The royal family

Mchochezi

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
10,416
6,579
B0FAE319-7E02-40C0-B26A-6BEC235EFB65.jpeg

General Museveni akiwa na familia yake baada ya kutoka kanisani. Hapo sambamba na Museveni yupo mama Janeth Museveni ambaye ni first lady na waziri wa michezo na utamaduni Uganda.

Pia yupo Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba mtoto pekee wa kiume wa Rais Museveni na mrithi wa kiti cha Urais hapo 2026.

Yupo pia mke wa Muhoozi sambamba na mtoto wao!
 
Back
Top Bottom