The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Mi naona safu hiyo ibaki hivyo hivyo, ila rais abaki huyu wa sasa, lowasa apewe wizara ya maliasili na madini ili amalize kazi (ufisadi) aliyoianza miaka ya mwanzoni mwa 90 na alipokuwa waziri mkuu. Pia wabunge wote wa CCM kasoro wale waliokuwa kwenye kamati ya Dr. Mwakyembe wawe mabalozi wa TZ nchi za nje!!
 
Nice drop!
Playa!
Now! it'z tyme 2 go!

 
Mjomba Eeeh!
Ulipoanguka Jangwani walisema ni uchovu wa kampeni mfululizo bila mapumziko. Hatukuhoji sana
Sasa tumesikia tena na huko Magogoni unaanguka anguka hovyo. Eti unashindwa masharti ya mwezi mchanga! Toba
Si siku zote mwasema; utamaduni wetu vijiti kupokezana?! Sasa vp wewe wang'an'gania?
Kuachia kiti kitamu si upumbavu; Afya ni bora kuliko cheo, waache nao wachukue tu......!
Natania tu Mjomba; Nikipata nauli nitakuletea wapiga dua.
 
Kwamba Kikwete gonjwa inajulikana, and I am not talking about the ngoma reports which are unverifiable.

Kwamba anaanguka anguka Ikulu is news. Vi nzi vinaweza kuthibitisha labda.

Actually hii ilikuwa bonge la point ya kutokea, akawa ex president baada ya term moja kwa sababu za kiafya na kujipumzikia kwenye mansion lake, bila ya kudanganya kuhusu hizo sababu za kiafya. Maana nchi imemshinda, afya matatizo, basi tabu tupu!
 
haya sasa mmeanza kuchafua hii blog.haya ya jk kuanguka ikulu mmetoa wapi. Hivi nyinyi tu mmnamacho na wengine hawana,
nadhani tuanze kuwa na mashaka na tabia hii mana waungwana wanasema ukicheza na nguruwa atakufuata msikitini. Sasa hili naona litatupeleka pabaya.
Mwanangu thibitisha usemi vyenginevyo blog hii bye bye, halafu tutasema tumeonewa.
 
Eee Bwana eee!!! Du, du, du, dudu!!! Tufanunulie tafadhali, cha mno???

La muhimu sasa, nichangieni nipate nauli nimpelekee Mjomba dawa.
Dawa yenyewe haiku kokote kule zaidi ya kwake aliyekuwako, aliyeko na atakayekuwako.
 

Huyo JK hapa kaingiaje??
Mimi nazungumzia Mjomba, na si mjomba wako bali Mjomba wangu.
 
Mpwa salam
Na asante kwa kufikiria hali ya mjomba wako. Nimeamua kukuandikia kukupa ushuri ili uweze kumsadia, sitaweza kupata nauli nije nimueleze, basi ukiona mtu anelekea huko kwake basi mpe maagizo yangu.

mwezi mchanga huweza kudhibitiwa, ingawa wataalam wengi wanasema umri unamata sana, lakini mwambie Mjomba wako anicontact niao mzizi unaweza kusimamisha atahari za mwezi mchanga, swala la mwezi kuchomoza na mjomba wako kujikkamua, kugeuza macho na kutoa povu mdomoni lipo ndani ya uwezo wetu. Ugonjwa ukicheleweshwa huenda kichwani, na wasi wasi kama mjomba wako ataweza kuwa katika form na kumaliza kipindi cha pili cha mkataba na mwajiri wake, kwani haka kamwezi kataathiri perfomance yote. Kuna dawa za wachina zina punguza madhara yake, lakini zitamuongezea uzito usiotarajiwa, baadaye mtaona anapoteza rangi ya kung'aa usoni na kuvia kwa rangi nyeusi. Kutokana na kuingilia ufanyaji kazi ya ubongo, basi mdokeze mwajiri wake kuwa akimaliza kipindi cha kwanza cha makataba basi asimwongeze kipindi kingine.

Pia wafikishie salam majirani zako, waambie yule Major Jenerali aliyekuwa anamtaka mwajiri ampe nafasi badala ya mjomba, aitishe kikao cha familia wakubaliane nani afikiriwe badala yake kwa kupewa nafasi ya kutunza mji badala yake, maana naona upepo wa kwa yule dada wa kisukuma kujirudia tena kama haitaletwa sura mpya kwenye majadiliano ya mkataba.

Asante
Nyumba Ndogo
 


Nyumba Ndogo,
Nakushukuru sana kwa nia yako ya dhati kuokoa maisha ya Mjomba wangu. Nimefurahi kusikia kuwa una mizizi ya kumtibu. Nakuwa na faraja kuwa panapo majariwa, mjomba anaweza kurudia hali yake ki-afya. Tunajitahidi kwa kadri kumshawieshi mwajiri ampumzishe Mjomba kwa kutomruhusu kuchukua awamu ya pili. Ila na mjomba naye kiburi. Tatizo zaidi uongo wa wapambe. Maana wao wanapata ugali hawajali afya ya mjomba wetu. Badala ya kumlipia ada ya cheti hospitali au bima ya afya wanachangia hela ya kurefusha matatizo “Part II”
Ni kweli zipo dawa za Mchina wa lile temple la pale Magomeni Mapipa. Na anazitumia sana hasa kabla ya kwenda safari. Kwa namna Fulani tunashukuru maana kama isinge kuwa hizi dawa, angekuwa anaanguka hata ugenini. Najiuliza angeanguka unyamwezini ingekuwaje?!
Kama utaangalia vizuri, utabaini tayari uso wa mjomba umeanza kupoteza rangi ya kung'aa kwake kwa asili.
Ila Nyumba Ndogo sikukupata vizuri kuhusu Major Jenerali na ujumbe mzima wa dada wa kisukuma. Naomba nieleweshe hata kwa PM
Salamu kwa majrani zimefika,
Siku njema,
Wako aliyembali na upeo wa mjomba wake,
Omutwale
 
Duh, huu utani mbona umeka kama ukweli? Kwani mjombako lile jipete analovaa halimsaidii?
 
Du ama kweli vichwa vya panzi watabaki gizani, labda atokee mtafasiri awaokoe!! Namuona jirani wa mjomba anapiga domo tu!!
 
jk kama anaumwa apumzike sio lazima yeye...maana alipania sana sana .................si ameshapataaa?ameshauza sura inatosha....
 
hivi anaitaji mchango kweli Rais Kikwete au mntaka kuchukua tu hela mpaka za ma bibi wa watu maskini ebu kuwa na huruma sema tu si hitaji mchango wenu nipe kura yako inatosha hiyo chenji babu kanunue kuku ujifurahishe.
 
This time there will be no open loop for memos to the bot to issue campaign funds
 
Mkataba wa kuugharimia uchaguzi mkuu wa 2010, wenye thamani ya zaidi shiling Bilioni 40, umesainiwa leo kati ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa, UNDP ambapo fungu la nchi wahisani zimeunganishwa kwenye kapu kuu la kugharimia uchaguzi huo.

Mkataba huo umehusisha Tume za Uchaguzi za NEC na ZEK kusaidiwa kuendesha uchaguzi huru na wa haki huku vyombo vya habari vikipewa nafasi kama mdau muhimu kwenye zoezi zima la uchaguzi huru na wa haki.

Sherehe za utiaji saini huo, zimefanyika katika ukumbi wa UNDP huku ukishuhudiwa na mabalozi, wawakilishi wa vyama vya siasa, maofisa wa serikali na kundi kubwa la la waandishi wa habari.

Mgeni rasmi ni Waziri wa Mambo ya Nje, Benerd Membe.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…