The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

Mbn sion ngozi nyeusi hata kwa bahat mbaya?, au kadi za mwaliko kwa kina sie n kwenye mnuso baadae?
 
Hivi hawa nao kuendesha misa yote ya ndoa kwa kiingereza wanategemea nini, inamaana hawajui kiswahili au wanajifanyisha tu.
 
sasa linasomwa somo yaani.....pendaneni, msidanganyanne, mtumikiena mungu...kuweni wavumilivu, karibisheni watu msiwatenge...furahini na wanaofurahi..lieni na wanaolia..msijikweze..msilipishe baya kwa baya
 

attachment.php
 
McQueen dress, nice one kwakweli!!..Catherine looks stunning!!
Nadhani designer wa wedding dress ni Sarah Burton ila ndoa siku ya kwanza tu. Baada ya hapo ustahamilivu na upendo na uaminifu ndio vitadumisha ndoa otherwise infidelity, biggetry, nagging blahblah blah tabu tupu hata hivyo ndio raha za ndoa hizo .
 
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=28591&amp;d=1304072287" border="0" alt="" /></p>
<p>&nbsp;</p>
<p><font face="Lucida Console"><font size="3"><b>Bi Harusi ana chuchu nzuri</b></font></font>

usimtaman mke asiye wako...
hahahaha! tena mke mpyaaaaa!?, apo chief unapata double adhabu.
 
bado wanafata misingi ya kanisa katoliki.......mfalme henry wa 8 alikosea sana kuuondoa ukatoliki na kuingiza uanglikana
 
Nadhani designer wa wedding dress ni Sarah Burton ila ndoa siku ya kwanza tu. Baada ya hapo ustahamilivu na upendo na uaminifu ndio vitadumisha ndoa otherwise infidelity, biggetry, nagging blahblah blah tabu tupu hata hivyo ndio raha za ndoa hizo .
Sarah Burton ni designer wa Alexander McQueen house..!
 
Kutumia dollar million 80 kwenye harusi ni ufujaji wa hela ya walipa kodi.

Wangekua waarab wametumia hivyo kwenye ndoa za watoto wao wangeandamwa lol.
 
Back
Top Bottom