Private-eye
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,069
- 1,211
Afya na stamina ya mwadamu ndiyo viangalizoSiyo suala la mara ngapi suala ni hamu kwa mkeo/mumeo na muda kama unaruhusu. Kama hata mnafanya kazo karibu na nyumbani na hakuna bughudha unaweza kumpigia simu mwenzio na kumwambia mwende "mkashitue"! Kwanini mpange muda wskati kila mmoja ana uhuru na mwili wa mwenzie ndiyo chanzo cha kuenda kuiba nje kama muda haujafika!!!
Mi mpaka nichepuke ndo nakuwa na mzuka na wife vinginevo ata wiki itapita sijamdinya
Hata mimibasi mi ninaposoma comments za wamama/wadada nafurahi kweli.
Kabisa ya nini kujibana bana bwana! Vikipanda anytime tunaingia uwanjani
As long as wote hisia zinaruhusu fanyeni,msi overdo hadi mkakosa hamu nalo
Ni matarajio potofu ya kijamii ili wa ionekane wana maadili kumbe madarasa yote wameyamaliza na kuhitinu bila zengweKama mnanyege mbona huwa mnazuga kujifanya sitakinataka eti mpaka muombwee..!
hapa ni kubadilishana uzoefu,wote tunahusikaUmeona eeh,mnaeza jifanya watu wa ratiba then vikiwapanda mnafanyaje? Mtaangaliana msubiri siku ya ratiba!
Afu ujue tumevamia Uzi ulikua unawalenga wanaume
haitakiwi kuwe na formular,siku yoyote,saa yoyote na mahali popote ili mrdi kuwe na faragha....!Kujamiana ni tendo lililobarikiwa ndani ya ndoa lakini upo utata mkubwa wa mjamiaane mara ngapi kwa wiki au mwezi.
Wako wanaoona hakuna formula ila mjisikiiapo lakini pia Tupo tuonapo siyo suala la kujisikia tu bali ni kujinyima pia
Mara nyingi hupunguza ubora na thamani ya tendo lenyewe na mara chache mno huwaweka mbali kihisia wanandoa.
Je uonavyo yafaa iwe mara ngapi na kwa nini?
Karibu
Ikisimama panda, ikilowa chomeka no time table. Period