Bongo ni mchana lakini kwa mzungu ni usiku..
 
Hakuna gravity kuna density ya matter and what makes us contact because we are higher dense,you can measure density but not gravity.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una shida kweli, inaonekana hata wewe bado hujawaelewa wenzako vizuri.
- Unasema kwamba vitu vinafall sababu ya density, density equals mass over volume, and we expect different materials to have different densities, Ngoja nikuulize swali.

Y do things fall at the same rate??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepewa uwanja wa hoja unaleta mambo ya namna hiyo?

Kisha unajiita msomi?
 
Nimemaliza comment zote lakini sijaona hoja zenye mashiko, watu wanashinda kuulizana maswali, yaani wanajibu maswali kwa maswali.

Nothing changes IF Nothing changes
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…