The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

Let me do what i know how to do

I am not an American and this is not America Yan hii balaaa n especially Whats ur name Bijkev, what is ur other name?I am having one name like Madona
 
The Most Jack's enemy

MR. BOOWAA (in Cheng's Voice)
 

Attachments

  • 1404670942771.jpg
    1404670942771.jpg
    9.4 KB · Views: 87
Kama itaishia episode ya 12, itakuwa imeacha maswali mengi ambayo hayajajibiwa. Nadhani kutakuwa na season 10 njiani
Nashawishka kuamini kwamba, baada ya muda au Season zitakazofuata, watarudisha episodes 24. Ni jambo la kawaida sana kwa series kurusha vitu nusu nusu kwa ajili ya kusikilizia maoni ya watazamaji. Wakiona kuna audience ina-respond positively, wanamalizia mzigo.
 
Let me do what i know how to do

I am not an American and this is not America Yan hii balaaa n especially Whats ur name Bijkev, what is ur other name?I am having one name like Madona

What's yo name"belchek"
Belcheck who?am having one name like Madonna
give me the phone I will tell secret service to come and pick me"jack said no phones"
I am the president of united states and I have just given u an order"I am not american and this is not america"
Presidaaa akaona duuu jamaa noma
 
Sahivi bauer amekaza sana sio kipindi kile alikuwa ana kamoyo cha kupenda

Hanna mikazo yyte
Sio kwa mbu hukumbuki pale Audry kapeleka kichwa mchizi pumzi milioni/mbiombio?nomaaa
 
Jack akima Kate lazima nitam-mind coz' yule demu mi namtaka mjue!

Hehehehe hzo ahida zako
Kama unaweza pang a mkono na jack ukimshinda tinakuruhusu umchukue mazima yaaan na jf tutagharamia harusi mpka honey moon Hawaii huko
 
Cheng-Zhi is still at large, and inasemekana episode ya mwisho kuna mtu mmoja muhimu atakufa, we don't know if it's Chloe, Jack, Audrey, Kate or Audrey
 
What's yo name"belchek"
Belcheck who?am having one name like Madonna
give me the phone I will tell secret service to come and pick me"jack said no phones"
I am the president of united states and I have just given u an order"I am not american and this is not america"
Presidaaa akaona duuu jamaa noma

Hiyo balaa kaka na President nae akaona hamna haja ya kubshana nae mana anamjua Jack alivo na watu wake walivo
 
Wale wenzangu na mm episode 11 is out
Karibuni au niwasimulie?hahahahahha
 
Duh wakubwa hii kitu ndio ilishia season ya nane au prison break? Kma hizo zote tayari zilishatoka
 
Back
Top Bottom