Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,738
- 14,637
Huyu ameja kutuchagulia mshindi!!which is hogwash.Kila mtu ana nafasi yake na uwezo wake. Sidhani kama mleta huu uzi alimaanisha kutafuta mshindi. Anyways, hawa wote ni viongozi wetu, kwa hiyo tuwapendeni wote, utakapofika wakati wa kuwachagua kuwapa madaraka fulani fulani, tutaamua nani akae wapi. Ikumbukwe sisi wapiga kura ndo tuna nguvu ya kuamua nani akae wapi kupitia taratibu na chaguzi zetu ndani ya chama.