The Tale of two pictures: Whats wrong?

Mwalimu alikuwa moto wa kuotea mbali, ambao hamkubahatika kuona vitu vyake shauri yenu. Wote hawa akina Kikwete, Mkapa, Mwinyi et al wanafahamu vitu vyake, basi tu wanajibalaguza.

BTW moto utakaokuja kuwaka sijui nani atauzima.
 
I used to have the same line of thinking before but that has changed ever since I got enlightened.

CHARISMA is, according to Oxford Advanced Learners Dictionary, defined as "the powerful personal quality that some people have to attract and impress other people"

DICTATORSHIP, on the other hand, is defined in the same dictionary as " government by a dictator or a country that is ruled by a dictator. A dictator on the other hand is defined as "a ruler who has complete power over a country, especially one who has gained it using military force".

Therefore DICTATORSHIP AND CHARISMA are two different things.

When Nyerere sold Mr. Clean to Tanzanians he had been out of power for some time and was neither President nor a party Chairman. And just for record, Nyerere never gained leadership using military force.

But using his CHARISMA he managed to convince voters that Mr. Clean was the right candidate.
Tata,
Dictator si lazima awe litumia Nguvu za Kijehsi kuingia madarakani. Wako wengi waliogeuka Madictator baada ya kuchaguliwa. Pamoja na mapenzi yangu kwa Mwalimu sitakiuka ukweli kuwa Alama za Dictatorship alikuwa nazo!
 
Nenda kanisa la Butiama uingie ndani utapata picha zaidi!!!

Picha za kiongozi wa nchi kanisani za nini ? Sijawahi kuona picha ya kiongozi wa nchi duniani hata UK ambapo Mtawala ni kiongozi wa Kanisa Anglikana. Ama kweli ukistaajabu ya Musa utasikia ya Firauni.
 
Ameambiwa atoe mifano, including you!

Mifano mingi ilishatolewa ya huyu Tyrant,hapa hapa JF,kulikuwapo na Threads nyingi huko nyuma za kumuhusu Baba wa Taifa Mwalimu JK,hivyo sina haja ya kudurusu kilicho andikwa huko nyuma ndio maana nikamuuliza kwamba ,"hajui?"
Unless wewe uwe unatatizo!ningekushauri kabla ya kurukia utafute kwenye Archive.

Alafu,Jakaya kwa nionavyo mimi kwa muda wake huu wauongozi,angetawala hata nusu tu ya jinsi ya Mwalimu alivyo tawala (ukiondoa hii sijui kushika udongo au kwenda kulima na jembe shamba (wakati wenzetu wanatumia ma-tractor kulima) na kubeba tololi for show ) ni wazi kabisa tungekuwa tuko kwenye giza kiasi hata JF isengalikuwapo.
 
Ndo maana baada ya kuapishwa 2005 akawaambia wapigadebe wake walikuze jina la JK ili kujaribu kujifananisha na JK orijino....

I am handsome lakini siyo kigezo cha uaminifu kwa ndoa yangu. lazima nifanye mambo kwa busara ili niweze kuilinda taswira yangu njema. (mwenye kusoma afahamu)
 
Mifano mingi ilishatolewa ya huyu Tyrant,hapa hapa JF,kulikuwapo na Threads nyingi huko nyuma za kumuhusu Baba wa Taifa Mwalimu JK,hivyo sina haja ya kudurusu kilicho andikwa huko nyuma ndio maana nikamuuliza kwamba ,"hajui?"
Unless wewe uwe unatatizo!ningekushauri kabla ya kurukia utafute kwenye Archive.

Alafu,Jakaya kwa nionavyo mimi kwa muda wake huu wauongozi,angetawala hata nusu tu ya jinsi ya Mwalimu alivyo tawala (ukiondoa hii sijui kushika udongo au kwenda kulima na jembe shamba (wakati wenzetu wanatumia ma-tractor kulima) na kubeba tololi for show ) ni wazi kabisa tungekuwa tuko kwenye giza kiasi hata JF isengalikuwapo.

I do not blame you and your attitude. It reveals that you were born only yesterday and know nothing about the past or even Mwalimu as such! Regardless of what has been said in the past here at JF, kama kweli Mwalimu alikuwa dictator ni wazi si vigumu ku-prove it even if for 100th time.
 
I do not blame you and your attitude. It reveals that you were born only yesterday and know nothing about the past or even Mwalimu as such! Regardless of what has been said in the past here at JF, kama kweli Mwalimu alikuwa dictator ni wazi si vigumu ku-prove it even if for 100th time.

Mkulu,

Sio lazima unacho amini wewe ni kizuri na mimi niamini hivyo.Na hii haijalishi umri,na inonekana unashindwa kutumia umri wako vizuri na unataka kunilazimisha mimi kuamini uyatakayo niyaamini.
 
Wajameni dunia inazunguruka.

alichokifanya Nyerere alikimaliza wa sasa wanatakiwa kufanya mambo mengine. Kama Nyerere alivaa shati juliana na sulruali pima kwa mwaga mnataka kila kiongozi afanye hivyo?? aa bwana mambo mengine ni kuoneana tu.

Nyerere kama aliogea alifulia mangwaji na mimi kafulia OMO basi nionekane sio kiongozi safi??

Tena kwa taarifa mavazi hayo ya Nyerere wakati huo naye alionekana bishororo na viatu vya kisasa .Katambunga mbona hajavaa?
 
Wajameni dunia inazunguruka.

alichokifanya Nyerere alikimaliza wa sasa wanatakiwa kufanya mambo mengine. Kama Nyerere alivaa shati juliana na sulruali pima kwa mwaga mnataka kila kiongozi afanye hivyo?? aa bwana mambo mengine ni kuoneana tu.

Nyerere kama aliogea alifulia mangwaji na mimi kafulia OMO basi nionekane sio kiongozi safi??

Tena kwa taarifa mavazi hayo ya Nyerere wakati huo naye alionekana bishororo na viatu vya kisasa .Katambunga mbona hajavaa?

Hatuongelei different technologies za wakati ule na huu tunaongelea mwonekano wa taswira ya kiongozi bora, uongozi ni uongozi haupimwi kutokana na ubora wa technology unayotumia unapimwa kutokana na mazingira uliyonayo ya wakati huo kuna viongozi wa zamani hawakuwahi wala kupanda ndege lakini walikuwa viongozi bora mambo sijui ya magwanji na omo hayana nafasi katika uongozi
 
watu itikadi zimewajaa akilini mwao wala hawasomi nyakati na majira yake.

Watanzania tuna kasumba ya kutopenda kuambiwa ukweli na tunaendekeza ushabiki
 
Mkulu,

Sio lazima unacho amini wewe ni kizuri na mimi niamini hivyo.Na hii haijalishi umri,na inonekana unashindwa kutumia umri wako vizuri na unataka kunilazimisha mimi kuamini uyatakayo niyaamini.
Is it too much to ask? Prove it pal!
 
kikwetepics.jpg


somewhere in Tanzania; president of the republic

nyerere_phixr.jpg


somewhere in Tanzania; President of the Republic..

what is wrong? one of them is seen to be out of touch with his people, some have even considered him to have been a dictator of sort; the other is liked by a lot of people to the point of being considered a president for life if they have their way.

Wanasema "a picture is worth a thousand words" MKJJ, ahsante sina la kuongeza. Hizi picha kwa kweli zinatoa vielelezo vingi tu! Hafai huyu lakini tunao watu ambao aliwataja, ile % ipo ipo tu, hawa ni kama Sikio la kufa halisikii dawa.
 
Hatuongelei different technologies za wakati ule na huu tunaongelea mwonekano wa taswira ya kiongozi bora, uongozi ni uongozi haupimwi kutokana na ubora wa technology unayotumia unapimwa kutokana na mazingira uliyonayo ya wakati huo kuna viongozi wa zamani hawakuwahi wala kupanda ndege lakini walikuwa viongozi bora mambo sijui ya magwanji na omo hayana nafasi katika uongozi


sasa kama ni hivyo mbona mnamushambulia kwa kutia mkeka, sijui mwingine kachuchumaa eti shupavu? teh teh teh contadiction nyingi.

Mhukumuni kwa matendo na si mambo ya picha, uko servative nafikiri nalo ni tatizo sana kwetu.
 
Back
Top Bottom