Boramaisha
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 820
- 18
Usitafute links. Kama kweli wewe binafsi unaamini kwamba Mwalimu alikuwa dictator ni rahisi zaidi kwako kuandika hapa kuliko kutafuta yaliyoandikwa na watu wengine maana si yako. Kwa maana nyingine you are just believing in other people's convictions and not your own! Bendera yafuata upepo au sio?Hapana.
Nitajaribu kukutafutia Links ya hicho unacho hitaji then nitakuwekea hapa,lakini ungeweza kufanya mwenyewe.