Mkuu SG8, hii kauli imenistua kidogo!, unamaanisha wale watakaosababisha CCM ishinde tena, Watanzania hatuta wasamehe?, hao watakaipa ushindi hiyo CCM jee watakuwa ni kina nani?.
Wakati tukijiandaa kutowasamehe watakaosababisha CCM ishinde mwaka 2015, jee tutawafanya nini hawa ambao tangu leo wanatamka wazi kuwa ili Chadema ishinde 2015, ni lazima ifanye a,b,c,na d!, na kutoa angalizo, isipofanya hivyo , 2015 ni CCM tena!. Mpaka sasa, Chadema bado haijafanya, wala haijaonyesha kufanya!. Ikitokea ni kweli 2015, CCM ikashinda tena kwa sababu Chadema haikufanya a,b,c,na d, itamaanisha, waliofanya CCM ishinde tena 2015 ni Chadema, jee hao nakuuliza mkuu SG8, jee mtawafanya nini hawa Chadema wataosababisha CCM ishinde tena 2015?.
By the way nimelipenda sana lile jina la utangulizi la rais wa ...Ford wa Marekani, just curious what does "S" stand for?.
P.