Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,579
General Museveni akiwa na familia yake baada ya kutoka kanisani. Hapo sambamba na Museveni yupo mama Janeth Museveni ambaye ni first lady na waziri wa michezo na utamaduni Uganda.Pia yupo Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba mtoto pekee wa kiume wa Rais Museveni na mrithi wa kiti cha Urais hapo 2026.
Yupo pia mke wa Muhoozi sambamba na mtoto wao!