sembuli, watu wanaweza dhati mfano wako ni kebehi ila ukweli ndio huo. Kila mtu anaweza kuona kitu fulani ni bora/kitamu lakini muhimu ni kuangalia wangapi ndio wanaona hivyo?ni mtazamo wako kwa akili yako ilipofikia, ni sawa na mimi ninavyoamini kitimoto ni bora kuliko kuku, si lazima na wewe huamini!
Katika kipindi cha miaka 10 mfululizo nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana hawa wanasiasa wawili. Kwa kipindi chote hicho Mbowe hajawahi kumfunika kijana kwa mambo yafuatayo:
1. Uwezo wa kujenga hoja zenye akili
2. Uwezo wa kufafanua mambo ya kisiasa ya nchi bila kutumia matusi
3. Haiba ya kisiasa na uwezo mkubwa wa kufikisha ujumbe kwa wananchi
4. Anaweza kuvuta umma peke yake bila kubebwa na Dr. Slaa
Zitto has bright future compared to Mzee Mbowe.
Sikio halishindi kichwaKatika kipindi cha miaka 10 mfululizo nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana hawa wanasiasa wawili. Kwa kipindi chote hicho Mbowe hajawahi kumfunika kijana kwa mambo yafuatayo:
1. Uwezo wa kujenga hoja zenye akili
2. Uwezo wa kufafanua mambo ya kisiasa ya nchi bila kutumia matusi
3. Haiba ya kisiasa na uwezo mkubwa wa kufikisha ujumbe kwa wananchi
4. Anaweza kuvuta umma peke yake bila kubebwa na Dr. Slaa
Zitto has bright future compared to Mzee Mbowe.
Mkuu SG8, hii kauli imenistua kidogo!, unamaanisha wale watakaosababisha CCM ishinde tena, Watanzania hatuta wasamehe?, hao watakaipa ushindi hiyo CCM jee watakuwa ni kina nani?.watanzania hatutawasamehe wakisababisha CCM ishinde mwaka 2015
Katika kipindi cha miaka 10 mfululizo nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana hawa wanasiasa wawili. Kwa kipindi chote hicho Mbowe hajawahi kumfunika kijana kwa mambo yafuatayo:
1. Uwezo wa kujenga hoja zenye akili
2. Uwezo wa kufafanua mambo ya kisiasa ya nchi bila kutumia matusi
3. Haiba ya kisiasa na uwezo mkubwa wa kufikisha ujumbe kwa wananchi
4. Anaweza kuvuta umma peke yake bila kubebwa na Dr. Slaa
Zitto has bright future compared to Mzee Mbowe.
So what? wewe ungeweza hata kusema ZZK ni bora kuliko MUNGU bado haimfanyi wana CHADEMA wamwamini. huyo kama unampenda nenda ukanywe nae chai. essentially yeye amekosea kuji affiliate na ccm wakati anatamani aonekane ni mwana mageuzi.CHADEMA kamwe hatuta mpa nafasi ya kugombea urais hata angeungwa mkono na wana ccm namna gani.he remains to be a betrayer.Katika kipindi cha miaka 10 mfululizo nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana hawa wanasiasa wawili. Kwa kipindi chote hicho Mbowe hajawahi kumfunika kijana kwa mambo yafuatayo:
1. Uwezo wa kujenga hoja zenye akili
2. Uwezo wa kufafanua mambo ya kisiasa ya nchi bila kutumia matusi
3. Haiba ya kisiasa na uwezo mkubwa wa kufikisha ujumbe kwa wananchi
4. Anaweza kuvuta umma peke yake bila kubebwa na Dr. Slaa
Zitto has bright future compared to Mzee Mbowe.
Katika kipindi cha miaka 10 mfululizo nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana hawa wanasiasa wawili. Kwa kipindi chote hicho Mbowe hajawahi kumfunika kijana kwa mambo yafuatayo:
1. Uwezo wa kujenga hoja zenye akili
2. Uwezo wa kufafanua mambo ya kisiasa ya nchi bila kutumia matusi
3. Haiba ya kisiasa na uwezo mkubwa wa kufikisha ujumbe kwa wananchi
4. Anaweza kuvuta umma peke yake bila kubebwa na Dr. Slaa
Zitto has bright future compared to Mzee Mbowe.
KAMWENE BE! YOU ARE A GREAT THINKER OF OUR TIMES,Unanikosha kwa nondo zako zenye hekima murua.mleta mada bila shaka hana cha kuongeza bila shaka amebaini kuwa CHADEMA wako ahead of them a couple of milesTukifika siku ya kutafuta mgombea wa Uraisi tutawatathimini sasa tunatathimi anayejenga Chama kwanza. Swala la kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti sana, ukisoma yale makarabrashia ya maprofesa wetu ni mazuri sana utendaji ndio unatupashida. Duniani watu hawawezi kufanana na kulingana kwa kila kitu.
Ndani ya Chadema viongozi wetu wote wana input na tunaziheshimu sana kazi zao kwani kila aliyefanya kwa moyo wa kuwasaidia watanzania na chama tutamwenzi. Waacheni wafanye kazi ya kujenga chama msiwatoe kwenye hilo kwa sasa na wale wanaofanya kampeni za uraisi waacheni wafanye msiwatoe kwenye hilo na wale wanaounganisha watanzania waacheni wafanye na wale wanaovuruga chama vile vile waacheni, Acheni ngano na magugu viote pamoja ili wakati wa palizi usije ukachanganya ukang'oa ngano badala ya magugu.
Busara za Chief Mkwawa wa kalenga
Hawawezi kutulia kama maji mtungini vilevile hawawezi kuvunja mtungi kwani kama wana akili wanajua wanauhitaji sana mtungi ili kuweza kuishi humo ndani. Kuna wakati joto linazidi na baridi inazidi vyote ni vipindi wao wanaita Demokrasia.
Unajua PASCO watanzania wake kwa waume wamedhamiria kuona ccm inaondoka madarakani.fanya utafiti kidogo utagundu kuwa wasomi wote ambao siyo opportunists wapo CHADEMA.waliopo ccm wana kadi mbili moja ya huko wana chumi tumbo na ya CHADEMA.kuna wasio jua nchi inaelekea wapi kama ZZK and the like sisi tunawajua.tutahangaika nao tu usiku na mchana mpaka NCHI yetu ikombolewe,Mkuu SG8, hii kauli imenistua kidogo!, unamaanisha wale watakaosababisha CCM ishinde tena, Watanzania hatuta wasamehe?, hao watakaipa ushindi hiyo CCM jee watakuwa ni kina nani?.
Wakati tukijiandaa kutowasamehe watakaosababisha CCM ishinde mwaka 2015, jee tutawafanya nini hawa ambao tangu leo wanatamka wazi kuwa ili Chadema ishinde 2015, ni lazima ifanye a,b,c,na d!, na kutoa angalizo, isipofanya hivyo , 2015 ni CCM tena!. Mpaka sasa, Chadema bado haijafanya, wala haijaonyesha kufanya!. Ikitokea ni kweli 2015, CCM ikashinda tena kwa sababu Chadema haikufanya a,b,c,na d, itamaanisha, waliofanya CCM ishinde tena 2015 ni Chadema, jee hao nakuuliza mkuu SG8, jee mtawafanya nini hawa Chadema wataosababisha CCM ishinde tena 2015?.
By the way nimelipenda sana lile jina la utangulizi la rais wa ...Ford wa Marekani, just curious what does "S" stand for?.
P.
KIVULI CHA PHd SLAA KINAWATESA,KILA SIKU ZITTO,ZITTO?
Unajua PASCO watanzania wake kwa waume wamedhamiria kuona ccm inaondoka madarakani.fanya utafiti kidogo utagundu kuwa wasomi wote ambao siyo opportunists wapo CHADEMA.waliopo ccm wana kadi mbili moja ya huko wana chumi tumbo na ya CHADEMA.kuna wasio jua nchi inaelekea wapi kama ZZK and the like sisi tunawajua.tutahangaika nao tu usiku na mchana mpaka NCHI yetu ikombolewe,
sasa umeandika nini? Hebu endelea kunywa gongo zakonaunga mkono hoja nia kwa mia , watakusambulia sana, watakudharau sana ila siku ukweli ukijulikana watakuheshimu sana. Namuungamkono zitto he can read, research and write. Kuna watu humu JF hata kusoma kitabu chenye kurasa kumi hawajawahi, hawajawahi kufanya tafiti na kuandika analysis kazi yao ni siasa za umbea na magazeti, nasema sio aina ya siasa za kuisadia tanzania leo. pamoja na umasikini wa tanzania na kuungwa mkono kwa chadema , lazima tuwaeleze watanzania njia mbadala za kuleta maendeleo yao kama zitto anavyofanya sio kina heche unaweza kufikiri ni tape iliyorekodiwa anaongea ufisadi, mara polisi kila siku lakini hasemi tunatatatua vipi matatizo ya watanzania.