The Rise and Fall of Air Tanzania

nina wasiwasi wew sio mtanzania! Nairobian??
afu ni lini shirika limeanza kuwapigia abiria wafika mda fulani? kama hii kupigiwa simu imeanza leo sikushangai!!
Kukaa kimya nako ni bora,kama hujawahi kusafiri na ndege tulia,kwa mfano ikitokea kuna tatizo lakiufundi limetokea kabla ya muda Wa kureport kufika unatarifiwa kwa kupigiwa simu,SMS wasipokupata hewani na email
 
Kwenye biashara ya ndege ni jambo la kwaida kusogeza mbele muda, kufaulisha au kucancell safalri. Hata mashirika makubwa ya ndege GulfAir, KLM, BritishAirways tena kwenye international route za Amsterdam ni jambo la kawaida! Kuwa mzalendo! Penda vya nchi yako! Kuchelewa masaa tu povu linakutoka! Nyie ndo mnadonoaga nyama za mboga jikoni! Wee utakuwa mara yako ya kwanza kutumia ndege au mpumbavu au kibaraka wa mabeberu! Shenzi kabisa!

Mii kuna siku KQ waliniacha hoi kwa ku overbook. Mpaka kesho sijawaelewa ilitokeaje!!??
😁😁🤣
 
Asante sana! Hugo jamaa ndo Mara yake ya kwanza kupanda ndege! Tens local route in kawaida kabisa! Angekuwa anaenda international flight kama Britain kutumia KLM hata kama safari ingekuwa cancelled usingesikia anabwabwaja hapa! Kosa tu ni kwasababu in ndege zetu za kizalendo! I see! Mshamba Akizoea ataacha!
Tusipende kutumia ni kawaida,kama upo TC toa majibu ya kumridhisha,neno kawaida kibiashara siyo zuri huwezi jua representave Wa kule MWZ walikuwa wanaongea vipi na Wateja.

Vitu kamaTechnical issues hazizuiliki ninachokiona ATCL ni information flow hawako organized otherwise tuwape muda mwanzo mgumu.
 
Kwenye biashara ya ndege ni jambo la kwaida kusogeza mbele muda, kufaulisha au kucancell safalri. Hata mashirika makubwa ya ndege GulfAir, KLM, BritishAirways tena kwenye international route za Amsterdam ni jambo la kawaida! Kuwa mzalendo! Penda vya nchi yako! Kuchelewa masaa tu povu linakutoka! Nyie ndo mnadonoaga nyama za mboga jikoni! Wee utakuwa mara yako ya kwanza kutumia ndege au mpumbavu au kibaraka wa mabeberu! Shenzi kabisa!
Mzalendo wa kweli ni yule anayekosoa ili ATC wajipange vizuri kuliko yule aliyekariri kusifia tu au anayekaa kimya. Albert Einstein alisema 'The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything.'

Namuunga mkono mtoa post hii
 
IMG_2481.JPG
 
Kwenye biashara ya ndege ni jambo la kwaida kusogeza mbele muda, kufaulisha au kucancell safalri. Hata mashirika makubwa ya ndege GulfAir, KLM, BritishAirways tena kwenye international route za Amsterdam ni jambo la kawaida! Kuwa mzalendo! Penda vya nchi yako! Kuchelewa masaa tu povu linakutoka! Nyie ndo mnadonoaga nyama za mboga jikoni! Wee utakuwa mara yako ya kwanza kutumia ndege au mpumbavu au kibaraka wa mabeberu! Shenzi kabisa!
PAMOJA NA MATUSI YAKO SHIRIKA LINAKWENDA MRAMA
 
Kwenye biashara ya ndege ni jambo la kwaida kusogeza mbele muda, kufaulisha au kucancell safalri. Hata mashirika makubwa ya ndege GulfAir, KLM, BritishAirways tena kwenye international route za Amsterdam ni jambo la kawaida! Kuwa mzalendo! Penda vya nchi yako! Kuchelewa masaa tu povu linakutoka! Nyie ndo mnadonoaga nyama za mboga jikoni! Wee utakuwa mara yako ya kwanza kutumia ndege au mpumbavu au kibaraka wa mabeberu! Shenzi kabisa!
Na lako siyo povu?
 
Tupo uwanja wa ndege wa KIA ilikuwa tuondoke saa nne usiku tukatumiwa message kuwa muda umesogezwa mbele mpaka saa sita usiku; tulivyofika airport tumeambiwa ndege itaondoka saa kumi kasorobo. Kama hii ndio kawaida ya ATCL na hakuna ushindani basi wasafiri wa hii kampuni cha moto tutakiona.
 
Asante sana! Hugo jamaa ndo Mara yake ya kwanza kupanda ndege! Tens local route in kawaida kabisa! Angekuwa anaenda international flight kama Britain kutumia KLM hata kama safari ingekuwa cancelled usingesikia anabwabwaja hapa! Kosa tu ni kwasababu in ndege zetu za kizalendo! I see! Mshamba Akizoea ataacha!

Cancellation au time rescheduling ya mara moja, siyo tatizo....

Ishu inakuwa ni tatizo kama inakuwa ni "kawaida" kufuta futa safari ama kufanya "time rescheduling" kila mara, kila route, kila wiki, kila siku kiasi ambacho safari za shirika husika zinakuwa unpredictable.....!

Nadhani mleta mada alikuwa na maana hii.
Kwenye biashara ya ndege ni jambo la kwaida kusogeza mbele muda, kufaulisha au kucancell safalri. Hata mashirika makubwa ya ndege GulfAir, KLM, BritishAirways tena kwenye international route za Amsterdam ni jambo la kawaida! Kuwa mzalendo! Penda vya nchi yako! Kuchelewa masaa tu povu linakutoka! Nyie ndo mnadonoaga nyama za mboga jikoni! Wee utakuwa mara yako ya kwanza kutumia ndege au mpumbavu au kibaraka wa mabeberu! Shenzi kabisa!

Hapa utakuwa umechemka....

Hakuna uhusiano wowote na uzalendo na kilichowasilishwa na mleta mada....

By any means, ku - cancel ama kuahihirisha ama kuchelewesha safari kwa saa kadhaa nje ya muda wa awali uliokuwa umepangwa siyo jambo la kawaida na halipaswi kuwa entertained kwa namna yoyote kwa manufaa ya pande zote kampuni na wasafiri.....

Ikiwa ni lazima sana, basi kuwe na sababu za msingi sana na za lazima ambazo hata ukiwaeleza waathirika (wasafiri) watakuelewa kirahisi....

Lakini binafsi, as far as I know ATCL, kuna possibility kubwa sana kuwa hawana sababu za msingi especially kwa kuzingatia nature ya shirika lenyewe la ndege ambalo liko very politicized.....

Nakuambia, likely sababu yaweza kuwa tu ni lengo (target) yao ya idadi ya abiria kutofikiwa, basi wanawapuuza abiria waliokwisha kuwa na tiketi zao tayari kwa kusafiri....!!

Kwa hiyo, malalamiko kama haya yanapotolewa, lengo ni kufikisha ujumbe kwa shirika kuwa watu wengine hawafurahishwi na huduma zao na hivyo wanapaswa kuboresha....

It absolutely has nothing to do with "uzalendo" wa mtu...!!!

Hata wewe ungekuwa unasafiri kwenda kwenye timing ya shughuli zako huko halafu unnecessary interruption kama hii inatokea, huwezi kufurahishwa halafu "ukamyuti" tu na kujivika "uzalendo wa kinafiki" usiulize na kutoa maoni yako bila kujali ni kampuni/shirika gani la usafiri linahusika...!!

Tujifunze kuvumiliana tunapokosoana, siyo kuhamaki tu na kuanza kurushiana mateke na matusi.....

No one is always 100% perfect....
 
nina wasiwasi wew sio mtanzania! Nairobian??
afu ni lini shirika limeanza kuwapigia abiria wafika mda fulani? kama hii kupigiwa simu imeanza leo sikushangai!!

Ni dhahiri haujawahi kusafiri kwa ndege, kama umewahi basi ni mara moja kwa kubahatisha, vinginevyo usingeongea huu ujinga
 
Tulishangaa Sana pale tulipo ona ndege yetu inasukumwa, tunasahau kuwa ndege airudi nyuma. Leo Kuna tatizo la Hali ya hewa, ndege imechelewa Nyumbu wanalia
 
Kwenye biashara ya ndege ni jambo la kwaida kusogeza mbele muda, kufaulisha au kucancell safalri. Hata mashirika makubwa ya ndege GulfAir, KLM, BritishAirways tena kwenye international route za Amsterdam ni jambo la kawaida! Kuwa mzalendo! Penda vya nchi yako! Kuchelewa masaa tu povu linakutoka! Nyie ndo mnadonoaga nyama za mboga jikoni! Wee utakuwa mara yako ya kwanza kutumia ndege au mpumbavu au kibaraka wa mabeberu! Shenzi kabisa!
Mjomba umedanganya,tuulize ambao tuko kwenye ajira ya haya mashirika. KLM haiwezi kufanya upuuzi wa kuhairisha safari yake kizembe to maintain her international image status. Tusitukane wengine wapumbavu ilhali labda kwa kutokujua sisi ndo vinara wa kasumba ya ujinga,upuuzi na ushadadiaji wa hisia za kimihemko! Pole Sana..
 
Mjomba umedanganya,tuulize ambao tuko kwenye ajira ya haya mashirika. KLM haiwezi kufanya upuuzi wa kuhairisha safari yake kizembe to maintain her international image status. Tusitukane wengine wapumbavu ilhali labda kwa kutokujua sisi ndo vinara wa kasumba ya ujinga,upuuzi na ushadadiaji wa hisia za kimihemko! Pole Sana..
Ni lini wewe ATC walichelewesha ndege au kufuta safari kwa uzembe tu ili waharibu status yao?
 
Naam,tena fresh tu man make mnapangishiwa na hotel nyota 3 mpaka mkwee pipa kama no ishu ya muda mrefu.
Nimegundua ni kwanini lawrence masha anafanyiwa hujuma asiweze kuirudisha fastjet. Maana ATCL hii ikiwa na mshindani wa uhakika..abiria watawakimbia vibaya mno. Huwezi kuwa na safari ya saa 12 asubuhi halafu ukifika airport unaambiwa usubiri hadi saa 2 usiku. Yani ATCL siwezi kusafiri nayo nikiwa nawahi mkutano au shughuli nyingine ya siku hiyo hiyo..
 
Ni swala la fedheha inapokuja kwenye uendeshaji wa hili shirika. Licha ya kwamba linatafuna mabillioni ya walipa kodi, shirika hili limeanza kuwa majanga

Imekuwa desturi Air Tanzania either ku cancel safari zake au kuchelewa kufika. Leo, Abiria kutoka Mwanza kuja Dar , walipigiwa Simu ku report saa 12 jioni. Matokeo yake reporting ikaanza saa 1.50 jioni. Kama haitoshi,

Badala ya kuondoka saa 2.45 kama walivyoambiwa, Abiria wametangaziwa kwamba , ndege yao itaondoka saa 4.30 usiku. Bila ushindani , watanzania watakoma na hizi nauli kubwa kuliko fastjet na precision. Hii ni dalili tosha kwamba shirika hili haiwezi kufika miaka 5 pamoja na kwamba ndege zote zimenunuliwa cash
Dah...tuache kulialia bana...hii ni biashara kama zilivyo nyingine... Au mnataka life mfurahi?
"Flight Delay Compensation — Get Up to $700 - AirHelp" https://www.airhelp.com/en/flight-delay-compensation/
 
Nimegundua ni kwanini lawrence masha anafanyiwa hujuma asiweze kuirudisha fastjet. Maana ATCL hii ikiwa na mshindani wa uhakika..abiria watawakimbia vibaya mno. Huwezi kuwa na safari ya saa 12 asubuhi halafu ukifika airport unaambiwa usubiri hadi saa 2 usiku. Yani ATCL siwezi kusafiri nayo nikiwa nawahi mkutano au shughuli nyingine ya siku hiyo hiyo..
Mim siwezi kupanda ndege ya ATCL kwenye maisha yangu yote bora nipande mabasi tangu wamefungia Fastjet sijapanda ndege staki usafiri wa anga kwa safari za ndani
 
Back
Top Bottom