The Tale of two pictures: Whats wrong?

Hapana.
Nitajaribu kukutafutia Links ya hicho unacho hitaji then nitakuwekea hapa,lakini ungeweza kufanya mwenyewe.
Usitafute links. Kama kweli wewe binafsi unaamini kwamba Mwalimu alikuwa dictator ni rahisi zaidi kwako kuandika hapa kuliko kutafuta yaliyoandikwa na watu wengine maana si yako. Kwa maana nyingine you are just believing in other people's convictions and not your own! Bendera yafuata upepo au sio?
 
Usitafute links. Kama kweli wewe binafsi unaamini kwamba Mwalimu alikuwa dictator ni rahisi zaidi kwako kuandika hapa kuliko kutafuta yaliyoandikwa na watu wengine maana si yako. Kwa maana nyingine you are just believing in other people's convictions and not your own! Bendera yafuata upepo au sio?

Wewe ni mtu wa ajabu sana.

Sidhani hata wewe yote unayo ya juu ni invation yako,umeyaona umesoma au moja kati ya hayo.katika hiyo link ungeweza kuona na mchango wangu pia
 
If you are really convinced that Mwalimu was a dictator what makes it so difficult for you to prove it even by a few sentences here?! Sihitaji uandike kitabu ama 'uteremshe' waliyoandika wengine hata kama ni pamoja na wewe ambaye ni dhahiri unafuata upepo tu. What I gather ni kwamba you base your argument kutokana na waliyoandika wengine ama uliyowahi kusimuliwa maana it is obvious you were not there when Mwalimu was exercising his 'dictatorship' to be able to convince others without reasonable doubt that he was a dictator!
 
mimi naamini ni advancement ya sciences na technologies ndiyo inayowatofautisha
Jamani kweli science imefanya mapinduzi mengi,lakini hapa ni kitugani cha kufananisha na science?maana mkeka na hilo chepeo vilikuwepo tokea enzi hizo,jamani kama umeshindwa mtetea mkulu muache ajitetee mwenyewe!!
 
If you are really convinced that Mwalimu was a dictator what makes it so difficult for you to prove it even by a few sentences here?! Sihitaji uandike kitabu ama 'uteremshe' waliyoandika wengine hata kama ni pamoja na wewe ambaye ni dhahiri unafuata upepo tu. What I gather ni kwamba you base your argument kutokana na waliyoandika wengine ama uliyowahi kusimuliwa maana it is obvious you were not there when Mwalimu was exercising his 'dictatorship' to be able to convince others without reasonable doubt that he was a dictator!

Sawa Mkulu wa Enzi za Mwalimu.

It looks to me this is very personal rathar than the seek of urgument to enlighten on the matters concern our History and leadership.
Imefikia hapo mimi nimekubari kwamba mimi Sanda matuta ni Bendela ifatayo upepo
 
sasa kama ni hivyo mbona mnamushambulia kwa kutia mkeka, sijui mwingine kachuchumaa eti shupavu? teh teh teh contadiction nyingi.

Mhukumuni kwa matendo na si mambo ya picha, uko servative nafikiri nalo ni tatizo sana kwetu.

Naona wewe unaongelea picha na technology kuliko kuongelea maudhui ya picha kwa heri ngoja niargue na wanao jadili maudui yake.
 
Mifano mingi ilishatolewa ya huyu Tyrant,hapa hapa JF,kulikuwapo na Threads nyingi huko nyuma za kumuhusu Baba wa Taifa Mwalimu JK,hivyo sina haja ya kudurusu kilicho andikwa huko nyuma ndio maana nikamuuliza kwamba ,"hajui?"
Unless wewe uwe unatatizo!ningekushauri kabla ya kurukia utafute kwenye Archive.

Alafu,Jakaya kwa nionavyo mimi kwa muda wake huu wauongozi,angetawala hata nusu tu ya jinsi ya Mwalimu alivyo tawala (ukiondoa hii sijui kushika udongo au kwenda kulima na jembe shamba (wakati wenzetu wanatumia ma-tractor kulima) na kubeba tololi for show ) ni wazi kabisa tungekuwa tuko kwenye giza kiasi hata JF isengalikuwapo.

I don't agree with the highlighted. You can not beat the DotCom era. Kitu ambacho angefanya ni kupiga marufuku Internet kutumika Tanzania kama alivyobana Television, jambo ambalo kwa sasa angeonekana ni zaidi ya Kichaa cha dogi. Ila Mitandao ingeendelea kumsema kama ilivyo sasa. Kwa ujumla JK anaongoza nchi katika mazingira tofauti na ya JKN hivyo kuwalinganisha hawa wawili style zao za leadership ni sawa na kufanisha George Washington era and Obama era.
 
Mzee MM hapa umeleta taswira nzuri sana kwa JF, ya kuweza kutambua viongozi wetu wanaotuongoza kwamba ni wa aina gani! Asante sana
 
I don't agree with the highlighted. You can not beat the DotCom era. Kitu ambacho angefanya ni kupiga marufuku Internet kutumika Tanzania kama alivyobana Television, jambo ambalo kwa sasa angeonekana ni zaidi ya Kichaa cha dogi. Ila Mitandao ingeendelea kumsema kama ilivyo sasa. Kwa ujumla JK anaongoza nchi katika mazingira tofauti na ya JKN hivyo kuwalinganisha hawa wawili style zao za leadership ni sawa na kufanisha George Washington era and Obama era.

Kwenye red uongozi ni uongozi tu haijalishi uliongoza mwaka gani ethics za uongozi zinabaki zile zile kinachobadilika ni technology hata enzi zile kulikuwa na viongozi mabogus mbona wengine walifanikiwa vile vile na leo kuna viongozi mabogus mbona wengine wanafanikiwa
 
Hawa majamaa wote wanaitwa ma-JK na wamekuwa ikulu muda tofauti na mawazo,fikra ,malengo na mitazamo tofauti kama wanajamvi wanavyosema lakini kwa ufupi huyu mkongwe mkweli na alikuwa anamake sense tu alikuwa anakip it real we angalia alichokuwa anakifanya field........
 
May be kwakuwa zama zimetofautiana.

Sawa GS zama zimetofautiana nikupe mfano mmoja tu simple wa ethics za uongozi anyway si lazima awe kiongozi mtu yeyote sheria ya kujamiiana imekuja juzi juzi tu zamani haikuwepo lakini code of conducts zilikuwepo kiongozi alitakiwa aji behave kama anavyotakiwa wa sasa kiongozi akionekana amelewa hadharani na kujidhalilisha ama kutembea na wanawake hovyo au kubaka alikuwa anapoteza hadhi ya kuitwa kiongozi hakukuwa na hizi sheria wala hili haijalishi technologia nzuri au mbaya kiasi gani
 
I don't agree with the highlighted. You can not beat the DotCom era. Kitu ambacho angefanya ni kupiga marufuku Internet kutumika Tanzania kama alivyobana Television

Nyerere alipiga marufuku televisheni kutumika Tanzania lini?
 
Sawa GS zama zimetofautiana nikupe mfano mmoja tu simple wa ethics za uongozi anyway si lazima awe kiongozi mtu yeyote sheria ya kujamiiana imekuja juzi juzi tu zamani haikuwepo lakini code of conducts zilikuwepo kiongozi alitakiwa aji behave kama anavyotakiwa wa sasa kiongozi akionekana amelewa hadharani na kujidhalilisha ama kutembea na wanawake hovyo au kubaka alikuwa anapoteza hadhi ya kuitwa kiongozi hakukuwa na hizi sheria wala hili haijalishi technologia nzuri au mbaya kiasi gani

Nakubaliana na wewe.Ila wakati mwingine tusilaumiane kwa vitu ambayo viko nje ya uwezo wa mtu.Hawa wakuu wawili wamekulia katika makuzi,malezi na familia tofauti.JK ni brazameni hawezi kupiga magoti chini wakati Nyerere can.Dk Slaa havai kombati za CHADEMA kutokana na mitazamo yake na hivyo asihukumiwe kwa hilo.Warioba sijawahi kumuona akivaa green naye asikuhukumiwe kwa hilo.Hivi kutofautiana kwa JK na Nyerere katika hili kuna punguza nini kwa jamii ya watanzania?
 
Ni kweli kabisa, Ila Mwalimu Nyerere alikuwa ana moyo wa kufanya kila kitu toka moyoni na pia utaweza kuona hata leo Afisa Ugani anakwenda shambani amevaa suti na tie unategemee nini sasa?? hivyo hata watu ambao wapo Ikulu saa nyingine inapaswa wamweleze rais wetu mavazi na jinsi ya kufanya katika shughuli kama hizi za upandaji miti
 
yaani nimeanza kucheka kwanza
baada nikatafari sana
kweli kuna tofauti kubwa sana yaani muungwana nyerere alifanya vitu toka moyoni kabisa.
huyu mkwere,! dah shida tupu
 
Back
Top Bottom