The US Presidential Elections-2012

The US Presidential Elections-2012

Hadi usawa huu Romney ana electoral 33 na Obama ni 3.However projection inaonyesha Obama atashinda Ohio,na Florida yuko mbele kwa kura kama 90,000.
Hizo electoral anazoongoza Romney ni za exit polls au ni matokeo rasmi yameshaanza kutolewa?
 
CNN wana-project Obama anaongoza 64-40 on electoral college votes...kazi ipo!
 
Hizo electoral anazoongoza Romney ni za exit polls au ni matokeo rasmi yameshaanza kutolewa?
Hizo ni za ukweli.Lakini kama ni projection,Obama ana 64 na Romney ni 40 hadi usawa huu.
 
Obama anaongoza 64 electorcolage votes dhid ya 40 za romney....
 
obama pia anaongoza Ohio na Florida,kuna dalili kubwa atayabeba ,majimbo hayo,ila bado ni early kwasababu ni asilimia 7 tu ya kura za Ohio zimehesabiwa 102,687 ni kura anazoongoza nazo OH.
 
Mkuu sasa nina imani kuwa Obama ana nafasi kubwa ya kubeba ushindi!Mambo yanaenda vyema hadi usawa huu.
 
Mkuu sasa nina imani kuwa Obama ana nafasi kubwa ya kubeba ushindi!Mambo yanaenda vyema hadi usawa huu.

I'm feeling the vibe too.

Seriously speaking, the way the situation is, the challenger should have been leading the incumbent in all
categories going into the elections. Surprisingly this is not the case and it makes me wonder...hmmmm?

Winning Ohio is check....

Winning Florida is checkmate!

I await.
 
Projection ya cnn inaonyesha Obama 64 na Romney 56.However Florida Romney yuko mbele kwa 57% na Obama 42%,ni asilimia 55% kura zilizohesabiwa hadi sasa hapo FL.
 
hata wewe hueleweki bana...ni marekani survellance drone ama satelaiti ndo waliwasonteshea ghadaf alipokua.na ujue siku moja kabla ya tukio Hillaly Demon Clinton alikua hapo tripol na alitoa go ahead ya kummaliza,walichofanya ni kuyapiga mabomu maficho yake kwa ndege,alipochomoka toka mafichoni wakaupiga mabomu msafara hadi ukatawanyika na ghadafu alipojificha kwenye karavati walikua wakimuona kupitia livevideo streaming toka kwenye drone.ili kujiondoa lawama ya kumuua wakawasonteshea wale free libya army wakaja kumuua.
Obama hawezi kukwepa kuhusika .HE IS A COLD BLOODED KILLER.

Hivi kabla ya kupost ulisoma ulichoandika? Maana ni full mchanganyo.

Mara ni Marekani survellance drone ama satelaiti ndo waliwasonteshea ghadaf alipokua

Mara Hillary Clinton alikua hapo tripol na alitoa go ahead ya kummaliza.

Mara Obama is a cold blood killer.

Kama Obama is a cold blood killer na Gadaffi atakuwa mmuaji wa aina gani?
 





Barack Obama (D)

balance-obama.png

3
Electoral Votes
1,412,691 Popular Votes




Mitt Romney (R)


balance-romney.png

13

Electoral Votes
1,508,923 Popular Votes



Weka chanzo na state-by-state breakdown of electoral votes won so far, siyo unaleta mambo ya "look ma, no hands".
 
I'm feeling the vibe too.

Seriously speaking, the way the situation is, the challenger should have been leading the incumbent in all
categories going into the elections. Surprisingly this is not the case and it makes me wonder...hmmmm?

Winning Ohio is check....

Winning Florida is checkmate!

I await.
True that!Nina imani zaidi na Ohio kuliko Florida.However Florida lazima kutakuwa na matatizo kama ikiwa too close.
 
obama akishinda ohio na PA inabidi awashukuru sana african americans maana nimesikia turn out yao ilikua kubwa kuliko hata ya 2008, florida anategemea sana latino, african american votes
 
Romney anaongoza sasa,anazo 73 na Obama ana 64,lakini Florida Obama anaongoza 63% kwa 35% za Romney, ikiwa ni bado mapema sana,na Ohio Obama anaongoza 58% kwa 40% ikiwa bado ni mapema.Ila popular vote Romney anaongoza kwa 52% na Obama ana 47%.Ngoma ni nzito haswa!
 
Mungu wangu obama anakabidhi ikulu yan marekani kwa ubaguzi ni noma

wangekuwa kweli wabaguzi wasingempa kura miaka minne iliyopita na kumuingiza Ikulu.

By the way, kwa siasa za Marekani, unaweza ukapata Popular votes nyingi lakini usiwe Rais pia. Fuatilieni vizuri namna mshindi anavyopatikana sio kama kwetu
 
Back
Top Bottom