Mkuu ile aya yako ya mwisho inaelezea upuuzi fulani ndani yako! Utanisamehe bure!..
Ni kivipi hao unaowaita magenius kuamini kwao Mungu kunafanya wengine wasipinge..??
Kauli uliyotumia kuuelezea ujumbe wako huo kumemaanisha hata Mungu humjui!,na sio tu humjui bali hana mawasiliano nawe!.. maana unautumia u genius wa wengine kukubali kwao uwepo wake kuwa ndio uwepo wa Mungu huyo!.
Kwanini usiitumie nafasi yako wewe kututhibitishia uwepo wa huyo Mungu ili tujue unamfahamu kweli..??
Imani yako ya kufikiri u genius wa da vinci umekuleteleza kuamini anachokiamini.. hii inamaanisha umeitelekeza sehemu fulani ya nafasi yako ya ufahamu!..
Pamoja na u genius aliokuwa nao Albert Einstein lkn kuna mahali pia kulimpiga chenga!.. quantum theory.
Labda nikuhoji kwa kupitia u genius wa hao unaowaamini nithibitishie uwepo wa Mungu..???
Kwahiyo kutoamini uwepo wa mungu maana yake hauna akili.Watu wenye akili zaidi waliowahi kuishi duniani wanatambua mungu yupo ndio maana wakatoa concept hiyo ya the great chain of being, ila wewe una kadigrii kamoja huna ulichokifanya kwenye jamii kutokana na digrii yako hiyo ila kwa frustration za maisha yalivyokudunda unasema hakuna Mungu..pole sana…Chaguo ni lako kama unataka upande ile ngazi ya juu kwa kuiishi uungu au uishi ngazi ya chini uuishi ushetani. Huyo ndio mwamba Leonardo Da Vinci polymath genius.
Hahahahaha kimsingi yanaweza fika kwasab mm Sina utaaramu wowot lakin nimefanikiwa huyaona mapozi 7 kwa haraka , kwa kutumia tu kuunganisha miguu na kichwa kimoja kimoja baadae nikaunganisha mkono mmoja na mwingine kwa kuitofautisha Kisha Tena nikaunganisha mguu mmoja na mguu mwgne yaan utaona maumbo mengi tofauti Ni kichwa tu ndio kibak constant vingine kuwa unachangeUzi mzuri lkn kwangu sijui kwanini inakuwa ngumu kuamini kama hiyo picha inamafumbo mengi kama inavyoainishwa!!, mengine kama vile yanakuzwa tu nawatu na kuitafsiri waonavyo!!.
Ila nahisi na mweka mada unamaana yako kutuwekea picha hiyo!,nahisi kabisa kuna kaujumbe unataka kukafikisha ila lazima ukafikishe kwa siri!.. hata hivyo usitilie maanani ni kuhisi kwangu tu!..
Elezea hayo mapozi 12 uliyoyaona nje na hayo yanayoonekana!.
Uzi mzuri lkn kwangu sijui kwanini inakuwa ngumu kuamini kama hiyo picha inamafumbo mengi kama inavyoainishwa!!, mengine kama vile yanakuzwa tu nawatu na kuitafsiri waonavyo!!.
Ila nahisi na mweka mada unamaana yako kutuwekea picha hiyo!,nahisi kabisa kuna kaujumbe unataka kukafikisha ila lazima ukafikishe kwa siri!.. hata hivyo usitilie maanani ni kuhisi kwangu tu!..
Elezea hayo mapozi 12 uliyoyaona nje na hayo yanayoonekana!.
Huyo ni yesu 😁😁View attachment 1500590
Kwenye huu mchoro unaona Yesu kashikilia msalaba ambao ilikua ni destiny yake kua atawekwa msalabani. Lakini mama yake hapo anajaribu kumvuta kumtoa kwenye huo msalaba ambao ni destiny ya mwanae. Je unaelewa nini.?
Yeye anasema eti ni yesu😁😁Umeona sasa! Mimi namuona mama akimshikilia vizuri mtoto asianguke anapousogelea aushike msalaba.
Siku moja uje na uzi wa SPIRITUAL BUSINESS mkuuUkitaka ujue Mungu yupo, jifunze kuuingia ulimwengu wa roho kwa ukamilifu wake. Wazungu wanaita "spiritual meditation". Ukiweza kuzama kabisa kwenye through spiritual meditation, then utaujua ulimwengu wa roho unavyofanya kazi.
Spiritual meditation lazima iwe na godly source of spiritual power. Uchaguzi ni wako, either u-sourse spiritual power kwa MUNGU wa mbinguni (YAHWE) au mungu mwingine (shetani). Uki-source spiritual meditation kwa godly power ya YESU/YAHWE, then divine spiritual power itokayo kwa YESU/YAHWE ita-connect na NAFSI yako. Na endapo nafsi yako kwasasa iko connected na spiritual power ya mungu mwingine (other than JESUS/YAHWE unayemuomba), basi vita kubwa itaibuka kwenye ulimwengu wa roho kwani ile miungu iliyoshikilia nafsi yako haitakuwa tayari kuiachia kiurahisi, hasa kama ina haki kiroho kuishikilia nafsi yako.
Kumbuka kuwa biashara kubwa kuliko zote duniani ni biashara ya NAFSI ya mwanadamu, and it is purely spiritual business, invisible in the phyisical world but the most dominant of all in this world. Siku shetani atakapo acha kununua nafsi za wanadamu kupitia ibada wanadamu wanazompa shetani ili wanadam hao wapate something beneficial in return, huo ndio utakuwa mwisho wa ustaarabu wa mwanadamu duniani. Sababu ni kwamba mafanikio mengi ya mwanadam ameyapata kwa shetani coz masharti yake ni mepesi kulinganisha na yale ya MUNGU wa mbinguni(YAHWE). MUNGU anataka uache dhambi kabisa na umche kwa ukamilifu ndipo utapata baraka za YAHWE kwenye maisha yako, kitu ambacho watu wengi kimewashinda, hivyo wengi wameamua kukimbilia kwa shetani.
kwann umesema huyo ni yesu??View attachment 1500590
Kwenye huu mchoro unaona Yesu kashikilia msalaba ambao ilikua ni destiny yake kua atawekwa msalabani. Lakini mama yake hapo anajaribu kumvuta kumtoa kwenye huo msalaba ambao ni destiny ya mwanae. Je unaelewa nini.?
Siku moja uje na uzi wa SPIRITUAL BUSINESS mkuu
Nausubiri kwa hamu sana huo uziBrother hii topic ni pana sana, inahitaji muda na utulivu mkubwa. Kwahiyo, nikitulia nitakujibu kwa ufasaha kabisa, though nitaandika kutoka kwenye perspective ya BIBLIA TAKATIFU.
Kwa sasa elewa tu kwamba, the greatest commodity of exchange ili kumuwezesha mtu kupata nafasi, vyeo, biashara na utajiri ambavyo binadamu wanakimbizana usiku na mchana kuvipata, sio fedha (mfano US $)kama watu wengi wanavyodhani. Fedha na utajiri unaoonekana katika ulimwengu huu wa mwili ni matokeo tu.
The greatest commodity of exchange katika ulimwengu huu ni NAFSI ZA WANADAMU. Kama umeikabidhi nafsi yako kwa MUNGU/YAHWE, tambua kabisa kila unachokitaka katika maisha yako, katika misingi ya uhalali na taratibu za YAHWE, utakipata huko. Wapo waliouza nafsi zao kwa shetani ili wapate wayatakayo humu duniani (hawa ni wengi sana). Kuikabidhi nafsi yako huko kunafanyika kwa njia ya ibada.
ulishautoa au bado upo jikoni ?Brother hii topic ni pana sana, inahitaji muda na utulivu mkubwa. Kwahiyo, nikitulia nitakujibu kwa ufasaha kabisa, though nitaandika kutoka kwenye perspective ya BIBLIA TAKATIFU.
Kwa sasa elewa tu kwamba, the greatest commodity of exchange ili kumuwezesha mtu kupata nafasi, vyeo, biashara na utajiri ambavyo binadamu wanakimbizana usiku na mchana kuvipata, sio fedha (mfano US $)kama watu wengi wanavyodhani. Fedha na utajiri unaoonekana katika ulimwengu huu wa mwili ni matokeo tu.
The greatest commodity of exchange katika ulimwengu huu ni NAFSI ZA WANADAMU. Kama umeikabidhi nafsi yako kwa MUNGU/YAHWE, tambua kabisa kila unachokitaka katika maisha yako, katika misingi ya uhalali na taratibu za YAHWE, utakipata huko. Wapo waliouza nafsi zao kwa shetani ili wapate wayatakayo humu duniani (hawa ni wengi sana). Kuikabidhi nafsi yako huko kunafanyika kwa njia ya ibada.
Huu uzi
ulishautoa au bado upo jikoni ?
Aristotle ndio mbabe wa kweli na kwenye angle zote.Kinachofanya nione huyu mtu ndio mwenye akili kuliko wote ni kwamba hakuna angle ya maisha ambayo hakuigusa. Wengi walijaliwa uwezo wa kitu kimoja au viwili..kama Newtown yeye alikua ni mwanasayansi tu. Mozart alikua mwanamuziki tu, Plato slikua mwanafalsafa tu,Carpenicus alikua mwana anga tu..ila Vinchii katenda yote hayo kwa utimilifu mkubwa..