niko hapa kanishinda kaenda kwenye kibao kata
Balaa gani tena hilo kwa mushaija? Lol
khe kumbe bishanga cha pombe af mbona kazeeka sana!!!
niko hapa kanishinda kaenda kwenye kibao kata
Vituko duniani.....full kilevi duh
Nw wewe unasikiliza majungu ya Platy?
Huoni kachukua picha za kina kimbweka na asprin ndo kazibandika hapa eti ni bishanga,ngoja nikamchukulie RB polisi mabatini.